Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

Kijana mbona unatumia nguvu sana hauna kazi ya kufanya nn?

Maneno mengi kama na facts hamna ni guts tu za kutosha....Makasiriko ya kufa mtu .

Motivational quotes zinakusumbua kama hautaki basi Haina haha ya kuja hadharani kuaminisha watu..kuna jamaa alikuchapa na fact ndo maana bado umemuweka akilini
 
Ok. Next please...
Nenda shule ujue hata maana ya kuajiriwa. We ni mbumbumbu ktk hii dunia. Kwa hiyo utajitibu mwenyewe hostitalini, utajifundisha mweneyewe, kiwanda chako utatengeneza bidhaa mwenyewe, utajenga nyumba yako mwenyewe, utaendesha magari mwenyewe. Ndiyo maana nikasema we ni mbumbumbu.
 
Kijana mbona unatumia nguvu sana hauna kazi ya kufanya nn?

Maneno mengi kama na facts hamna ni guts tu za kutosha....Makasiriko ya kufa mtu .

Motivational quotes zinakusumbua kama hautaki basi Haina haha ya kuja hadharani kuaminisha watu..kuna jamaa alikuchapa na fact ndo maana bado umemuweka akilini
Fact gani sasa wakati bado kaolewa
 
Nenda shule ujue hata maana ya kuajiriwa. We ni mbumbumbu ktk hii dunia. Kwa hiyo utajitibu mwenyewe hostitalini, utajifundisha mweneyewe, kiwanda chako utatengeneza bidhaa mwenyewe, utajenga nyumba yako mwenyewe, utaendesha magari mwenyewe. Ndiyo maana nikasema we ni mbumbumbu.
Mbumbumbu wewe kwasababu bado umeolewa
 
Mkuu hapa nitakuwa nakosea au??
FB_IMG_16727816177535171.jpg
 
Sisi tuliojiajiri ndio wenye uwezo wa kununua hizo ndinga cash.

Waajiriwa wengi mnatembelea mabakuli mliopewa kwa mikopo kutoka ujira wenu.

Ndiga zenu ni vits,passo,ist,raum,corolla,carina,noha na kidogo kwa bahati mbaya rav 4. Tena unakuwa na kagari kamoja kama uniform ya shule ya msingi
Wamembie hawa wake za maboss
 
Back
Top Bottom