Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Wakuu tupunguze ukali wa maneno kidogosimzidi mamako aliyemruhusu babako kumkojolea ukazaliwa mpumbavu kama wewe angeweza kumshauri kuvaa condom lisizaliwe lipoyoyo kama wewe lisilo na faida hapa duniani.
wavivu wataigaMkuu hapa nitakuwa nakosea au??View attachment 2527302
Sijaona tusi jipya hapo mkuu....ngu wa ndizi tu unakaza fuvu wale wale.....😁😁😁We nikuuuuummmm aaaa tu huna jipya unaongea ujinga au unatafuta mtu akutifud ilo tope maana linakuwaaaashhhhh
Sawa nimekuelewaSamahani mkuu, naomba upunguze ukali wa maneno kidogo
Hiyo ni zaidi ya nchi ya kusadikika aiseewavivu wataiga
Waje kuangukia pua
Nani kapinga ndoa..kaa kwa kutulia acha kukaza fuvuVijana wanaopinga ndoa wameingia tena kupinga kuajiriwa
😂😂😂 Usipoangalia utalala na shemeji cc ako akiwa period mende weweSijaona tusi jipya hapo mkuu....ngu wa ndizi tu unakaza fuvu wale wale.....😁😁😁
Bora mama kuliko wewe mtoto wa kiume umeolewa kuna tofauti kubwa sana. Unapomtusi mama nadhani we ujaliwa na mwanamme umezaliwa na mwanamke so kaa kwa kutulia. Akili kisodasimzidi mamako aliyemruhusu babako kumkojolea ukazaliwa mpumbavu kama wewe angeweza kumshauri kuvaa condom lisizaliwe lipoyoyo kama wewe lisilo na faida hapa duniani.
Hesabu imekosewa hiyo.Mkuu hapa nitakuwa nakosea au??View attachment 2527302
Badala ya huu mfumo, unasuggest mfumo gani.Kama ambavyo kipindi kile cha Utumwa wa mwili WA kufanya kazi mashambani walichagua weusi wachache wakawapa asali ili wawasulubu wenzao...
Mkuu hapa anayeweza kuelewa ni professor wa commerce - mr Adam smithHesabu imekosewa hiyo.
Ina mislead. Huwezi kusave buku kila siku upate Hiyo hela.
Mwaka una siku 365 or 366.
Huyu katafuta kazi kakosa, kwahiyo kujifariji ili maisha yaendelee anajiambia hii falsafa.blaza umeandika uzi mbili zote una diss kuajiriwa, vipi umefukuzwa kazi au ume resign kwa sababu zako?
Itapendeza kama tukifahamu kuwa jamii inahitaji kila kada, kila taaluma na kila kazi. Ni ujuha kudhani au kujiaminisha kuwa watu wote wanaweza kuwa wafanya biashara. Au watu wote wanaweza kuwa wa kada moja, au watu wote wanatakiwa kujiajiri n.k.Kuna kijana kaniuliza kwani we uliyejiajiri unaingiza zaidi ya 5M au upo chini ya hapo.
Na mjibu kama ifuatavyo...
Kula bata sio huru huo kiongozi. Ni sawa na shule za private kuwa na siku maalumu ya kucheza muziki au kuinjoi na kujimix na wanafunzi wengineAngalia ulikokuwa umeajiriwa. Kuna ajira watu wamerelax na wanakula bata balaa sasa ukisema kuajiriwa ni utumwa mtu kama huyo hawezi kukuelewa. Uzuri wa ajira, hasara ya mwajiri wewe haikuhusu na faida ya mwajiri wewe haikuhusu. Ila lazima mshahara uingie.