Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Kuachia wahalifu kwa muda mfupi ni hatari inayokuja nchini

Kama anaiba tuna kula tabu iko wapi?
Hayo ni majinga yamezoea utawala wa mabavu
Ndugu zangu mulioachiwa na DPP. Tuacheni kwanza hapa JF tumalize mjadala wa kuelimishana. Hayo matusi huku uraiani yalishapitwa na wakati. Hiki ni kipindi cha majadiliano na maelewano. Au munaona mumechelewa kutoa michango?
 
Huyo baba yako dikteta alipovunja katiba kwa kugoma kunyonga watu waliohukumiwa kunyongwa mbona hukumkumbusha?

You are just a sadist. Period!
kunyonga watu sio sawa na unavyomyongea kiuno basha wako kitandani.

tofauti na nyerere wote walikwepa jukumu hili.
 
Kama wao ndio walikuwa wanawamwagia hao jamaa zako tindikali ndio wangepeleka ushahidi ili wafungwe, lakini mbona wameshindwa kuthibitisha?
Pumbavu,

kitendo cha wao kukaa lumande na kuicha nchi nzima ikiwa na amani, hakuna tindikali, hakuna majengo ya ibada kuchomwa moto, ni ushahidi tosha, unataka ushahidi gani wewe msamehewa!!

kwa hiyo kama unatesti zali, uelewe kabisa kwamba, miaka yote tisa nchi haikushuhudia uharamia wenu huo
 
Pumbavu,

kitendo cha wao kukaa lumande na kuicha nchi nzima ikiwa na amani, hakuna tindikali, hakuna majengo ya ibada kuchomwa moto, ni ushahidi tosha
Jengo gani la ibada lilichomwa Moto we punguani??!
 
Kwa mara nyingine mama anaendeleza gurudumu la haki kama anavyosema mwenyewe " toeni haki".

Mama ngoja nikuambie kitu, haki anatoa Mwenyenzi Mungu pekee yake. Hakuna mwanadamu anaweza kutoa haki. Nitapenda kusikia na wewe kwa nafasi yako umetoa haki kwa wafungwa wale waliohukumiwa kunyongwa ambao wapo toka serikali ya Mkapa. Wewe si unajua kutoa haki?

Mimi niwaambie wananchi. Siku hizi wizi unatokea, majambazi wanalazimika kuua ili kusipatikane ushahidi. Vibaka wanarudi mtaani kwa kasi maana ukipeelekwa kituo cha polisi hakuna ushahidi.

Mimi nawaasa sana watanzania tujilinde sisi wenyewe, maana serikali ya mama haioni hatari juu ya watu hatari. Mfano hili la masheikh kutolewa ni kitu cha ajabu sana kufanyika.

Serikali yoyote duniani inauwezo wa kukushikilia kwa sababu zozote. Hawa masheikh wameshikiliwa kwa uchochezi, vurugu, kusababisha uvunjaji wa amani, kuua, kudhuru ( padre alimwagiwa tindikali) nk.

Nashauri vile vile ambavyo hali itakuwa. Kama hawa wamekosa hukumu kwa kisingizio cha ushahidi. Basi, wache waje kitaani, wakileta ushezi wao pamoja na wale vibaka na majambazi.

Faida za kuua watu kama hao hapo juu ni kwamba hakutakuwa na ushahidi. Tunamalizana kitaani.

Nimemaliza.
 
sema jengo ambalo lilichomwa Moto na hao masheikh wa UHAMSHO??? muda wote kwann ukupeleka ushaidi high court Hadi case inafutwa punguani wewe
Hivi wewe si mmoja wao siyo??

