Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Narudia tena, mna bahati! Mark my word!!
Hutakaa upate Uongozi kwa Akili hizo maana mungu anapenda uishi miaka mingi akikupa Uongozi utaanza udikiteta na matokeo yake utaishia kufa kwa pressure
 
Hayaaa! nani amemuona tundu hapo nyuma anapata mgawo
Tundu Lssu anaingiaje kwenye hili risasi apigwa kwa order kutoka juu lakini mungu kamuokoa
Sasa munanbebea bango ninti ndio hufa kifo cha kishenzi
 
Ni bilioni ngapi za taifa la wajinga mmelipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda aibu imewapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda, hata SA mlisema hivyo hivyo, tumewazoea kwa kujifariji
Anyway, tuwe wakweli tu. Nakala ya hukumu ya South Africa ilizungushwa kwenye mawasapp na mitandao immediately. Wekeni na hiyo hukumu ya Canada kukata mzizi wa fitna.
 
Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa kila kitu kidogo kikubwa matukio hawatakiwi kuacha chochote kile popote Nchini, usiwapangie cha kukosoa lazima wapite na mapungufu yote mda wote.
Kosoeni kwa nia ya kujenga sio mpaka mnaonekana watoto wa washirikina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…