Luhungu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 817
- 237
Mimi sio daktari lakini nimeona wengi wakianguka bafuni na si chooni. Nadhani watu huwa tunatembea na magonjwa na hatujui ukianza kuoga kujimwagia maji ni kama msukumo wa damu unaongezeka kwa kasi sasa mtu anaweza kuwa na pressure ndio anaanguka. Au jaribu kumaliza kula halafu ukimbie wa speed lazima uzimie so may be supply ya oksijeni kwenye ubongo inakuwa hakuna na msukumo wa damu unaongezeka kwa speed. Ni vizuri tuwe tunacheki afya zetu.
Hata mie naunga mkono. Na itambulike kuwa, hasa wakati wa kuoga, mapigo ya moyo huongeza ama kupunguza usukumaji wa damu japo ambalo hipelekea kwa wagonjwa pressure kujikuta matatzon.