Kuamini ukiachana na mpenzi wako atafikwa na baya ni ujinga!

Kuamini ukiachana na mpenzi wako atafikwa na baya ni ujinga!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Ati ukiachana na mpenzi wako basi litampata baya huko aendako na hata kama likimpata baya usifikiri limempata kwasababu aliachana nawewe! Huo ni upuuzi tu ambao ni kama failure ya ubongo. Your not the one who made every heart beat for anyone, so stop that foolish idea.

Wacha kufikiri kuna kitu kinaitwa karma! Acha kufikiri kifo cha adui yako ni malipo ya kile alichokitenda kwani maisha na kifo ni Sheria ambayo kila mwenye uhai lazima atapata na kifo.

Ukimalizana na mtu malizana nae, jipiganie kuokota dodo lako nae ataokota lakwake. Ikitokea adui yako amefeli chochote usichekelee, maana nawe hujui kesho yako inakujaje kupoteza ni Sheria usipozingatia hata wewe utapoteza tu.

Ukimalizana na mtu ishi maisha yako, fanya mambo yako acha fikra za kipuuzi ama za kishamba.

Nimeamua kuwafokea tu leo.😅
 
Hivi mtu uliyetemana nae inakuaje unamfuatilia mpaka ujue habari zake kua amepata majanga au amepata good life? ukitemana na mtu fanya kama vile hukuwahi kukutana nae hapa Duniani,be yourself and live your life,kuanza kumfuatilia ni dalili kua bado unaumia kwa kuachana nae,

Hata ukipata mafanikio baada ya kuachana nae,huna sababu ya kuanza kujionyesha kwake kua eti siku hizi mambo yako ni mazuri,huo ni udhaifu,wewe ishi maisha yako nae aishi maisha yake.
 
Watu wanaushamba mwingi kwenye kufikiri na wanaongozwa namahisiahisia ubongo kujifariji...😂
Inachekesha sana.

Mmeachana wewe kila siku kazi kumfuatilia mwenzako kama anaanguka kimaisha au kimahusiano ili uanze vislogan uchwara eti karma is real

Ndugu yangu wewe mfuatiliaji ni kundi la wachawi waliokosa vitendea kazi
 
Inachekesha sana.

Mmeachana kila siku kazi kumfuatilia mwenzako kama anaanguka kimaisha au kimahusiano ili uanze uanze vislogan uchwara eti karma is real

Ndugu yangu wewe mfuatiliaji ni kundi la wachawi waliokosa vitendea kazi
Mtu anayefuatilia maisha ya X wake ni mgonjwa wa akili na ameshindwa ku move on.
 
Ati ukiachana na mpenzi wako basi litampata baya huko aendako! Na hata kama likimpata baya usifikiri limempata kwasababu aliachana nawewe!
Huo ni upuuzi tu ambao ni kama failure ya ubongo!.
Your not the one who made every heart beat of anyone,so stop that foolish idea!.

Wacha kufikiri Kuna kitu kinaitwa karma! Acha kufikiri kifo cha adui yako ni malipo yakile alichokitenda kwani maisha na kifo ni Sheria ambayo Kila mwenye uhai lazima atapata na kifo!

Ukimalizana na mtu malizana nae,jipiganie kuokota dodo lako nae ataokota lakwake.. ikitokea adui yako amefeli chochote usichekelee maana nawe hujui kesho yako inakujaje kupoteza ni Sheria usipozingatia hata wewe utapoteza tu!.
Ukimalizana na mtu ishi maisha yako,fanya mambo yako acha fikra zakipuuzi ama zakishamba..

Nimeamua kuwafokea tu leo..😅
Watoto mnakwama wapi?
 
Hivi mtu uliyetemana nae inakuaje unamfuatilia mpaka ujue habari zake kua amepata majanga au amepata good life? ukitemana na mtu fanya kama vile hukuwahi kukutana nae hapa Duniani,be yourself and live your life,kuanza kumfuatilia ni dalili kua bado unaumia kwa kuachana nae,

Hata ukipata mafanikio baada ya kuachana nae,huna sababu ya kuanza kujionyesha kwake kua eti siku hizi mambo yako ni mazuri,huo ni udhaifu,wewe ishi maisha yako nae aishi maisha yake.
Habari yako mkuu…
Ninashida nawe kiongozi naona umefunga pm.
 
Back
Top Bottom