Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Wakuu hii kitu nimeshudia juz kwenye mgahawa mmoja hv una flemu 2 ila zote wameweka migahawa mmoja wa wapemba ambao walikuwa wa kwanza na kwa hakika walikuwa wanapiga sana hela ila majuz tu banda la pili nalo likapata mtu naye kaweka biashara kama ileile ya wapemba yaan ya chakula asbh, mchana na usk,

Walianza zozana kwa maneno ila siku ya siku ikasemekana wale jamaa walioamia karbun walionekana wanavunja mayai na naz usk, baada ya kupita siku kama 2 yule jamaa mwenye banda la wapemba alifika pale kwenye biashara yake asbh na alipofika akasema ili eneo ni chafu sana…!!! Watu walibak wakiduwaa tu wasielewe nn kinaendelea eneo lile, siku ya pili baada ya kusema maneno hayo yule boss mdogo wake alidondoka choon by saa 7 mchana hv na yule kaka mtu akaja akajarbu muombea dua ila wap ikashindika kwan alikuwa ata kuongea hawez na mwili wote haukuwa na nguvu ndipo walipopata wazo la kwenda kwa mashekhe wabobez nao ndio waliofanikisha yule jamaa akajisikia nafuu na kuanza kuongea japo bado hajakaa sawa…!!!

hakika ayah mambo yananamna sio bure mara nyingi wanaonguka choon bas kama si kupooza bas kufa na ukipona kabisa ukawa mzima Mungu tu na kudra zake ila si kitu kizur kwakwel:-

Nilishuhudia mwenye hiyo habari hapo juu kwan ni karbu na ofsini kwangu si kama nilisimuliwa

Mkuu soma post #9 ya Mtimti, hiyo ndio sababu kubwa inayowakumba watu - hakuna cha mashetani/nguvuzagiza au nini sijui!!
 
Mtoa mada tafadhali sana, fafanua haya!

1. Je, n choo cha aina gani? Cha tundu au cha kuflash?
2. Je, ni choo chenye tails au laa?
3. Je, ni choo cha nyumba ya kupanga au nyumba binafsi?
4. Je, Ni choo kama choo pekee, au choo na bafu?

Mtoa mada, ukinijibu haya pengine ninaweza kufukiria Kwa umakini[/QUOTM

Msipende ncheke peke yangu.

Asubuhi kuna mtu aliandika PAYLAW badala ya payroll
sasa nawewe unakuja na choo chenye mikia tails =mikia siku nyingine tumia neno vigae kiingereza chake ni TILES
 
hakuna mahusiano yoyote nishadondoka mara kama 3 hivi kwa haraka haraka na mpaka leo nadundika kama kawa....juzi kati mshua kapiga mweleka chooni nikaenda kumkokota mpaka nje ila mpaka leo bado anadundika kama kawa ila kama angeenda kwa mganga saa hizi kishaibiwa kibao kwa kumtafuta mchawi wake
 
labda ni uoga wao tu..mi nimeanguka mara kadhaa bafuni and am alive and kicking and God is always on my side...ila sikujua there's sth btn kuanguka chooni/bafuni na ushirikina

Mkuu wewe inaonyesha una Imani safi,ukishakuwa na Imani unaweza ukapita Sehemu mbalimbali ambazo ni hatarishi pasipo kudhurika.
 
Wengi inawatokea wakiwa ktk hali ya kujisaidia haja kubwa. ......kuna hali ambayo mgonjwa wa pressure anakuwa anajisikia kwenda kujisaidia, ile hali ya kutumia nguvu kujikima ili Utoe haja kubwa ndio inayopelekea hali hiyo (nilielezwa siku nyingi na Dr lkn nimesahau. ...kama kuna Dr ataielezea vizuri )....

Sawa sawa mkuu!!,hapo ka-mwanga nimekapata kiasi fulani.
 
