Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpigie Lema umuulizeMbona wezi wa kuku hatuoni wakitolewa?
Je wale wafungwa waliokuwa wanasemwa na kina Lema kwamba wamejazana magerezani bila hukumu ndio hao wanaotoka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie Lema umuulizeMbona wezi wa kuku hatuoni wakitolewa?
Je wale wafungwa waliokuwa wanasemwa na kina Lema kwamba wamejazana magerezani bila hukumu ndio hao wanaotoka?
Huoni aibu kutetea ushenzi kama huo? Kumbe tunahangaika na wenye shida vichwani.Kama anaiba tuna kula tabu iko wapi?
kumbuka mahakama inatumia ushahidi kumfunga mtu.Kama tuhuma zimeshindikana kuthibitika, kwa nini waendelee kushikiliwa?
Aachiwe huru sasa maana sababu ya kumfunga imekosekana.kumbuka mahakama inatumia ushahidi kumfunga mtu.
ukijosekana haina maana mtu sio mharifu.
eti eh.Aachiwe huru sasa maana sababu ya kumfunga imekosekana.
Haki sio ile inayokufurahisha wewe.Nyinyi masadist vipi?
Mnafurahia wengine kukaa mahabusu bila kufunguliwa mashitaka?
Muache serikali iongoze kwa kutenda haki.
HAKI HUINUA TAIFA
NAwe unaamini ni bandia?Ndugu unajipamba na jina la Aristotle chini ya michango yako - kivipi??
Kama miaka haikutosha kuonyesha hatia ya fulani na kufungua mashtaka rasmi, na kumhukumu - je si jinai kumshika? Jana niliona taarifa ya wakili aliyeshikwa karibu miaka 2 kwa mashtaka bandia - sasa amefungua kesi ya kudai fidia kwa hasara za kiuchumi na kuharibiwa jina.
Nampongeza. Nchi ambako raia wanaweza kushtaki serikali pamoja na mawaziri iko kwenye njia nzuri. Nchi inayokataa hatua zozote dhidi ya maofisa yake, maskini!
Haki ni pamoja na kunyonga watu na kufunga watu. Mtu anaingia ikulu tu na kuanza kuachia waharifu utadhani kuku wa kienyeji?Nyinyi masadist vipi?
Mnafurahia wengine kukaa mahabusu bila kufunguliwa mashitaka?
Muache serikali iongoze kwa kutenda haki.
HAKI HUINUA TAIFA
Naona tumegawanyika sana. Natoa mfano. Ukiwauliza watu wa Kinondoni na mitaa yake kwamba serikali imeshindwa kupata ushahidi wa papaa Msofe, hakika watakuona wewe na serikali yako wote ndo wajinga. Huyu alitiwa kibano tangu enzi za Kikwete.Yanakera sana haya mazezeta,,yaani wao mama anavyotaka kuongoza Nchi kwa haki bila kumuonea mtu kinawakera sana
Huyo baba yako dikteta alipovunja katiba kwa kugoma kunyonga watu waliohukumiwa kunyongwa mbona hukumkumbusha?Haki ni pamoja na kunyonga watu na kufunga watu. mtu anaingia ikulu tu na kuanza kuachia waharifu utadhani kuku wa kienyeji?
Wewe ni Lissu? ni ni uliyeachiwa kama tunavyoulizwa hapa?Huyo baba yako dikteta alipovunja katiba kwa kugoma kunyonga watu waliohukumiwa kunyongwa mbona hukumkumbusha?
You are just a sadist. Period!
Huyu naye kaachiwa! Mbona JF tutakoma?Udini tu ndio unakusumbua huna lolote mbona kwa miaka yote waliokaa rumande hao waliowashitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao?
Mnatupigia kelele tu hapa na tabia zenu za udikiteta na uporaji ambao mmerithi kwa baba yenu mwendazake.KUna mtu anauliza, nawe umeachiwa?
Wenzie wanafurahia kwa kuangukiwa embe dodo, lenyewe limefura utadhani tufe fulani hivi, kama hajapenda maisha ya uraiani si abake tena, auone moto wake...?😂Wewe ni Lissu? ni ni uliyeachiwa kama tunavyoulizwa hapa?
Aaah! DPP bhana! Wapi umesikia serikali inaachia watu? Ni DPP!Ina maana we ndio unajua sana kuliko serikali na vyombo vya ulinzi?
Licha ya hivyo, ulisikia tena kesi za watu kumwagiwa tindikali na makanisa kuchomwa wakati hao nduguzo wakiwa lumande?Udini tu ndio unakusumbua huna lolote mbona kwa miaka yote waliokaa rumande hao waliowashitaki wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao? ,kenge mkubwa mwenye roho ya kishetani