Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa .
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa mwaposwa .
Malaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tiba
 
Ndio majibu ya ile thread ya jamaa? Wewe endelea kuwasaidia wahitaji ila wasitegemee kujenga kibanda kwako maana mmekutana kimjinimjini muachane kimjinimjini. Kuna jamaa anaitwa edwayne msaidie pia maana ana sexual hyperactivity syndrome
 
Ndio majibu ya ile thread ya jamaa? Wewe endelea kuwasaidia wahitaji ila wasitegemee kujenga kibanda kwako maana mmekutana kimjinimjini muachane kimjinimjini. Kuna jamaa anaitwa edwayne msaidie pia maana ana sexual hyperactivity syndrome
Wewe ni mpuuzi hunijui vyema naunakichaa ila ipo siku utanijua utajuta kungua huo mdomo mchafu
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Acha kujipa ujiko. Wanakufuata wewe tabibu? Au unataka kutapeli watu? Hii ni njia ya kutaka kutapeli watu.
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Kumbe unatoa msaada na hutuambiaa...
Naomba na Mimi,sitokudhihaki..yaan Mimi tu niwe wa mwisho 😢
 
Back
Top Bottom