Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poa ebu fanya hivo wanguPoa. Ngoja nkutafutie kule Mlingotini Kuna jamaa anauza heka 10 Bei poa baada ya mradi wa ujenzi wa bandari ya mkwere kuota mbawa
Kwani za yard zinatoka wapi hadi ziwe bora kuliko za kuagiza direct? Nadhani yard nyingi zinafanya huu ujanja ujanja aliousema mleta mada!!Ni bora angezisema hizo yard zilizomfanyia mchezo huo kuliko kuzihukumu yard zote maana siyo kweli kuwa gari za kuagiza mwenyewe ni bora kuliko za yard kuna sababu nyingi zinapelekea mteja kuamua kununua yard badala ya kuagiza mwenyewe moja kwa moja
Tofautisha kati ya biashara na utapelMnawaharibia biashara bwana
Acha waharibiwe, kwa nini wenyewe hawana huruma?Mnawaharibia biashara bwana
Sio kweli kabla gari haijaja kuna ukaguzi.Unapaswa utambue pia kua unaweza kuagiza pia ukakutana na kituko kuliko kununua yard uliza waliowahi kukutana na changamoto hizo
Unapotaka kununua gari befoward au sbt Japanese wanapunguzo lolote au ndio wanakomaa Bei Ile Ile waliyoandika. Naomba nieleweshwe.Yaah hii ndo sababu tunaagiza nje, mi naokoa hadi 3.5m kwa gari husika kulinganisha na bei ya Japan
Unapunguziwa lakini kidogo sana ukilia lia...mi Kuna gari moja nilijiliza hadi mikamasi eti wakatoa $100..[emoji849]Unapotaka kununua gari befoward au sbt Japanese wanapunguzo lolote au ndio wanakomaa Bei Ile Ile waliyoandika. Naomba nieleweshwe.