Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Kuna kijana kaniuliza kwani we uliyejiajiri unaingiza zaidi ya 5M au upo chini ya hapo.
Na mjibu kama ifuatavyo 👇
Tatizo sio kuingiza kiasi gani we utakuwa mbumbu na unatetea upuuzi bora kuingiza buku yangu kuliko kutumia akili yangu kumuingizia million mwajiri wangu.
Hapa kinachozungumziwa ni utumwa wa kifikra sio kuingiza kiasi fulani cha pesa. Kuna watu wako na hela Ila hawana amani ya moyo.
Ni sawa na kumiliki pesa za majini zinakuendesha we unaona mtu yuko bomba kumbe anateseka. Kuajiriwa ni utumwa. Me sijali hata kama unamiliki kiwango gani cha pesa we kama umeajiriwa nakuona kama mwanamke aliyeolewa au anayedanga maana bila danga hapati mikwanja ila mimi naingiza buku binafsi haina kelele situmikishwi. We endelea kupambana.
Na mjibu kama ifuatavyo 👇
Tatizo sio kuingiza kiasi gani we utakuwa mbumbu na unatetea upuuzi bora kuingiza buku yangu kuliko kutumia akili yangu kumuingizia million mwajiri wangu.
Hapa kinachozungumziwa ni utumwa wa kifikra sio kuingiza kiasi fulani cha pesa. Kuna watu wako na hela Ila hawana amani ya moyo.
Ni sawa na kumiliki pesa za majini zinakuendesha we unaona mtu yuko bomba kumbe anateseka. Kuajiriwa ni utumwa. Me sijali hata kama unamiliki kiwango gani cha pesa we kama umeajiriwa nakuona kama mwanamke aliyeolewa au anayedanga maana bila danga hapati mikwanja ila mimi naingiza buku binafsi haina kelele situmikishwi. We endelea kupambana.