Kuanzia leo natangaza vita kwa watu wote wanaoo wanadharau watu wafupi.

Kuanzia leo natangaza vita kwa watu wote wanaoo wanadharau watu wafupi.

IM
 
Kuna mshakaji wetu mmoja kipindi tuko chuo alikua anatukosha sanaa, jamaa ni mfupi sana ila anajiamini hatari
Alikua ana kauli yake hiyo mpka leo naikumbuka
"Urefu na ufupi inategemeana ume simama na nani"
Hiyo ilikua inampa courage kua kuna watu nae pia anawazidi urefu..
Simple like that kujiamini ndo mpango mzima...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa unachoogopa ni nn mwajei bwana .. au unaona aibu
ningekuwa mm ndio Maxemelo hii jf yote ningekuhonga uju e
Yan watu milimani vimbilikimo vinakuaga hawajatulia sasa mm na urembo wote huu bado unahangaika ngoja nkatafute na mm wakufutia machozi
 
Yan watu milimani vimbilikimo vinakuaga hawajatulia sasa mm na urembo wote huu bado unahangaika ngoja nkatafute na mm wakufutia machozi
Sio mm niliyemtumia mwajuma hio meseji. Mm tangu lini niwatongoze kina mwajuma ndala ndefu
 
Back
Top Bottom