Kuanzia leo mimi sio Mkatoliki tena, wala kanisa lisinizike, liendee na ushoga wake

Kuanzia leo mimi sio Mkatoliki tena, wala kanisa lisinizike, liendee na ushoga wake

Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.

Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.

Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli

Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.

Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.
Kwa hiyo unataka kunishawishi na haka ka-zaka kangu nisikatoe
 
papa kaona aharibu mwisho wa mwaka huyoo papa kwa hayoo maneno ataharibu watu wengi sana duniani. yale mashirika yanayo tetea ndoa ya jinsia moja mwaka 2024 yatakuja kwa speed ya 5 g.
.
Unadhani papa peke yake anaweza kuongea jambo lililo kinyume na msimamo wa kanisa? Think again.
 
Tuwekee cheti chako cha ubatizo,komunyo,kipaimara na ndoa tuone uhalali wa ukatoliki wako, otherwise unakuja unajitia dole gumba kwenye tigo yako na kunusa!!!
 
Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.

Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.

Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli

Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.

Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.

View: https://youtube.com/watch?v=hifIo_lEdaY&si=-dyiEO5oxGjlyqGa
 
Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.

Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.

Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli

Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.

Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.
Wala hukuwa Mkatoliki, endelea tu na u Pentekoste wako. Sisi bado twaliamini Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.

Wala Pope hajaruhusu kubariki ndoa za jinsia moja, bali ni namna MNAVYOMTAFSIRI visivyo. Amesema hivi;


"Ni sawa kuwabariki hata mashoga lakini sio kuwafungisha au kuwafanyia ibada kuhusu relationship zao…


Hii inamaana Padri anaweza kumbariki shoga sawa na anavyoweza kumbariki mwizi na mali zake au mpagani au mtu wa imani nyingine.

🙌🏿🙌🏿
 
.
Wala sio swala la umri, do you really think pope anaweza kufanya maamuzi kwenye issue nyeti kama hii akiwa peke yake?? Think again.
Unadhani baba yako akikazania msinamo wake, nyie watoto mtakuwa na jipya?
 
Wanaruhusiwa kuja kwenye kanisa, yaani mtu umejipanga foleni ya kupokea Mwili wa kristo Mbele yako unamuona James Delicious?? STUPID KABISAA
that's a conservative view and it's undertandable. Papa ana mtazamo ambao ni more liberal. Na kwa kweli mimi nadhani yuko sawa. Kama james delicious hastahili kuingia kanisani, Chenge anapata wapi haki hiyo? Vipi kuhusu walevi? Vipi kuhusu wazinzi?. Unataka kuniambia james delicious ana madhara kwenye jamii kuliko Mafisadi ambao ni wazee wa kanisa?
 
Hii ni fake news! Kanisa katoliki lina njia zake za kusambaza habari na maamuzi yake! Why not CNN , Why always ni BBC?? Catholic will prevail always
Hujaona CNN.... Punguza machungu Najua ni ngumu kumeza but ndio ukweli ndugu. Tusitegemee sana kumsaka Mungu Kawa kupitia hizi TAASISI. MUNGU Waweza kuwa na mahusiano nae bila hizi TAASISI.
Maana shetani hatamtumia gwamaka WA kilolo kukamata waumini Bali watatumia Hao Hao viongozi WA dini na hizo taaisis maana anajua waumini mnaziabudu sana
 
.
Baba akiwaambia wanae wawe mashoga au wasagaji, watoto wamkubalie kwasababu yeye ni baba?
Baba atakazania msimamo
Na nyie watoto mtachagua kuunga mkono, ama kumchinjia baharini.

So back to pope, wazungu wenzake wanapenda hiyo michezo watamfata,huku Tanzania hatuna hizo pigo so tutachinjia baharini hoja yake.

So baba atabaki na msimamo wake
Watoto mtachagua pakusimamia..
 
Kwan nn kimetokea huko kwa wagalatia...
 
Karibu katika uislamu

Kwa nini Uislamu hauna kiongozi wa dunia mfano wa Papa?

Kwa sababu Uislamu unawataka watu wajifikirie wenyewe, badala ya kuwa na mtu aliyeteuliwa na wanasiasa kuwaambia watu wamfuate nani na wafanye nini.

Asili ya Uislamu ni kumkomboa mwanadamu, kwani imani na utii lazima utokane na mwanadamu mwenye hiari.

Mtume na wafuasi wake walihubiri na kutetea imani kwa maisha yao yote, ambayo ilikuwa ni kuwakomboa wanadamu kutoka kwenye ukandamizaji na kuwapa fursa ya kuchagua kwa uhuru kumwabudu MUNGU (au la, juu yako mradi tu usilazimishe itikadi yako kwa wengine).

Mambo mawili hayapo katika Uislamu:
Dhana ya kwamba kiongozi wa kiroho hana dhambi hiyo haipo katika uislamu wa leo, kila sheikh anayejinasibu ni kiongozi wa kidini basi anazo dhambi. (dhana ya papa kutokua na dhambi ni kosa kubwa sana kuamini hivyo),

Na wazo la kwamba mtu yeyote Hana haki (zaidi ya kile kinachozingatiwa kuwa makubaliano ya umoja kwa jambo lolote la kidini. (Uislamu hauna mambo hayo).

Hii ni kwasababu uongozi wa kiroho katika uislamu hauchaguliwi na watu bali MUNGU mwenyewe ndio huwachagua viongozi wa kiroho. Wala Masheikh wa leo sio viongozi wa kiroho waliochaguliwa na MUNGU bali hao ni wasomi na wanazuoni wa dini tu ambapo mtu yeyote anaweza kusoma na kufikia hapo. Na wala kisomo chake hakiwezi kumpa uongozi wa kiroho na kumtakasa kutokana na dhambi.

Papa anaaminika kulindwa na Roho Mtakatifu kutokana na makosa anapofundisha jambo fulani kinyume na maadili

Uislamu hauna mtu ambaye anaonekana kuwa na kinga dhidi ya makosa ya kimaadili na kimafundisho katika ofisi yake ya ualimu.

Shida inakuja kwamba kuamini 'Papa hana makosa'. Hii imeruhusu viwango vya ajabu vya umoja, mshikamano, na ulimwengu wote katika mafundisho na desturi za kidini, ambazo pia huamuliwa na kiongozi wao mkuu.

Kwa maneno ya mwisho ni kwamba uwepo wa mamlaka kuu ya kidini kwa kawaida haifanyi dini kuwa isiyo na sheria. Ikiwa Papa hana hofu juu ya ushoga haimaanishi mlango wako wa kutafakari umefungwa. Wewe Fuata sheria za MUNGU wako, achana na mamlaka inayokengeuka, na hivyo ndivyo sisi waislamu tunafundishwa.

Uislamu unampa uhuru kila mtu kuhoji na kutafakari bila mipaka, uislamu haujamfunga mtu pingu ndio maana unaona kila mtu katika uislamu anazungumza, na mwenye haki hupata wafuasi wengi na hiyo ndio demokrasi.
Fuata Uislamu kwa furaha yako lakini usitukaribishe sisi kwa kuwa tunaiona ni dini ya KISHETANI. Hata Salman Rushdie baada ya kusoma Quran vizuri akiona ni juzuu iliyojaa chuki, visasi na kumwaga damu. (rejea kitabu cha Satanic Verses)

Ninapomsikia mtu ni Mwislamu cha kwanza kinachokuja kichwani ni uwoga wa kuwa karibu naye. Maana Mwislamu kuvaa mabomu na kujilipua kwa ajili ya kumtetea Mwamedi ni dakika 0. Na sisi Tamzania tulikumbwa na haya madhila kule Amboni mwaka 2014 na Kibiti na Mkuranga mwaka 2016 hadi tulipopeleka jeshi na kuwaua wote.

Angalia kinachotokea huko Gaza ambapo Hamas wanaua maelfu ya watu, angalia Yemen, Somalia, Syria, Iraq na Afghanistan. Kote huko watu wanajilipua mabomu na kuua watu eti kumtetea ALLA!! Halafu unaniambia eti Uislamu ndiyo dini ya kweli?? MNADANGANYWA sana na warabu

Sisi Wakristu hususan Wakatoliki hata ungeitukana Imani yetu kiasi gani, tutakusikiliza tu, halafu tutaendelea na imani yetu. Hatupandishi Jazba NG'O!!

Haya matamko ya Pope Francis kwanza ni yake binafsi na pili vyombo vya habari vinapotosha aliyoongea. Kanisa Katoliki linabadili mafundisho yake siyo kwa kauli ya Pope bali kwa maamuzi ya Mtaguso Mkuu. Mtaguso Mkuu wa mwisho ukikuwa mwaka 1959 wakati wa Pope John XXIII (What is Vatican II?.) Mengine yote unayosikia kutoka kwa Pope ni maoni BINAFSI na siyo tamko la kanisa.

Ukimsikia mtu anasema ataacha UKATOLIKI kwa sababu ya matamko ya Pope, jua huyo HAKUWA Mkatoliki
 
Baba atakazania msimamo
Na nyie watoto mtachagua kuunga mkono, ama kumchinjia baharini.

So back to pope, wazungu wenzake wanapenda hiyo michezo watamfata,huku Tanzania hatuna hizo pigo so tutachinjia baharini hoja yake.

So baba atabaki na msimamo wake
Watoto mtachagua pakusimamia..
.
Uko sahihi na bahati nzuri wewe umejitambua lakini shida ni kwamba mafundisho ya uongo yataangamiza wengine. Imagine mtu fulani ni shoga au msagaji, badala ya kuacha njia zake mbaya anaweza kuwaza kwamba kwa vile kanisa limebariki haya mambo, basi sio kosa kumbe anapotea!
 
Back
Top Bottom