Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
we njoo tu voko utazikuta huko hukoNikufuate pm nikwambie nini? Sina voko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we njoo tu voko utazikuta huko hukoNikufuate pm nikwambie nini? Sina voko
Ningekuwa nakutaka ningesha zama.we njoo tu voko utazikuta huko huko
sasa unachoogopa ni nn mwajei bwana .. au unaona aibuNingekuwa nakutaka ningesha zama.
sasa unachoogopa ni nn mwajei bwana .. au unaona aibu
ningekuwa mm ndio Maxemelo hii jf yote ningekuhonga uju e
haya basi njoo kule.Unihonge jf? Anza na vile vilivyoko ndani ya uwezo wako.
haya basi njoo kule.
unapoteza bahati ujue..Anza hapa
Watu wengi wafupi wanajua ukiwa mfupi ni aibu na tunataka hiyo tabia ife na tunataka watu wafupi wajiamini popoteHata humu wapo wafupi lakin siwaoniii hawajikubal7
Ingekuwa bahati wangesha changamkiaunapoteza bahati ujue..
Hawakawii kukukata ngwala uangukeHalafu watu wafupi wana mikwara na wabishi sijui kwanini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanikate tu lakin ukweli ndio huo hata wakinunaHawakawii kukukata ngwala uanguke
Mkuu nadhani ni hofu yako tuu, kwa sababu kila binadamu ana nafasi yake hapa duniani. Kwa hiyo wala huna haja ya kutumia nguvu nyingi kuahangaika na watu wachache ambao wana akili mgando. Kuwa na amani na shiriki kikamilifu katika majukumu mbalimbali ya kujenga nchi. Wala usihofu na kama hujaoa tafuta Mwanamke mrefu aliyeshiba na mbabe.Kwanza ifahamike toka zamani watu wafupi tunadharaulika sana na kwa kulitambua hilo mapema kabisa yesu alimtembelea mtu mfupi zakayo nyumbani kwake.
Na hiyo yote yesu alikuwa anataka kuwafuta machozi watu wafupi.
Pamoja na kufanya yote hayo lakini watu wafupi tumeendelea kudharaulika sana hasa afrika kwa sababu huku mm nimeona.
Na mara nyingi imekuwa ni kawaida kusikia mtu mrefu akimuambia mtu mfupi nyinyi watu wafupi hamna akili.
Na ndio maana mtu mfupi hata akigombea nafasi yoyote ya uongozi kushinda hiyi nafasi ya uongozi. mara chache sana hiyo yote ni kutokana mtu mfupi ni mtu aliye dharaulika.
Miaka na miaka.
Na kuna utamaduni ulio zoeleka hata ukiwa njiani unatembea sio rahisi mtu mrefu kuanza kumsalimia mtu mfupi na hata kama amekukuta na hiyo yote ni kwa sababu mtu mrefu anajiona yeye ni bora zaidi kuliko mtu mfupi nayeye ndio anastahili kupewa heshima zote kwa sababu yeye ni mrefu.
Kuanzia leo na kuendelea lazima nisapoti kila kitu ambacho anafanya mtu mfupi.
Na kila kitu anchofanya fanya mtu mfupi lazima niwe upande wake. hata kama eneo lenyewe nipo akigombea mtu wa ccm mfupi na mtu wa chadema mrefu lazima nimpe kura yangu mtu wa ccm. hata kama mm ni chadema pure. kila sehemu ambayo atakuwepo
Mtu mfupi anafanya jambo flani kama eneo hilo nipo basi lazima niwe nyuma yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
This was my question Captain....Vipimo vya mtu mfupi na mrefu ni vipi tuanzie hapo kwanza.
Mkuu hii kitu ni specific kwa jinsia "Me" pekee? Au kwa wote?Unajuaje na bado anaendelea kukua, ukweli usiopingika juu ya watu walio wafupi kwa kimo huwa ni ile hali ya kuwa na hasira za haraka. Hilo ni given, so itategemea na jinsi gani mtu ana anger control