Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

Upo nyumban kwa mume wa dada yako unakula unakunya unalala bure unaona watu wajinga... Mume wenu kaenda kazin kamuachia dada yako ela ya mboga chenchi iliyobaki umenunua bando ili uje kuandika upumbav... Utaendelea kupakatwa na mwanaume mwenzako hadi marinda yakuishe...
We ndo umepakatwa kwasababu umeolewa. Acha utumwa me sina hata dada so cool
 
Maisha ni kupanga na kuchagua kila mmoja ashinde mechi zake mradi tumbo halilali njaa.
 
Itapendeza kama tukifahamu kuwa jamii inahitaji kila kada, kila taaluma na kila kazi. Ni ujuha kudhani au kujiaminisha kuwa watu wote wanaweza kuwa wafanya biashara...
We ndo unauwezo mdogo wa kifikra serious nakwambia. Nikuulize nani ataki kuwa na elimu ila kutokana na mambo kubana anabidi akaze hivo hivo.

Sio kwamba watu hawajui kuwa kuajiriwa ni utumwa ila anajiuliza anaanzaje kujiajiri au jamii itamchukuliaje
 
Admini naomba funga huu uzi[emoji16][emoji16].

Leo siku ya 3 ya mchuano, ubao wa matokeo unasoma hivi.

Watumwa 0 wapambanaji 3
[emoji1787][emoji1787]

Baada ya kuziduwa watumwa wameanza kurusha mawe uwanjani [emoji1787]
 
Back
Top Bottom