Wewe umekasirika wakati ulikuwa unatetea ushoga? Wazazi wako wangeshiriki ndoa za jinsia moja ungezaliwa?Unaumwa SAFURA wewe,umeshawahi kuwa Mkatoliki?.Sometimes ni bora kufyata mkia utaonekana una akili kuliko kushabikia usichokuwa na Uhakika nacho.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
.
Uko sahihi na bahati nzuri wewe umejitambua lakini shida ni kwamba mafundisho ya uongo yataangamiza wengine. Imagine mtu fulani ni shoga au msagaji, badala ya kuacha njia zake mbaya anaweza kuwaza kwamba kwa vile kanisa limebariki haya mambo, basi sio kosa kumbe anapotea!
Depal uko vyedi kwenye ukatukumeni na katekisimu.
Sio kwa nondo hizi! 😋😋😋
Asante shekhe.. mimi nimepata kitu apo.. "Fuata sheria za mungu wako"Karibu katika uislamu
Kwa nini Uislamu hauna kiongozi wa dunia mfano wa Papa?
Kwa sababu Uislamu unawataka watu wajifikirie wenyewe, badala ya kuwa na mtu aliyeteuliwa na wanasiasa kuwaambia watu wamfuate nani na wafanye nini.
Asili ya Uislamu ni kumkomboa mwanadamu, kwani imani na utii lazima utokane na mwanadamu mwenye hiari.
Mtume na wafuasi wake walihubiri na kutetea imani kwa maisha yao yote, ambayo ilikuwa ni kuwakomboa wanadamu kutoka kwenye ukandamizaji na kuwapa fursa ya kuchagua kwa uhuru kumwabudu MUNGU (au la, juu yako mradi tu usilazimishe itikadi yako kwa wengine).
Mambo mawili hayapo katika Uislamu:
Dhana ya kwamba kiongozi wa kiroho hana dhambi hiyo haipo katika uislamu wa leo, kila sheikh anayejinasibu ni kiongozi wa kidini basi anazo dhambi. (dhana ya papa kutokua na dhambi ni kosa kubwa sana kuamini hivyo),
Na wazo la kwamba mtu yeyote Hana haki (zaidi ya kile kinachozingatiwa kuwa makubaliano ya umoja kwa jambo lolote la kidini. (Uislamu hauna mambo hayo).
Hii ni kwasababu uongozi wa kiroho katika uislamu hauchaguliwi na watu bali MUNGU mwenyewe ndio huwachagua viongozi wa kiroho. Wala Masheikh wa leo sio viongozi wa kiroho waliochaguliwa na MUNGU bali hao ni wasomi na wanazuoni wa dini tu ambapo mtu yeyote anaweza kusoma na kufikia hapo. Na wala kisomo chake hakiwezi kumpa uongozi wa kiroho na kumtakasa kutokana na dhambi.
Papa anaaminika kulindwa na Roho Mtakatifu kutokana na makosa anapofundisha jambo fulani kinyume na maadili
Uislamu hauna mtu ambaye anaonekana kuwa na kinga dhidi ya makosa ya kimaadili na kimafundisho katika ofisi yake ya ualimu.
Shida inakuja kwamba kuamini 'Papa hana makosa'. Hii imeruhusu viwango vya ajabu vya umoja, mshikamano, na ulimwengu wote katika mafundisho na desturi za kidini, ambazo pia huamuliwa na kiongozi wao mkuu.
Kwa maneno ya mwisho ni kwamba uwepo wa mamlaka kuu ya kidini kwa kawaida haifanyi dini kuwa isiyo na sheria. Ikiwa Papa hana hofu juu ya ushoga haimaanishi mlango wako wa kutafakari umefungwa. Wewe Fuata sheria za MUNGU wako, achana na mamlaka inayokengeuka, na hivyo ndivyo sisi waislamu tunafundishwa.
Uislamu unampa uhuru kila mtu kuhoji na kutafakari bila mipaka, uislamu haujamfunga mtu pingu ndio maana unaona kila mtu katika uislamu anazungumza, na mwenye haki hupata wafuasi wengi na hiyo ndio demokrasi.
Hilo kanisa linatumikia mila nadesturi za warumi wa hapo Italy halijawahi kua kanisa la Yesu.Hakika nimelichagua fungu lililo jema
Lete ushahidiLimeruhusu bado tamko rasmi lakini dalili za Mvua ni mawingu usikute huko Vatican watu wameoana otherwise wanapata wapi ujasiri wa kutangaza upuuzi?
,
Kama ungeendelea kubaki ningekushangaa sana. Hongera [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji3]Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.
Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.
Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli
Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.
Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.
Lakini shehe au mufti mkuu wa mkoa mnae sio....Karibu katika uislamu
Kwa nini Uislamu hauna kiongozi wa dunia mfano wa Papa?
Kwa sababu Uislamu unawataka watu wajifikirie wenyewe, badala ya kuwa na mtu aliyeteuliwa na wanasiasa kuwaambia watu wamfuate nani na wafanye nini.
Asili ya Uislamu ni kumkomboa mwanadamu, kwani imani na utii lazima utokane na mwanadamu mwenye hiari.
Mtume na wafuasi wake walihubiri na kutetea imani kwa maisha yao yote, ambayo ilikuwa ni kuwakomboa wanadamu kutoka kwenye ukandamizaji na kuwapa fursa ya kuchagua kwa uhuru kumwabudu MUNGU (au la, juu yako mradi tu usilazimishe itikadi yako kwa wengine).
Mambo mawili hayapo katika Uislamu:
Dhana ya kwamba kiongozi wa kiroho hana dhambi hiyo haipo katika uislamu wa leo, kila sheikh anayejinasibu ni kiongozi wa kidini basi anazo dhambi. (dhana ya papa kutokua na dhambi ni kosa kubwa sana kuamini hivyo),
Na wazo la kwamba mtu yeyote Hana haki (zaidi ya kile kinachozingatiwa kuwa makubaliano ya umoja kwa jambo lolote la kidini. (Uislamu hauna mambo hayo).
Hii ni kwasababu uongozi wa kiroho katika uislamu hauchaguliwi na watu bali MUNGU mwenyewe ndio huwachagua viongozi wa kiroho. Wala Masheikh wa leo sio viongozi wa kiroho waliochaguliwa na MUNGU bali hao ni wasomi na wanazuoni wa dini tu ambapo mtu yeyote anaweza kusoma na kufikia hapo. Na wala kisomo chake hakiwezi kumpa uongozi wa kiroho na kumtakasa kutokana na dhambi.
Papa anaaminika kulindwa na Roho Mtakatifu kutokana na makosa anapofundisha jambo fulani kinyume na maadili
Uislamu hauna mtu ambaye anaonekana kuwa na kinga dhidi ya makosa ya kimaadili na kimafundisho katika ofisi yake ya ualimu.
Shida inakuja kwamba kuamini 'Papa hana makosa'. Hii imeruhusu viwango vya ajabu vya umoja, mshikamano, na ulimwengu wote katika mafundisho na desturi za kidini, ambazo pia huamuliwa na kiongozi wao mkuu.
Kwa maneno ya mwisho ni kwamba uwepo wa mamlaka kuu ya kidini kwa kawaida haifanyi dini kuwa isiyo na sheria. Ikiwa Papa hana hofu juu ya ushoga haimaanishi mlango wako wa kutafakari umefungwa. Wewe Fuata sheria za MUNGU wako, achana na mamlaka inayokengeuka, na hivyo ndivyo sisi waislamu tunafundishwa.
Uislamu unampa uhuru kila mtu kuhoji na kutafakari bila mipaka, uislamu haujamfunga mtu pingu ndio maana unaona kila mtu katika uislamu anazungumza, na mwenye haki hupata wafuasi wengi na hiyo ndio demokrasi.
Kataa kuwa Roman Catholic na sii Catholic.Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.
Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.
Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli
Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.
Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.
Haha wanakuambia mungu tayari ana wateule wake hivyo ninyi wenye mioyo migumu sio wateule wakeNyie mnasema mwisho wa dunia
Mimi nasema ni mageuzi kutoka kwenye kuamini hadithi kwenda kwenye kutumia akili
Kumbe bado ulikua unaabudu sanamu za kizungu hahaha njoo huku tuendelee kuabudu miembeSikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.
Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.
Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli
Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.
Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.