Kuagiza Gari nje ya nchi vs Kununua Yard

Kuagiza Gari nje ya nchi vs Kununua Yard

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ndugu wazalendo nawasihi kwa Upendo Mkuu Kama unataka Gari nzuri na kwa Bei nafuu ni Bora kuagiza kuliko kujilipua Yard ambako Gari zinakua zimetumika Sana Zanzibar Kisha zinavushwa Bara wanaondoa zile Plate number za kule na kupeleka carwash na kupulizia perfume ukijichanganya imekula kwako. Tofaut Ni kubwa Sana mpaka 8m kutegemea aina ya gari.
NB: nimeuziwa Kluger kwa Bei ya kutupwa kumbe ilianza kutumika Unguja November 2017 ikavushwa Bara September 2020 nimekuja kununua mm kichwa-kichwa. Sasa nimeangalia mtadaoni beforward Bei nafuu/tofauti ya 1800USD
 
Ndugu wazalendo nawasihi kwa Upendo Mkuu Kama unataka Gari nzuri na kwa Bei nafuu ni Bora kuagiza kuliko kujilipua Yard ambako Gari zinakua zimetumika Sana Zanzibar Kisha zinavushwa Bars wanaondoa zile Plate number za kule na kupeleka carwash na kupilizia perfume ukijichanganya imekula kwako
Pole mkuu naona wamekuliza, ila ungeuliza huku ungepata msaada mkubwa sana hayo yasingekukuta

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mtu akifanya janja janja akawekwa hadharani huyo hajaharibiwa biashara bali anasitishwa kuendelea kufanya janja janja.

Jamii imemuamini yeye hataki kufanya lililo jema kwa biashara nzuri.
Ni bora angezisema hizo yard zilizomfanyia mchezo huo kuliko kuzihukumu yard zote maana siyo kweli kuwa gari za kuagiza mwenyewe ni bora kuliko za yard kuna sababu nyingi zinapelekea mteja kuamua kununua yard badala ya kuagiza mwenyewe moja kwa moja
 
Nilinunua gari yard pale panapojaa maji kuhamaki kumbe Gari imetumika Unguja miaka 2 Kisha ikavushwa na meli kuja bara ikawekwa Tena yard
juzi nmepita kwny hyo yard nkakuta kua gari moja wamefungua bonet wanaikorokochoa sjui ilizngua nn. nkajisemea duhh yan gari ishaanza kuzngua akat ipo yard je ikinunuliwa?
 
Ndugu wazalendo nawasihi kwa Upendo Mkuu Kama unataka Gari nzuri na kwa Bei nafuu ni Bora kuagiza kuliko kujilipua Yard ambako Gari zinakua zimetumika Sana Zanzibar Kisha zinavushwa Bara wanaondoa zile Plate number za kule na kupeleka carwash na kupilizia perfume ukijichanganya imekula kwako. Tofaut Ni kubwa Sana mpaka 8m kutegemea aina ya gari
Asante sana mkuu kwa kutujuza
 
Nilinunua gari yard pale panapojaa maji kuhamaki kumbe Gari imetumika Unguja miaka 2 Kisha ikavushwa na meli kuja bara ikawekwa Tena yard
Sorry Mkuu; ni yard hii hapa karibu na fire? Kindly assist manake nina mpango wa kununua pale hvyo utakuwa umenisaidia.
 
Back
Top Bottom