Chooni hukaa pepo wachafu wa mauti nlisoma kitabu flani kinaelezea ndo mana wa imani flani hutanguliza mguu wa kushoto kabla ya kuingia. Mi mwenyewe hutokea nimeteleza bafuni au toilet hutoka mzima wa afya naamini blood of Jesus

Damu Ya Yesu ni Mwisho wa Mambo yote mkuu!!,
 
bora usiku ,ukianguka chooni mchana wa saa sita hadi saba lazima uvute. Choo ni sehemu chafu na tundu la choo ni kiza kitupu, pepo hukaa humo. choo huhifadhi mambo mengi ,ikiwemo damu ya hedi,shahawa ,vinyesi, nywele za binadamu na maswala ya kiganga

sumbai hili ndio lilikuwa jibu langu asante sana Msulibasi
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hii kitu nimeshudia juz kwenye mgahawa mmoja hv una flemu 2 ila zote wameweka migahawa mmoja wa wapemba ambao walikuwa wa kwanza na kwa hakika walikuwa wanapiga sana hela ila majuz tu banda la pili nalo likapata mtu naye kaweka biashara kama ileile ya wapemba yaan ya chakula asbh, mchana na usk,

Walianza zozana kwa maneno ila siku ya siku ikasemekana wale jamaa walioamia karbun walionekana wanavunja mayai na naz usk, baada ya kupita siku kama 2 yule jamaa mwenye banda la wapemba alifika pale kwenye biashara yake asbh na alipofika akasema ili eneo ni chafu sana…!!! Watu walibak wakiduwaa tu wasielewe nn kinaendelea eneo lile, siku ya pili baada ya kusema maneno hayo yule boss mdogo wake alidondoka choon by saa 7 mchana hv na yule kaka mtu akaja akajarbu muombea dua ila wap ikashindika kwan alikuwa ata kuongea hawez na mwili wote haukuwa na nguvu ndipo walipopata wazo la kwenda kwa mashekhe wabobez nao ndio waliofanikisha yule jamaa akajisikia nafuu na kuanza kuongea japo bado hajakaa sawa…!!!

hakika ayah mambo yananamna sio bure mara nyingi wanaonguka choon bas kama si kupooza bas kufa na ukipona kabisa ukawa mzima Mungu tu na kudra zake ila si kitu kizur kwakwel:-

Nilishuhudia mwenye hiyo habari hapo juu kwan ni karbu na ofsini kwangu si kama nilisimuliwa

Choo cha shimo lililo wazi moja kwa moja huchukuliwa kama mojawapo ya milango ya kuzimu kwakuwa choo kina sifa kadha zinazoshabihiana na kuzimu kama joto kali giza totoro na chini ya ardhi
Sio vyoo vyote vyaweza kuwa hivyo bali vile ambavyo jiografia ya ulimwengu wa roho inavifanya viwe kwenye mkondo wa kuelekea kuzimu
Kuna baadhi ya vyoo vina hiyo sifa kwahiyo havimalizi mwaka bila tukio kama si mtu kufia huko basi mtoto atatupwa au kuna mnyama atatumbukia na kufa
Vile vyoo ambavyo mtoto anatupwa usiku au mtu anatumbukia kisha anasalimika haviko kwenye hilo kundi
 
Mtoa mada tafadhali sana, fafanua haya!

1. Je, n choo cha aina gani? Cha tundu au cha kuflash?
2. Je, ni choo chenye tails au laa?
3. Je, ni choo cha nyumba ya kupanga au nyumba binafsi?
4. Je, Ni choo kama choo pekee, au choo na bafu?

Mtoa mada, ukinijibu haya pengine ninaweza kufukiria Kwa umakini

Nmefafanya incidence tofaut tofauti..but almost vyoo ilivyotokea ni vya kuflashi..ila tukio la kwanza kulitaja ni cha shimo..pia la huyu jirani ni cha shimo...
Nitashukuru kwa ufafanuzi
 
Habarini,

Nimekuwa nikipata tabu kufahamu juu ya hili swala la kuanguka bafuni/chooni na maswala ya kishirikina hii ni kutokana na matukio niliyo wahi kuyaona au kusikia kwanza kabisa.

2011 Nilipo kuwa shule fulani hivi ya wavulana usiku kuna kijana alitoka kwenda kujisaidia usiku wa manane then aliteleza na kuanguka baada ya hapo akadai kwamba ameona vitu vya ajabu, hakurudi alienda kwao akakaa kwa muda mrefu alipo rudi akadai ameenda kufanya mambo ya kimila la sivyo angefariki.

2014 nakumbuka wakati fulani pale hall 5 chuo rummate alitoka usiku kwenda kujisaidia wakati anatoka chooni aliteleza na kuanguka aliishiwa nguvu kutoka bafuni alirudi anajiburuza paka rum alikuwa na stress sana, alirudi kwao alipo waeleza wazazi wake alisema kwamba ni kama neema za Mungu tu yeye kupona ila asingepona kabisa.

