Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Najua haukizaliwa unawachukia watu wafupi ila ulijifunza kuwachukia watu wafupi kwa watu wengine na kwa sababu ww ni mrefu.
Kwa sababu ulijunza kuwachukia watu watu wafupi basi jifunze pia kuwapenda watu wafupi.
Eti unajua! Unanijua wakati nazaliwa? Nimewa observe wachache sio wagomvi wengine nikuwavumilia tu maana wanakamilisha height iliyobaki kwa matendo. So tunakuwa na unconditional acceptance tu kuishi nao.