Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #21
Kabla hujaingia kwenye ndoa. Lazima uhakikishe kuwa ukifulia sana atleast 5k unaacha nyumbani. Not less
Kuna changamoto za maisha yes. But sio kuididimiza familia kiasi hiko
Kitu kizito hahah siyo poa.Mwamba kapigwa tukio, dah
5k unaita nyingi? Aiseeee hiyo ni nauli tu bro. Unaona nyingi.5k bado nyingi sana kama kila kitu kipo
Hahahah alitawala kwa nguvu ya DolaMadhara ya kuoa kwa nguvu ya dola.
Pesa zikikuishia unaachwa laivu kama ivo.
Huyo mama Luxen nimempenda bure hakutaka kua mnafiki na kuanza vijisababu ameona awe mkweli hivi kweli mwanaume anaondoka hakuna hela ya dawa wala mboga mpaka atakaporudi ndoa mwanamme ajue kupika hapo mwanamke akisema umeshindwa kuhudumia unamlaumu kwa kipi??
Namshauri Baba Luxen amuache mama Luxen arudi kwao wakati anajipanga mambo yakikaa sawa atamrudia tuu
Ni kubwa sana sana5k unaita nyingi? Aiseeee hiyo ni nauli tu bro. Unaona nyingi.
Dah pole sana baba Luxen ila kimsingi tafta mawe tu! Hawa dada zetu mnaooa kwa mbwembwe za mishahara ya kampuni binafsi ni wa kuwa nao makini sana. Kazi ikiisha na mapenzi yanaisha kama hivyo.Nimeikuta mahali hii kitu, jamaa anaachika LIVE kisa maisha yamekua magumu.
Wanawake Mungu anawaona.....
View attachment 2051946
Idea nzuri ni kumpeleka home akasalimie kwanza ndugu zakeHuyo mama Luxen nimempenda bure hakutaka kua mnafiki na kuanza vijisababu ameona awe mkweli hivi kweli mwanaume anaondoka hakuna hela ya dawa wala mboga mpaka atakaporudi ndoa mwanamme ajue kupika hapo mwanamke akisema umeshindwa kuhudumia unamlaumu kwa kipi??
Namshauri Baba Luxen amuache mama Luxen arudi kwao wakati anajipanga mambo yakikaa sawa atamrudia tuu
Bahati mbaya hatujaambiwa kwamba mwanaume amekosa kwa siku ngapi, ukiona mpaka mwanamke amelaumu hivyo ujue ni jambo ambalo linashirikiana mara kwa mara (si lazima iwe kila siku)Mkuu acha kuwa na roho ya kike,mwanaume kukwama siku moja moja siyo issue,au unafikiri anaweza kukosa wiki nzima hela ya mboga? Hapo tatizo ni huyo mwanamke hana uvumilivu na mimi siku zote nitaendelea kusema wanawake ni vigeugeu kwenye mahusiano ndiyo maana hawaishi kupigwa matukio. Hapo anakimbilia kwa jamaa aliyejichanga miaka mitano anamlisha mwezi mmoja hela inakata na mimba juu ndiyo atajua hajui
Njia ya muongo huwa ni fupi sana na Haya ndio madhara ya kuanzisha mahusiano kwa kutumia uongoNimeikuta mahali hii kitu, jamaa anaachika LIVE kisa maisha yamekua magumu.
Wanawake Mungu anawaona.....
View attachment 2051946
🤣mpaka Google wamempa jamaa msaada wa option ya translationNimeikuta mahali hii kitu, jamaa anaachika LIVE kisa maisha yamekua magumu.
Wanawake Mungu anawaona.....
View attachment 2051946
Bas baki na jeuri yakoHahaha kwani Mimi naprint pesa?
Naoa mwingineBas baki na jeuri yako
Hakuna mpz bila ya pesa .Pesa ndio mpango mzima kaa na mapenzi yako mimi na pesa zangu huyo kuku wa kufuga nyumbani anataka pesa kama huna pesa hakuna mapenzi.Aiseeh wakuu hela ni ya msingi sana kwenye mahusiano siku hizi....yani hata mapenzi yawe ni ya ukweli hela pia inayashikilia
Wewe ni jinsia gani...!Kama ni ke utakua below 25 ukija kukua utaielewa zaidi Maisha hayapo tunavyoyawaza Maisha yapo tunavyoya face kwenye uhalisia usishangae huyu jamaa pengine alikua na kazi nzuri Maisha mazuri ila Mambo yakaja badilika na always Maisha yapo hivyo ups en down ndio definition halisi ya Maisha wanawake wa sasa ni tofauti sana na mama zetuHuyo mama Luxen nimempenda bure hakutaka kua mnafiki na kuanza vijisababu ameona awe mkweli hivi kweli mwanaume anaondoka hakuna hela ya dawa wala mboga mpaka atakaporudi ndo mwanamke ajue kupika hapo mwanamke akisema umeshindwa kuhudumia unamlaumu kwa kipi??
Namshauri Baba Luxen amuache mama Luxen arudi kwao wakati anajipanga mambo yakikaa sawa atamrudia tuu.