Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeddah ipo wapi?Al Ahil kacheza jana kwahiyo asafiri toka Brazil mpaka hapa Africa n kipengere
Hako kajamaa kanatatizo la uvivu katika kichwa ya kennyewe.Yaan kacheza Jana leo au kesho unataka aingie uwanjani Tena kwenye mchezo muhimu we jamaa vipi
Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini .
Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.
Nimewaza tu
Brazil?????? Ya wap wewe .Al Ahil kacheza jana kwahiyo asafiri toka Brazil mpaka hapa Africa n kipengere
Umeanza kushabikia mpira baada ya Mayele kusajiliwa YangaNimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini .
Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.
Nimewaza tu
Msamaria mmoja kaandika;Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.
Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.
Nimewaza tu
NimekubaliHili jamaa kiazi kwelikweli.
Nikiri sikujua ratiba yaoMsamaria mmoja kaandika;
"Kuna watu hamshirikishi ubongo kabla ya kuleta thread". Nenda kaongeze jina lako kwenye ile orodha.
Hakikisha kama ni mwanaume tafuta mwanamke mwenye akili ili watoto wapate kidogo akili ya mama maana wewe hauna kabisa , haiwezekani una access ya mtandao na haujui sababu iliyo wazi kabisa mechi ya Ahly kuairishwaNimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.
Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.
Nimewaza tu
Chomoa mwiko kwanza huko nyuma ndio utajua kuwa utopolo hamna mnachokijua kuhusu football,Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.
Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.
Nimewaza tu