Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

Mnabishana Kwa msichokijua bora kati yenu angekuwepo anaejua awaeleweshe tutafute Fact tusianze ku Attack Personality na Kudharirisha ,Kudharau Taaluma za Watu..My Side Prof Manyele namfaham Vizuri ni mtu ambae hana ubabaishaji na hua hataki kuyumbishwa kwenye Taaluma yake Kwa kile alichokifanyia kazi ndio maana Hata Mwenda zake Alimtoa kwenye Cheo cha Ukemia sababu Prof hakutaka kubambikia watu kesi kwa kutumia taaluma yake Anafundisha Vyuo kadhaa Nchini Canada [emoji1063],ana Kampuni yake binafs ya Kuteketeza taka ngumu na lain Na zinafatenda kubwa mpaka Dubai ndo aje kushindwa kutoa Report ya Mto Mara?!ebu kuweni serious
Kwako wewe unaamini na kusadiki ng'ombe pori aweza kujisaidia kinyesi kinachoweza kupelekea kapani kusoma kgs 25, surely?
 
Huko watu wameanza kufuga mwaka jana?
 
Ni bora akina Msukuma na Kishimba 100 pale bungeni kuliko maprofessor 5000 kama Manyele hapa nchini.

Elimu zao hazisaidii nchi...
Ng'ombe kutoa kinyesi cha kg25 kwa wakati mmoja na mkojo lita 20 ni kioja kingine kwa taifa.

Huyu jamaa TAKURURU kwa nchi zinazojielewa wangekuwa washaanza kumchunguza.

Yawezekana kapewa kitu kidogo ili kupindisha ukweli

Uliona wapi kamati 2 zote zinachunguza kitu kimoja na zikatofautiana kiuhalisia kwa mbali, kuna Kamati ya Bonde la Ziwa Victoria na hii ya Manyele.

Kamati ya Ziwa Victoria imeeleza uhalisia, hii ya professor uchwara ni ushuzi mtupu.
Hii ndiyo Tanzania chini ya CCM.....utashangaa hapa JK anamchagua kuwa waziri hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom