hojapreneur
Member
- Nov 12, 2010
- 19
- 0
1.alijenga ofisi ya spika urambo
2.hakupenda kuishi nyumba ya serikali alopewa na akapanga mtaani,8000 kwa mwezi(soma dola za marekani)
3.alinunua vijidonge flani hivi kutibu mguu,sh.milioni 2,kiduka cha dawa mtaani!
4.hakuzoea kufanya retirements akitoka safari(kuna kama m.70 tu kwa ajili ya msosi hakuzi-account for
5.niliwahi kuhudhuria meeting ukumbi mmoja dodoma,african dream conference centre lakini sikumaliza meeting baada ya kufahamu anaumiliki yeye,mnabisha?
ASIHOFU MZEE WA WATU,KWANZA YE ANA NGOZI NGUMU NA NI CHUMA CHA PUA...LOL!!!
Sawa tu. Wataendelea kuchakachuliwa. Wameibiwa kura wakapewa nafasi ya umakamu wa rais huko Zanzibar wakachekelea na kushukuru sana
Binafsi nimeumia nafsi yangu sana, sio tu kwasababu ya kushindwa kwa mr sitta ila namna ambavyo serikali ya kikwete inavyotuona watanzania hatuna akili, kumuondoa sitta kwenye uspika ni lengo la ccm kulinda maslahi ya mafisadi, badala ya maslahi ya watanzania wote, mapungufu ya sita yalikuwa wazi kwani yeye siye aliyepeleka mijadala ya ufisadi ilailikuwa ni nguvu ya msukumo wa bunge ndio ilimlazimisha sitta kuruhusu mijadala hiyo ambayo mwisho wake mpaka leo haupowazi, wabunge turudishieni imani yetu kwa bunge kwakumkataa anna makinda ili mafisadi wasilindwe!
Binafsi nimeumia nafsi yangu sana, sio tu kwasababu ya kushindwa kwa mr sitta ila namna ambavyo serikali ya kikwete inavyotuona watanzania hatuna akili, kumuondoa sitta kwenye uspika ni lengo la ccm kulinda maslahi ya mafisadi, badala ya maslahi ya watanzania wote, mapungufu ya sita yalikuwa wazi kwani yeye siye aliyepeleka mijadala ya ufisadi ilailikuwa ni nguvu ya msukumo wa bunge ndio ilimlazimisha sitta kuruhusu mijadala hiyo ambayo mwisho wake mpaka leo haupowazi, wabunge turudishieni imani yetu kwa bunge kwakumkataa anna makinda ili mafisadi wasilindwe!
KWAKHELI MR SIX, HAYO NDIO MALIPO YA CCM, AKINA ROSTAM NA LOWASA SAHIZI WANAKUCHEKA, ILA SISI TUTAKUKUMBUKA NA TUNAKUKARIBISHA KWENYE UPAMBANAJI, TOKA CCM NJOO UPINZANI.:croc:
Kumbuka akishtakiwa 6 basi karibu ya TZ nzima watumishi wa serikali watashtakiwa. Hasa wahasibi , afisa tawala na wakuu wa idara wooooote1.alijenga ofisi ya spika urambo
2.hakupenda kuishi nyumba ya serikali alopewa na akapanga mtaani,8000 kwa mwezi(soma dola za marekani)
3.alinunua vijidonge flani hivi kutibu mguu,sh.milioni 2,kiduka cha dawa mtaani!
4.hakuzoea kufanya retirements akitoka safari(kuna kama m.70 tu kwa ajili ya msosi hakuzi-account for
5.niliwahi kuhudhuria meeting ukumbi mmoja dodoma,african dream conference centre lakini sikumaliza meeting baada ya kufahamu anaumiliki yeye,mnabisha?
ASIHOFU MZEE WA WATU,KWANZA YE ANA NGOZI NGUMU NA NI CHUMA CHA PUA...LOL!!!
Sitta ni mnafiki na opportunist..hana lolote kwanza afadhali kapigwa chini
So, what the hell is so special with Samwel Sitta (MP)? Rudia kusoma hapo bold/blue!
To Samwel Sitta (MP) is a "victim" of "power struggle"
1.alijenga ofisi ya spika urambo
2.hakupenda kuishi nyumba ya serikali alopewa na akapanga mtaani,8000 kwa mwezi(soma dola za marekani)
3.alinunua vijidonge flani hivi kutibu mguu,sh.milioni 2,kiduka cha dawa mtaani!
4.hakuzoea kufanya retirements akitoka safari(kuna kama m.70 tu kwa ajili ya msosi hakuzi-account for
5.niliwahi kuhudhuria meeting ukumbi mmoja dodoma,african dream conference centre lakini sikumaliza meeting baada ya kufahamu anaumiliki yeye,mnabisha?
ASIHOFU MZEE WA WATU,KWANZA YE ANA NGOZI NGUMU NA NI CHUMA CHA PUA...LOL!!!
Nyie mnagombea nafasi, wenzenu wanagombea maendeleo.
Kama unashirikishwa katika maendeleo ya nchi sasa uroho wa nini?
CHADEMA UROHO WA MADARAKA UTAWAUA!!!!!!!!!!!!!!!!