Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Ni katika kipindi cha siku 100 madarakani, Rais anaachia wahalifu kwa sababu anazozijua. Baadhi ya wahalifu wamekuwa mahabusu tangu awamu ya 4 ya Kikwete wakati Rais Samia akiwa ni waziri tu!

Je, ni kweli katika siku 100 ameweza kugundua watu hawa walionewa? Kweli rais wetu anaamini serikali zote zilizopita hazikufahamu undani wa watu hawa isipokuwa yeye?

Rais Samia, hakika unatuponza! baadhi ya watu hawa tunawafahamu mikasa yao huku mitaani. Huku Bara (Tanganyika) ndo huwa kituo cha uhalifu wa watu hawa. Hawa watu muda hautapita mitaani watatuumiza na tutaomba utueleze unakotupeleka ni wapi?
Kwa hii hofu yako wewe utakuwa ni Makonda wengi ulio wafunga sasa mtaani vipi unawaogopa? Na lazima wakulipizie kisasi! Ubaya ubaya
 
Hao ni watuhumiwa sio wahalifu, wahalifu ni waliohukumiwa na mahakama kutumikia vifungo au faini.
 
Kama serikali inao ushahidi tangu enzi za JK inashindwa nini kwa miaka yote kuufikisha mahakamani kesi iamuliwe ?
Naona tumegawanyika sana. Natoa mfano. Ukiwauliza watu wa Kinondoni na mitaa yake kwamba serikali imeshindwa kupata ushahidi wa papaa Msofe, hakika watakuona wewe na serikali yako wote ndo wajinga. Huyu alitiwa kibano tangu enzi za Kikwete.

Sigh aliyeachiwa kwa kulipa sehemu ndogo sana ya wizi alioufanya, alipokamatwa hapa hata Kenya walifurahi sana! Ndo aliyewaingiza kwenye Goldenberg Scandal.

Leo hii huyu samia anayesifika kwa haki anaona hata kuachia wezi ni haki! Mpeni hongera zake.
 
Huo sio ushahidi mbele ya mahakama.
Kama mkeo alikuwa anachepuka ila hukuweza kumjua mchepuko wake halafu ikatokea jirani yako amefariki na mkeo akaacha kuchepuka huwezi kusema jirani yako ndiye alikuwa anamkula mkeo kwa sababu baada ya yeye kufariki tu mkeo naye ameacha kuchepuka.
Licha ya hivyo, ulisikia tena kesi za watu kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa wakati hao nduguzo wakiwa lumande?

Acha ujinga wewe, watakuwa wamejifunza
 
Usijali chief,
Tupo humu kuwaelekeza Hawa yatima wa mwendazake, maana wakiachwa peke yao watajiua Hawa !!! bado Wana maruerue ya kufiwa,

Ila si muda watamkubari tu mama Samia, Samia anatka aongoze Nchi kwa haki, maana anajua Kuna siku ataulizwa na Mungu wake,kwaiyo ataki kuona watu wanasota jela kwa makesi ya kusingiziwa tu, anataka mtu aende jela ikiwa kweli Ni muhalifu Kama SABAYA, chini ya Samia Tanzania yenyewe Neema inakuja, Mungu atashusha baraka zake ikiwa haki inatawala ktk Nchi
Chief,
nimekuomba msamaha kwa yale nilosema vibaya kwako, swala moja tu ambalo skubaliani tena na wewe, Kusema vibaya wafu,

Tulifiwa kama Taifa
 
Wasiwasi wangu ni haki haijatendeka kwa Padri aliyeuwawa huko Zanzibar.Ingekuwa ndugu zetu waislam basi wangeitisha maandamano lakini kwakuwa wakatoliki mafundisho yao yanasema akupigae kofi upande mmoja mgeuzie jingine basi tunadhulumiwa nafsi zetu.Tunaomba haki kwa padre Evarist na makanisa yaliyochomwa moto Zanzibar.Sawa tunakubali kuwa UAMSHO hawahusiki basi tunaomba kuelezwa wahusika ni nani??
 
