PAGAMECO
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,206
- 1,237
[emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji53]Umenkumbusha kauli za mwanangu mmoja toka Tanga, alikuwa mpinzani wangu sana hahahah. Ilikuwa tukipingana kwa hoja nikimzidi anatumbukizia point za kuninyamazisha eti watu wafupi mna matatizo sana
Sent using Jamii Forums mobile app