Yanakera sana haya mazezeta,,yaani wao mama anavyotaka kuongoza Nchi kwa haki bila kumuonea mtu kinawakera sana
Kwenda nguruwe wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanakera sana haya mazezeta,,yaani wao mama anavyotaka kuongoza Nchi kwa haki bila kumuonea mtu kinawakera sana
Jambo gani nimetetea binti yangu??!,ebu niambie mwanangu!!Wewe una akili sawa sawa? Unajua haki ? Unajua nani anatoa haki hapa duniani. Unatetea jambo hili sababu wewe mwislamu sio?
Sawa mbwa!!!ahahahKwenda nguruwe wewe
Basi zamu ya hao UHAMSHO kutoka jela,,atapelekwa baba yako akale kongoro kule ukongaMarekani mpaka leo ina watu inawashikilia kwa zaidi ya miaka 10 ambao tuhuma zao hazijathibitika na wala haziwezi kuthibitika kwa kutumia mifumo ya kisheria. Lakini wanajua ni watu hatari wakiachwa waishi uraiani.
Yanakera sana haya mazezeta,,yaani wao mama anavyotaka kuongoza Nchi kwa haki bila kumuonea mtu kinawakera sana
Lakini, Mr Babati, embu sema ukweli wako, hawa jamaa tangu waswekwe lupango, ni lini tena uliona matumizi ya tindikali yakiendelea mtaani?Maza anamapungufu yake lakini anajitahidi sn kutenda haki kwa watu
Usijali chief,Sawa kabisa mkuu, Samahani bhana kwa maneno yangu machafu, samahani sana aisee
Binti huna adabu, mi mtu wa 50yrs ,we unaniita dogo, utaendelea kuwa kahaba Hadi unitake radhi mzee wako
Wewe dogo, acha ufala ujue
Unasema miaka 9! viongozi wenye akili wanakuacha ufie huko huko!
UVCCM huwa akili mnaacha wapi? Unakamata mtu huna ushahidi wa kumtia hatiani, unamsotesha gerezani kwa miaka mingi unavizia achoke ainue mikono juu mfanye makubaliano (Bargaining)!Mama anataka kuwafurahisha wazungu.
Sio muda atatangaza lockdown kwa Dar ili kuwafurahisha zaidi wazungu.
Nashauri ikiwezekana aachie wafungwa wote tubakie na majengo matupu ya mahabusu.
Aliye waachia sio Mh Samia ila Mahakama!Ni katika kipindi cha siku 100 madarakani, Rais anaachia wahalifu kwa sababu anazozijua. Baadhi ya wahalifu wamekuwa mahabusu tangu awamu ya 4 ya Kikwete wakati Rais Samia akiwa ni waziri tu!
Je, ni kweli katika siku 100 ameweza kugundua watu hawa walionewa? Kweli rais wetu anaamini serikali zote zilizopita hazikufahamu undani wa watu hawa isipokuwa yeye?
Rais Samia, hakika unatuponza! baadhi ya watu hawa tunawafahamu mikasa yao huku mitaani. Huku Bara (Tanganyika) ndo huwa kituo cha uhalifu wa watu hawa. Hawa watu muda hautapita mitaani watatuumiza na tutaomba utueleze unakotupeleka ni wapi?
Halafu Sasa walikuwa wanatia hasara Nchi,ukiwaona walivyokuwa wanaletwa pale kisutu mahakamani,,UVCCM huwa akili mnaacha wapi? Unakamata mtu huna ushahidi wa kumtia hatiani, unamsotesha gerezani kwa miaka mingi unavizia achoke ainue mikono juu mfanye makubaliano (Bargaining)!
Uamsho kwa miaka 9 hakuna ushahidi, ni nenda rudi mahakamani huku mnawatesa (torture)! Ulitaka Mama nae amalize muda wake, aje mwingine naye amalize watu wapo tu ndani kosa eti JK na JPM wakiwaacha!
Katika Taifa very serious hawa watu walipaswa kulipwa billions of money.
wengi hawajui iloAliye waachia sio Mh Samia ila Mahakama!
Uliona wapi mzee mjinga mjinga kama wewe mwenye umri huo aendeshe mdaharo na vijana?Binti huna adabu, mi mtu wa 50yrs ,we unaniita dogo, utaendelea kuwa kahaba Hadi unitake radhi mzee wako
Kabisa Mkuu...Halafu Sasa walikuwa wanatia hasara Nchi,ukiwaona walivyokuwa wanaletwa pale kisutu mahakamani,,
Ni msululu wa magari na askari kibao,