Mbona unakiherehere sana yakhe!!
 
sema jengo ambalo lilichomwa Moto na hao masheikh wa UHAMSHO??? muda wote kwann ukupeleka ushaidi high court Hadi case inafutwa punguani wewe
Mkuu, tuyaache bhana haya, kwanza hayajengi, Tuachane nayo, Ila ni kweli kwamba, wakati mwingine duniani uonevu huwa hauiishi, ijapokuwa kweli na mambo maovu binadamu hutenda

Hivyo, furaha yetu ni kuwaona ndugu zetu hawa wakiwa pamoja nasi tena, tukifurahia nao tena kitaani
 
Ndio Ni mmoja wa waliokubaka wewe last night
Sawa mkuu, Ila nadhani, haya tuyaongeoayo, hayana tija kwetu, tuachane nayo mkuu, Furaha yetu ni kuona ndugu zetu wametoka ktk sehemu mbaya, na sasa tuko nao, ni wenzetu, Watanzania wenzetu wale, hata kama walitenda ama hawakutenda, letu ni kufurahia wametoka sehemu mbaya

Mungu ni mkubwa, na kila jambo limpatalo mwanadamu, huacha somo, ama maumivu n.k yote ni masomo, na hapa duniani, kila kitu kinaweza kumpata mtu yeyote
 
Mkuu, tuyaache bhana haya, kwanza hayajengi, Tuachane nayo, Ila ni kweli kwamba, wakati mwingine duniani uonevu huwa hauiishi, ijapokuwa kweli na mambo maovu binadamu hutenda

Hivyo, furaha yetu ni kuwaona ndugu zetu hawa wakiwa pamoja nasi tena, tukifurahia nao tena kitaani
Yes ilo ndio la msingi, wale watanzania wenzetu, serikali ilikuwa sawa kuwaweka ndani kwa maslai ya muungano wetu,Wala si kwamba walikuwa magaidi,

Walichokuwa wanakifanya ilikuwa Ni makosa makubwa kwa mujibu wa katiba,kwaiyo hakuna Rais ambae angekaa kimiya kwa kipindi kile asichukue hatua ,ilhali alishaapa kuulinda muungano,
Waliwekwa ndani ili wajifunze kutii mamlaka, na kwa muda waliokaa nadhani kwakuwa watu wazima washajifunza sio kila kitu cha kushupalia, vingine vina maslai ya kiusalama katika Nchi, acha Sasa wakaungane na familia zao, na Tumuache mama aongoze Nchi kwa Haki, ili tupige hatua kimaendeleo, Taifa lenye kudumisha Haki Mungu huwa anaribariki
 
Yes ilo ndio la msingi, wale watanzania wenzetu, serikali ilikuwa sawa kuwaweka ndani kwa maslai ya muungano wetu,Wala si kwamba walikuwa magaidi,

Walichokuwa wanakifanya ilikuwa Ni makosa makubwa kwa mujibu wa katiba,kwaiyo hakuna Rais ambae angekaa kimiya kwa kipindi kile asichukue hatua ,ilhali alishaapa kuulinda muungano,
Waliwekwa ndani ili wajifunze kutii mamlaka, na kwa muda waliokaa nadhani kwakuwa watu wazima washajifunza sio kila kitu cha kushupalia, vingine vina maslai ya kiusalama katika Nchi
Sawa kabisa mkuu, Samahani bhana kwa maneno yangu machafu, samahani sana aisee
 
Yes ilo ndio la msingi, wale watanzania wenzetu, serikali ilikuwa sawa kuwaweka ndani kwa maslai ya muungano wetu,Wala si kwamba walikuwa magaidi,

Walichokuwa wanakifanya ilikuwa Ni makosa makubwa kwa mujibu wa katiba,kwaiyo hakuna Rais ambae angekaa kimiya kwa kipindi kile asichukue hatua ,ilhali alishaapa kuulinda muungano,
Waliwekwa ndani ili wajifunze kutii mamlaka, na kwa muda waliokaa nadhani kwakuwa watu wazima washajifunza sio kila kitu cha kushupalia, vingine vina maslai ya kiusalama katika Nchi, acha Sasa wakaungane na familia zao, na Tumuache mama aongoze Nchi kwa Haki, ili tupige hatua kimaendeleo, Taifa lenye kudumisha Haki Mungu huwa anaribariki

Wewe una akili sawa sawa? Unajua haki ? Unajua nani anatoa haki hapa duniani. Unatetea jambo hili sababu wewe mwislamu sio?
 
Back
Top Bottom