Kuanzia leo, SIMBA iachane na msemo wake "THIS IS SIMBA" ulioasisiwa na Manara

Kuanzia leo, SIMBA iachane na msemo wake "THIS IS SIMBA" ulioasisiwa na Manara

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
THIS IS Simba, umekuwa msemo kielelezo cha kuitambulisha club yetu pendwa ya Simba, ambayo ni club ya wenye nchi matajiri akiwemo @mo Dewji, Bujibuji na wengine baadhi tunaojificha kwenye kijicho cha Mo na hisa zake (all in all tunajuana as secret cindicate)

Bila kuachana na mbinu, kauli mbiu na misamiati ya Haji Manara, tutaendelea kumpandisha chat na kumfanya yeye kuwa mkubwa kuliko akili zetu wote ikiwemo logo ya Simba.

Simba Branch, JamiiForums wing Mshana Jr kauli yako ni muhimu sana
 
THIS IS Simba, umekuwa msemo kielelezo cha kuitambulisha club yetu pendwa ya Simba, ambayo ni club ya wenye nchi matajiri akiwemo @mo Dewji, Bujibuji na wengine baadhi tunaojificha kwenye kijicho cha Mo na hisa zake (all in all tunajuana as secret cindicate)

Bila kuachana na mbinu, kauli mbiu na misamiati ya Haji Manara, tutaendelea kumpandisha chat na kumfanya yeye kuwa mkubwa kuliko akili zetu wote ikiwemo logo ya Simba.

Simba Branch, JamiiForums wing Mshana Jr kauli yako ni muhimu sana
Bila kuachana na mbinu, kauli mbiu na misamiati ya Haji Manara, tutaendelea kumpandisha chat na kumfanya yeye kuwa mkubwa kuliko akili zetu wote ikiwemo logo ya Simba.[emoji23]
 
THIS IS Simba, umekuwa msemo kielelezo cha kuitambulisha club yetu pendwa ya Simba, ambayo ni club ya wenye nchi matajiri akiwemo @mo Dewji, Bujibuji na wengine baadhi tunaojificha kwenye kijicho cha Mo na hisa zake (all in all tunajuana as secret cindicate)

Bila kuachana na mbinu, kauli mbiu na misamiati ya Haji Manara, tutaendelea kumpandisha chat na kumfanya yeye kuwa mkubwa kuliko akili zetu wote ikiwemo logo ya Simba.

Simba Branch, JamiiForums wing Mshana Jr kauli yako ni muhimu sana
Utayaona Uto fc yatakavyokuja kwa kufura utazani yao ndio SIMBA
FB_IMG_16283047605770506.jpg
 
Bro, THIS IS SIMBA iacheni, WIDA iacheni..!! vinginevyo mkitembea alimopita Manara mtaonyesha udhaifu
Je imesajiliwa COSOTA? Je ina haki na hati miliki?
Jamani huyu si alikuwa mwajiriwa?kila alichokifanya Simba alikuwa anatumikia mshahara wake
 
Twende mbele turudi nyuma, ukweli Manara alijua kuwapa mashabiki raha nyieee🙌🙌🙌 sio wa kufiti hapo aisee ukweli tuseme tu
 
Muasisi halisi wa msemo huo sio Haji Manara bali ni marehemu Ezekiel Mwalongo aliyekua mtangazaji wa TBC Taif. Simba ilikua inacheza pale Lusaka na ZANACO ya Zambia katika mechi ya marudiano ya Klabu Bingwa ya Afrika. Mechi ya kwanza walichezea Dar na timu zilitoka sare ya bila kufungana hivyo Simba ilikua ikihitaji ushindi au sare yoyote ya magoli iweze kusonga mbele

ZANACO walianza kufunga na Simba wakasawazisha dakika ya 85. Mwalongo alitangaza goli lile la kusawazisha kwa hamasa na mwembwe nyingi huku akisema "THIS IS SIMBA, THIS IS SIMBA, THIS IS SIMBAAAAAA". Kama matokeo yangebaki kama yalivyo SSC wangesonga mbele lakini ZANACO walifunga bao la pili kwenye dakika za nyongeza na kuzima ndoto za wana Msimbazi

Tangia siku hiyo msemo wa THIS IS SIMBA ukawa umezaliwa. Nashangaa credit anapewa Haji Manara!!! Labda kwa yeye kuutumia mara nyingi lakini sio kuuasisi
 
Muasisi halisi wa msemo huo sio Haji Manara bali ni marehemu Ezekiel Mwalongo aliyekua mtangazaji wa TBC Taif. Simba ilikua inacheza pale Lusaka na ZANACO ya Zambia katika mechi ya marudiano ya Klabu Bingwa ya Afrika. Mechi ya kwanza walichezea Dar na timu zilitoka sare ya bila kufungana hivyo Simba ilikua ikihitaji ushindi au sare yoyote ya magoli iweze kusonga mbele

ZANACO walianza kufunga na Simba wakasawazisha dakika ya 85. Mwalongo alitangaza goli lile la kusawazisha kwa hamasa na mwembwe nyingi huku akisema "THIS IS SIMBA, THIS IS SIMBA, THIS IS SIMBAAAAAA". Kama matokeo yangebaki kama yalivyo SSC wangesonga mbele lakini ZANACO walifunga bao la pili kwenye dakika za nyongeza na kuzima ndoto za wana Msimbazi

Tangia siku hiyo msemo wa THIS IS SIMBA ukawa umezaliwa. Nashangaa credit anapewa Haji Manara!!! Labda kwa yeye kuutumia mara nyingi lakini sio kuuasisi
Kumbukumbu zimewekwa sawa..[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Manara kaipa sana Simba millage
 
Manara oyeee
Ad sasa manara 2 mwamedi 0
😂😂😂😂😂😀
 
Je imesajiliwa COSOTA? Je ina haki na hati miliki?
Jamani huyu si alikuwa mwajiriwa?kila alichokifanya Simba alikuwa anatumikia mshahara wake
Sizungumzii Maliki ya msemo bro..!! Just vichwani mwa watu...!! Yaani humtaki mtu halafu aliyoyaanzisha unayataka..!!! HUKO NI KUMTAKA HUYO MTU..!!
 
Muasisi halisi wa msemo huo sio Haji Manara bali ni marehemu Ezekiel Mwalongo aliyekua mtangazaji wa TBC Taif. Simba ilikua inacheza pale Lusaka na ZANACO ya Zambia katika mechi ya marudiano ya Klabu Bingwa ya Afrika. Mechi ya kwanza walichezea Dar na timu zilitoka sare ya bila kufungana hivyo Simba ilikua ikihitaji ushindi au sare yoyote ya magoli iweze kusonga mbele

ZANACO walianza kufunga na Simba wakasawazisha dakika ya 85. Mwalongo alitangaza goli lile la kusawazisha kwa hamasa na mwembwe nyingi huku akisema "THIS IS SIMBA, THIS IS SIMBA, THIS IS SIMBAAAAAA". Kama matokeo yangebaki kama yalivyo SSC wangesonga mbele lakini ZANACO walifunga bao la pili kwenye dakika za nyongeza na kuzima ndoto za wana Msimbazi

Tangia siku hiyo msemo wa THIS IS SIMBA ukawa umezaliwa. Nashangaa credit anapewa Haji Manara!!! Labda kwa yeye kuutumia mara nyingi lakini sio kuuasisi
Unaweza ukawa sahihi, ila aliyepandikiza vichwani mwa watu na kumea ni MANARA..!! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Back
Top Bottom