Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

1. Itakuwa umepandwa na malaria
2. Mwezi mchanga
3. Dege dege la Mimba
4. Kichaa cha Mimba
5. Afya ya akili changamoto
6. Sonona
7. Upweke
8. Kutafuta attention usiyo nayo
9. Kukosa boyfriend
10. Mwendawazimu.
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
USITAKE MAJNA YA WATU UWE NA HESHIMA NDIO MAANA UNADHIHAKiWA UHESHIMU WENZIO
KUWA MSTAARABU
 
Malaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tiba
.. ...........mmyaan kithekokakinyakyusaaaa
 
Huyu dada atakuwa pia anatafuta wateja. Kuna watu ukisema wewe malaya ndo wanakutafuta sana... Nadhani kuna biashara anafanya. So anatafuta sana attention.
 
Huyu dada atakuwa pia anatafuta wateja. Kuna watu ukisema wewe malaya ndo wanakutafuta sana... Nadhani kuna biashara anafanya. So anatafuta sana attention.
Biashara yakuuza govi za wanaume na ma"""""mbu yaliyochoka unayo tuongee bei??
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Kwa hiyo weye ni mganga wa kienyeji?
 
Back
Top Bottom