Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio daktari lakini nimeona wengi wakianguka bafuni na si chooni. Nadhani watu huwa tunatembea na magonjwa na hatujui ukianza kuoga kujimwagia maji ni kama msukumo wa damu unaongezeka kwa kasi sasa mtu anaweza kuwa na pressure ndio anaanguka. Au jaribu kumaliza kula halafu ukimbie wa speed lazima uzimie so may be supply ya oksijeni kwenye ubongo inakuwa hakuna na msukumo wa damu unaongezeka kwa speed. Ni vizuri tuwe tunacheki afya zetu.
chooni au bafuni ni miongoni mwa madirisha ya kuzimu, sasa kama hao majini wapo katka shughul zao then ukawabughuzi wanakulapua kofi ILA inategemeana na kinga zako za mwli i.e za mungu kwa waumini au kama umejzndka kwa witch dokta...
Nimekuwa nikishangazwa na hii kitu, nimekuwa shuhuda mara ya tatu sasa watu wangu wa karibu na majirani kila wanapoteleza bafuni basi kama cyo kupoteza maisha ni kuwa mlemavu, nisaidieni bafuni huwa kuna mkosi gani jamani????
Pressure, wanapata stroke,hakuna mkosi wala nini.
jitahidi ndugu zako wawe wanajua hali zao za afya, wajiupeshe kwenda kuoga maji baridi pressure ikiwa juu na kujisaidia haja kubwa hasa kwenye choo za kujipinda na kuongeza stress kwenye mishipa.
Pole sana na RIP kwa ndugu zako
Kifo ni mpango wa Mungu na kila kifo huwa kina sababu hata kama siku zako zimefika lazima kuwe na chanzo.
Nimekuwa nikishangazwa na hii kitu, nimekuwa shuhuda mara ya tatu sasa watu wangu wa karibu na majirani kila wanapoteleza bafuni basi kama cyo kupoteza maisha ni kuwa mlemavu, nisaidieni bafuni huwa kuna mkosi gani jamani????
chooni au bafuni ni miongoni mwa madirisha ya kuzimu, sasa kama hao majini wapo katka shughul zao then ukawabughuzi wanakulapua kofi ILA inategemeana na kinga zako za mwli i.e za mungu kwa waumini au kama umejzndka kwa witch dokta...