Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Mleta mada nakuelewa ,
Na ni mapema mno kweli,
uko sahihi maana yule Shekhe miongoni mwa waloachiwa nimemsikia kwenye clip kuwa baada ya maza kuapishwa mwezi March 19, 2021 Eti mnamo mwezi April tu shauri lao likaitishwa na kuanza kufanyiwa kazi na hatimae wakaachiwa .

Huenda ikaonekana ni mapema mno lakini tujaribu kuwaamini wenye Mamlaka huenda wamejiridhisha vyakutosha Ndiyo maana wamewaachia huru .
 
Nimeangalia unavyoshangilia kifo cha JPM na tayari unamuona Sabaya ni muhalifu na tayari unaona utatawaliwa kwa haki na Samia, nimeingiwa na wasiwasi juu ya ubinadamu wako na ufahamu wako wa mambo ya kawaida ya maisha. Natumaini hutalalama ukisikia Sabaya hakupatikana na kosa la kumtia hatiani.
Okay
 
Rais Samia, hakika unatuponza! baadhi ya watu hawa tunawafahamu mikasa yao huku mitaani. Huku Bara (Tanganyika) ndo huwa kituo cha uhalifu wa watu hawa. Hawa watu muda hautapita mitaani watatuumiza na tutaomba utueleze unakotupeleka ni wapi?
Tulieni, watu wanarejeshewe tabasamu.
 
Mtu unamkalisha ndani tu bila hata kesi kutajwa Sasa si Bora umwachie tu na Kama sivyo kwa Nini ushahidi usitokee ili washtakiwe kwa makosa yao na kuhukumiwa
Tatizo ni ma-tycoon tu ndo wanaotoka; walio mahabusu mwaka wa 13 huu bila hukumu ni wengi na ni wanyonge, mbona hawatoki? Wapo walioingia kwa kesi kama za kina Ruge na Singh, kwa wakati karibu sawa ingawa wao wametangulia, wapo na hakuna hukumu mpaka sasa, nini maoni yako hapa?
 
Wote wanaotuhumiwa wapewe dhamana na iwe ni sheria kwamba tuhuma zote zinadhaminika.Pia polisi wasikamate watu ikiwa hawana uthibitisho wa kutosha kesi kusikilizwa na kumalizwa kwa muda mfupi.
Tatizo ni ma-tycoon tu ndo wanaotoka; walio mahabusu mwaka wa 13 huu bila hukumu ni wengi na ni wanyonge, mbona hawatoki? Wapo walioingia kwa kesi kama za kina Ruge na Singh, kwa wakati karibu sawa ingawa wao wametangulia, wapo na hakuna hukumu mpaka sasa, nini maoni yako hapa?
 
Wote wanaotuhumiwa wapewe dhamana na iwe ni sheria kwamba tuhuma zote zinadhaminika.Pia polisi wasikamate watu ikiwa hawana uthibitisho wa kutosha kesi kusikilizwa na kumalizwa kwa muda mfupi.
Sahihi, kwahiyo kinachofanyika sasa ni nini? Kurudisha mzunguko wa fedha mtaani?
 
Ni katika kipindi cha siku 100 madarakani, Rais anaachia wahalifu kwa sababu anazozijua. Baadhi ya wahalifu wamekuwa mahabusu tangu awamu ya 4 ya Kikwete wakati Rais Samia akiwa ni waziri tu!

Je, ni kweli katika siku 100 ameweza kugundua watu hawa walionewa? Kweli rais wetu anaamini serikali zote zilizopita hazikufahamu undani wa watu hawa isipokuwa yeye?

Rais Samia, hakika unatuponza! baadhi ya watu hawa tunawafahamu mikasa yao huku mitaani. Huku Bara (Tanganyika) ndo huwa kituo cha uhalifu wa watu hawa. Hawa watu muda hautapita mitaani watatuumiza na tutaomba utueleze unakotupeleka ni wapi?

Hivi wakati tunasema hatuna raisi mlikua mnatuona mazezeta? Mtu kahukumiwa miaka yote hii et leo hana hatia, yani sitaki hata kumsikia huyu Mwanamke , Anatuletea majambazi yaendelee kutumaliza vzur
 
Kilaza hujui chochote, hakuna mtu aliyehukumiwa akaachiliwa na DPP. Halafu Rais pia anaweza kuwaachia wafungwa kama Babu Seya mlawiti wa watoto alivyorejeshwa uraiani na JPM.
Hivi wakati tunasema hatuna raisi mlikua mnatuona mazezeta? Mtu kahukumiwa miaka yote hii et leo hana hatia, yani sitaki hata kumsikia huyu Mwanamke , Anatuletea majambazi yaendelee kutumaliza vzur
 
Ukifatilia vizuri hakuna haki inatendeka ni mkakati tu ambao unalengo nyuma yake.

Ili waachiwe uhamsho ilibidi waachiwe na wengine ili kuonekana usawa upo, kuna watu kadhaa ndo walikuwa 🎯 ila imebidi kufanya hivi inavyofanyika ili kusafisha.
 
Angekuwa ameachiwa dingi yako ungelalamika? Mwacheni Rais afanye kazi yake kwa uhuru, hakuna taifa limeendelea kwa kujaza watu ndani bila sababu za msingi.
Na angekuwa aliyeumizwa na hao watu ni dingi yako ungefurahia wao kuwa huru?
 
Unasema miaka 9! viongozi wenye akili wanakuacha ufie huko huko!
Huku ndio kujitoa ufahamu, yaani bado hujui kuwa hao viongozi wenye akili nao huwa wanakufa na wanaweza kutangulia wao?!? Mifano haijakutosha!
 
Ni katika kipindi cha siku 100 madarakani, Rais anaachia wahalifu kwa sababu anazozijua. Baadhi ya wahalifu wamekuwa mahabusu tangu awamu ya 4 ya Kikwete wakati Rais Samia akiwa ni waziri tu!

Je, ni kweli katika siku 100 ameweza kugundua watu hawa walionewa? Kweli rais wetu anaamini serikali zote zilizopita hazikufahamu undani wa watu hawa isipokuwa yeye?

Rais Samia, hakika unatuponza! baadhi ya watu hawa tunawafahamu mikasa yao huku mitaani. Huku Bara (Tanganyika) ndo huwa kituo cha uhalifu wa watu hawa. Hawa watu muda hautapita mitaani watatuumiza na tutaomba utueleze unakotupeleka ni wapi?
Naunga mkono hoja mkuu,,
Kwa mtiririko huu ,,tujiandae kuona akina chonchi na genge la waliokamatwa na madawa kuachiwa na kurudi uraiani.

Kigezo cha kukaa sana mahabusu bila ushahidi kupelekwa mahakanani.

Mark my words.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli alikuwa psychopath, yes... he was for sure. Nachojifunza pia watu wa aina yake hua Wana mtazamo mmoja juu ya binadamu wengine. Mmelaaniwa na roho zenu mbayaa
 
Ukifatilia vizuri hakuna haki inatendeka ni mkakati tu ambao unalengo nyuma yake.

Ili waachiwe uhamsho ilibidi waachiwe na wengine ili kuonekana usawa upo, kuna watu kadhaa ndo walikuwa 🎯 ila imebidi kufanya hivi inavyofanyika ili kusafisha.
Wewe ndo umenifumbua macho: sasa naona vizuri. Kumbe hii yote ni smokescreen kuhalalisha uamsho kuachiwa!!! Yaani tuone anaachia kwa niya njema! Haya! Asante JF!
 
Back
Top Bottom