ILLICH
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 239
- 183
Mass ana mapungufu gani aiseee?
Maza anamapungufu yake lakini anajitahidi sn kutenda haki kwa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maza anamapungufu yake lakini anajitahidi sn kutenda haki kwa watu
Kwa hii hofu yako wewe utakuwa ni Makonda wengi ulio wafunga sasa mtaani vipi unawaogopa? Na lazima wakulipizie kisasi! Ubaya ubayaNi katika kipindi cha siku 100 madarakani, Rais anaachia wahalifu kwa sababu anazozijua. Baadhi ya wahalifu wamekuwa mahabusu tangu awamu ya 4 ya Kikwete wakati Rais Samia akiwa ni waziri tu!
Je, ni kweli katika siku 100 ameweza kugundua watu hawa walionewa? Kweli rais wetu anaamini serikali zote zilizopita hazikufahamu undani wa watu hawa isipokuwa yeye?
Rais Samia, hakika unatuponza! baadhi ya watu hawa tunawafahamu mikasa yao huku mitaani. Huku Bara (Tanganyika) ndo huwa kituo cha uhalifu wa watu hawa. Hawa watu muda hautapita mitaani watatuumiza na tutaomba utueleze unakotupeleka ni wapi?
Naona tumegawanyika sana. Natoa mfano. Ukiwauliza watu wa Kinondoni na mitaa yake kwamba serikali imeshindwa kupata ushahidi wa papaa Msofe, hakika watakuona wewe na serikali yako wote ndo wajinga. Huyu alitiwa kibano tangu enzi za Kikwete.
Sigh aliyeachiwa kwa kulipa sehemu ndogo sana ya wizi alioufanya, alipokamatwa hapa hata Kenya walifurahi sana! Ndo aliyewaingiza kwenye Goldenberg Scandal.
Leo hii huyu samia anayesifika kwa haki anaona hata kuachia wezi ni haki! Mpeni hongera zake.
Licha ya hivyo, ulisikia tena kesi za watu kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa wakati hao nduguzo wakiwa lumande?
Acha ujinga wewe, watakuwa wamejifunza
Chief,Usijali chief,
Tupo humu kuwaelekeza Hawa yatima wa mwendazake, maana wakiachwa peke yao watajiua Hawa !!! bado Wana maruerue ya kufiwa,
Ila si muda watamkubari tu mama Samia, Samia anatka aongoze Nchi kwa haki, maana anajua Kuna siku ataulizwa na Mungu wake,kwaiyo ataki kuona watu wanasota jela kwa makesi ya kusingiziwa tu, anataka mtu aende jela ikiwa kweli Ni muhalifu Kama SABAYA, chini ya Samia Tanzania yenyewe Neema inakuja, Mungu atashusha baraka zake ikiwa haki inatawala ktk Nchi
Ni haki yako kikatiba mkuu kutokubaliana na fikra za mwingine,Chief,
nimekuomba msamaha kwa yale nilosema vibaya kwako, swala moja tu ambalo skubaliani tena na wewe, Kusema vibaya wafu,
Tulifiwa kama Taifa
Nimeangalia unavyoshangilia kifo cha JPM na tayari unamuona Sabaya ni muhalifu na tayari unaona utatawaliwa kwa haki na Samia, nimeingiwa na wasiwasi juu ya ubinadamu wako na ufahamu wako wa mambo ya kawaida ya maisha. Natumaini hutalalama ukisikia Sabaya hakupatikana na kosa la kumtia hatiani.Usijali chief,
Tupo humu kuwaelekeza Hawa yatima wa mwendazake, maana wakiachwa peke yao watajiua Hawa !!! bado Wana maruerue ya kufiwa,
Ila si muda watamkubari tu mama Samia, Samia anatka aongoze Nchi kwa haki, maana anajua Kuna siku ataulizwa na Mungu wake,kwaiyo ataki kuona watu wanasota jela kwa makesi ya kusingiziwa tu, anataka mtu aende jela ikiwa kweli Ni muhalifu Kama SABAYA, chini ya Samia Tanzania yenyewe Neema inakuja, Mungu atashusha baraka zake ikiwa haki inatawala ktk Nchi
Tutapata hasara majengo yetu yatapasuka nyufa.Mama anataka kuwafurahisha wazungu.
Sio muda atatangaza lockdown kwa Dar ili kuwafurahisha zaidi wazungu.
Nashauri ikiwezekana aachie wafungwa wote tubakie na majengo matupu ya mahabusu.
Tusubiri wakapimwe kwanza watapewa kinga.Wakizingua atawazingua twice
[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2815][emoji2815][emoji2815]kupimwa? Kinga?[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Tusubiri wakapimwe kwanza watapewa kinga.
Naomba niishie hapo
Naombeni msamaha. Je, huyu anayeitwa TASK FORCE ni wa kabila la wachaga? Ni mtu mwenye tabia za kabila hilo. Kabila lenye imani kali ya Mbowe kwamba walibaguliwa na JPM. Ni kabila lililoshangilia kifo cha JPM, ni kabila linaloshangilia kukamatwa kwa Sabaya kwa kuamini aliwaonea wachaga wote. Ni kabila linalopokea matumaini kwamba Samia atawapa nafasi ya kupendeleana tena.Nimeangalia unavyoshangilia kifo cha JPM na tayari unamuona Sabaya ni muhalifu na tayari unaona utatawaliwa kwa haki na Samia, nimeingiwa na wasiwasi juu ya ubinadamu wako na ufahamu wako wa mambo ya kawaida ya maisha. Natumaini hutalalama ukisikia Sabaya hakupatikana na kosa la kumtia hatiani.
Kinga ya mwili eti kama walipatwa na madhara kabla hawajakutana na familia zao.[emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2815][emoji2815][emoji2815]kupimwa? Kinga?[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15][emoji15]Zamani Rais wa Tanzania alikuwa anapata upinzani mkubwa sana kutoka vyama vya upinzani lakini siku hizi anapata upinzani mkubwa kutoka ndani ya CCM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] mwendazake alikuwa ame brainwash watu akili zote[emoji24][emoji24][emoji24]
50 yrs! Mbona kama mawazo ya msichana wa sekondari vile! Yale ya kuchomekea T-shirt tako moja ili lionekane.Binti huna adabu, mi mtu wa 50yrs ,we unaniita dogo, utaendelea kuwa kahaba Hadi unitake radhi mzee wako