2015 Kuna kijana alikuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo but kuna siku alienda chooni mabibo hostel aliteleza na kuanguka chooni alipo kimbizwa hospitali alifariki watu wakawa wanahusianisha na maswala ya kishirikina.

Leo pia jirani yangu ameanguka chooni amelalamika saana na kuogopa sana, amehusisha na mambo ya kishirikina.

Wana MMU naomba ushauri wenu na uzoefu wenu juu ya hili binafsi ni mkrist safi sipend kuyapa nguvu saana mambo ya kishirikina.

Cc. mshana jr njoo hapa mzee

Tusaidiane na kueleweshana

Kwa sisi waislam, mafundisho yanatuelekeza kwamba chooni ni sehemu hatari sana kwani majini wabaya (mashetani) huwa wanapenda kupitapita au hata kukaa baadhi ya nyakati, na hivyo wakati mwingine huweza kumdhuru mtumiaji wa choo mara anapoingia kufanya mahitaji yake.
Kujiepusha na hayo, waislam tumefundishwa kutangulia kuomba dua kabla ya kuingia chooni, hilo tumesisitizwa sana km vile ni lazima, yaani muislam asiingie chooni bila kuomba dua
nashangaa watu wa siku hizi mtu anathubutu kuweka AC chooni
 
Kwa sisi waislam, mafundisho yanatuelekeza kwamba chooni ni sehemu hatari sana kwani majini wabaya (mashetani) huwa wanapenda kupitapita au hata kukaa baadhi ya nyakati, na hivyo wakati mwingine huweza kumdhuru mtumiaji wa choo mara anapoingia kufanya mahitaji yake.
Kujiepusha na hayo, waislam tumefundishwa kutangulia kuomba dua kabla ya kuingia chooni, hilo tumesisitizwa sana km vile ni lazima, yaani muislam asiingie chooni bila kuomba dua
nashangaa watu wa siku hizi mtu anathubutu kuweka AC chooni

Asante kwa hiyo wanaoanguka maybe ni wale wasio omba dua?
 
majini wabaya hupendelea chooni sasa lazma usome dua ya kujikinga nao wakati wa kuingia na kutoka
 
Asante kwa hiyo wanaoanguka maybe ni wale wasio omba dua?

kwakuwa mpangaji wa kila jambo ni Mwenyezi Mungu, yeye ndie anaepanga nini kita kukuta na ni muda gani, yeye M/Mungu ametuelekeza kwa maombi ya dua huwa akipenda anayabadilisha aliyokupangia, kwa hiyo kwa muislam kuomba dua ni kuomba msaada tu juu ya maamuzi ya mwenyezi mungu, yeye ndie ataamua
 
imewahi toke mara kadhaa hapa Dar mtu kuingia chooni na kukuta joka kubwa ukizingatia ni mjini , sasa wahusika huita wataalm na si kupaparika kulipiga
 
Mimi sio daktari lakini nimeona wengi wakianguka bafuni na si chooni. Nadhani watu huwa tunatembea na magonjwa na hatujui ukianza kuoga kujimwagia maji ni kama msukumo wa damu unaongezeka kwa kasi sasa mtu anaweza kuwa na pressure ndio anaanguka. Au jaribu kumaliza kula halafu ukimbie wa speed lazima uzimie so may be supply ya oksijeni kwenye ubongo inakuwa hakuna na msukumo wa damu unaongezeka kwa speed. Ni vizuri tuwe tunacheki afya zetu.
 
Mtoa mada tafadhali sana, fafanua haya!

1. Je, n choo cha aina gani? Cha tundu au cha kuflash?
2. Je, ni choo chenye tails au laa?
3. Je, ni choo cha nyumba ya kupanga au nyumba binafsi?
4. Je, Ni choo kama choo pekee, au choo na bafu?

Mtoa mada, ukinijibu haya pengine ninaweza kufukiria Kwa umakini

Anamaanisha Choo=kinyesi
 
Hapa lazima utolewa ufafanuzi kwa anaefahamu mambo haya,ni KUANGUKA au KUTELEZA NA KUANGUKA CHOONI?maana kama Kuteleza na Kuanguka Chooni mimi nishateleza na kuanguka chooni/Bafuni hata zaidi ya mara 50 na sijaona tukio lolote baya wala hali tofauti kama unavyoteleza na kuanguka sehemu tofauti na Chooni au Bafuni.
 
Back
Top Bottom