Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni utapeli usiwaacheInspection ya visiwani nimeikuta kwenye failing baada ya kulipia benki (siku nakabidhiwa Gari)
Ndo hivo mkuu, info/connection ndo Kila kituWitty umenifungua macho kidogo. Ngoja nikawatembelee kidogo
Eeeh wee noma [emoji122][emoji122][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nimechekaa..
Hawa Jan nawakubali sana.. Hawana uchakachuaji kama Yard nyingine.
[emoji23][emoji23]Sikuzidi wewe Witty.Eeeh wee noma [emoji122][emoji122]
Km ni wahindi wapige beat kwamba unawagungulia mashitaka kwa utapeliJan japan international limited watu wanawaponda bali gari zao ni originalNifanyeje Mkuu. Kwa sasa nipo na gari huku Kerege
Mmmh hamna bana[emoji1751]
Josh umerudi tena kerege?[emoji23][emoji23][emoji23]Nifanyeje Mkuu. Kwa sasa nipo na gari huku Kerege
uko sawa kabisa kabisaKuliko ninunue gari yard hua naona ni bora nimvue mtu mkononi akiwa anaitumia.
Yard unaweza kununua IST kwa 12m imetumika Zanzibar na ya mkononi kwa mtu unanunua kwa 6m ameitumia hapahapa Bara. Which is which?!
Ndugu wazalendo nawasihi kwa Upendo Mkuu Kama unataka Gari nzuri na kwa Bei nafuu ni Bora kuagiza kuliko kujilipua Yard ambako Gari zinakua zimetumika Sana Zanzibar Kisha zinavushwa Bara wanaondoa zile Plate number za kule na kupeleka carwash na kupulizia perfume ukijichanganya imekula kwako. Tofaut Ni kubwa Sana mpaka 8m kutegemea aina ya gari.
NB: nimeuziwa Kluger kwa Bei ya kutupwa kumbe ilianza kutumika Unguja November 2017 ikavushwa Bara September 2020 nimekuja kununua mm kichwa-kichwa. Sasa nimeangalia mtadaoni beforward Bei nafuu/tofauti ya 1800USD
Haina kwereKerege ndo base wit
[emoji200][emoji201][emoji200][emoji201]Haina kwere
Nitafutie shamba kubwa la kufuga noah kama la milioni sita ntapata?[emoji848]
Chuura mambou?[emoji200][emoji201][emoji200][emoji201]
Achana nao hao wafuga majini, we nitafutieTatizo huku wamejaa wale jamaa zetu