Chief,
nimekuomba msamaha kwa yale nilosema vibaya kwako, swala moja tu ambalo skubaliani tena na wewe, Kusema vibaya wafu,

Tulifiwa kama Taifa
Ni haki yako kikatiba mkuu kutokubaliana na fikra za mwingine,
Mbona Hitra mfu lakini bado anasemwa
 
Usijali chief,
Tupo humu kuwaelekeza Hawa yatima wa mwendazake, maana wakiachwa peke yao watajiua Hawa !!! bado Wana maruerue ya kufiwa,

Ila si muda watamkubari tu mama Samia, Samia anatka aongoze Nchi kwa haki, maana anajua Kuna siku ataulizwa na Mungu wake,kwaiyo ataki kuona watu wanasota jela kwa makesi ya kusingiziwa tu, anataka mtu aende jela ikiwa kweli Ni muhalifu Kama SABAYA, chini ya Samia Tanzania yenyewe Neema inakuja, Mungu atashusha baraka zake ikiwa haki inatawala ktk Nchi
Nimeangalia unavyoshangilia kifo cha JPM na tayari unamuona Sabaya ni muhalifu na tayari unaona utatawaliwa kwa haki na Samia, nimeingiwa na wasiwasi juu ya ubinadamu wako na ufahamu wako wa mambo ya kawaida ya maisha. Natumaini hutalalama ukisikia Sabaya hakupatikana na kosa la kumtia hatiani.
 
Wasiwasi wangu ni huko wanakoenda kupimwa huwezi jua kipimo watakachopimwa wanapewa kinga gani.
Naomba niishie hapo hii serikali ina wenyewe.
 
Mama anataka kuwafurahisha wazungu.

Sio muda atatangaza lockdown kwa Dar ili kuwafurahisha zaidi wazungu.

Nashauri ikiwezekana aachie wafungwa wote tubakie na majengo matupu ya mahabusu.
Tutapata hasara majengo yetu yatapasuka nyufa.
 
Tusubiri wakapimwe kwanza watapewa kinga.
Naomba niishie hapo
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2815][emoji2815][emoji2815]kupimwa? Kinga?[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Zamani Rais wa Tanzania alikuwa anapata upinzani mkubwa sana kutoka vyama vya upinzani lakini siku hizi anapata upinzani mkubwa kutoka ndani ya CCM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] mwendazake alikuwa ame brainwash watu akili zote[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nimeangalia unavyoshangilia kifo cha JPM na tayari unamuona Sabaya ni muhalifu na tayari unaona utatawaliwa kwa haki na Samia, nimeingiwa na wasiwasi juu ya ubinadamu wako na ufahamu wako wa mambo ya kawaida ya maisha. Natumaini hutalalama ukisikia Sabaya hakupatikana na kosa la kumtia hatiani.
Naombeni msamaha. Je, huyu anayeitwa TASK FORCE ni wa kabila la wachaga? Ni mtu mwenye tabia za kabila hilo. Kabila lenye imani kali ya Mbowe kwamba walibaguliwa na JPM. Ni kabila lililoshangilia kifo cha JPM, ni kabila linaloshangilia kukamatwa kwa Sabaya kwa kuamini aliwaonea wachaga wote. Ni kabila linalopokea matumaini kwamba Samia atawapa nafasi ya kupendeleana tena.
 
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2815][emoji2815][emoji2815]kupimwa? Kinga?[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Kinga ya mwili eti kama walipatwa na madhara kabla hawajakutana na familia zao.
Hapo ndio fursa inatumiwa.
 
Zamani Rais wa Tanzania alikuwa anapata upinzani mkubwa sana kutoka vyama vya upinzani lakini siku hizi anapata upinzani mkubwa kutoka ndani ya CCM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] mwendazake alikuwa ame brainwash watu akili zote[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji15]
 
Binti huna adabu, mi mtu wa 50yrs ,we unaniita dogo, utaendelea kuwa kahaba Hadi unitake radhi mzee wako
50 yrs! Mbona kama mawazo ya msichana wa sekondari vile! Yale ya kuchomekea T-shirt tako moja ili lionekane.
 
Back
Top Bottom