marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
Km wanakulipa usitake shukrani. Mteja hakosei! The customer is always right 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duu dada vp mbn nyuzi zako za kulalama tu wamekufanyia nini?Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
dada Unique Flower ni yale yale maruhani kweli au haya maruhani ya sisi kina baba. samahani lkn.Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Endelea kutenda mema usitegemee binadamu kukurejesha fadhila ni hilo tu ...Yes , Kwa sababu fadhila siku zote hutolewa kwa fedheha unakuta mtu anauhitaji wakutokwa na tatizo halafu akishatokwa naamerudishwa kazini benki unasoma numbers anakuja humu kwa I'd ingine ananipondea
Acha ujinga wakoUnakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Labda anawasaidia kuwatoa nyege ndio maana wanamchulia poa.Nahisi kama sielewi..yani umsaidie mtu halafu aje kukutukana bila sababu ya msingi?mh
Yani msaada wake umejaa ukakasi😅Labda anawasaidia kuwatoa nyege ndio maana wanamchulia poa.
Mwisho wa mwaka una mambo mengi.Lakini sijaandika wewe mganga ila umetangaza huwa unawasaidia watu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda anawasaidia kuwatoa nyege ndio maana wanamchulia poa.
Ninazo. Watu wamekushtukia...unatafuta sana attention...🤣Unayo tuongee biashara??
Aaaah kwa kweli... watu wasaidiane PM fadhila zije kudaiwa jukwaaniMwisho wa mwaka una mambo mengi.
Nchi ngumu sana hii. Ila tutafika tu 2023 hata kwa kupandisha mizuka kama mtoa mada.Aaaah kwa kweli... watu wasaidiane PM fadhila zije kudaiwa jukwaani
Hongera Kwa Tangazo bora la biashara,walipe jeifu kodiUnakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Unajua humu ndio maana sijajisumbua kuwa na mtu humu mmechanganyikiwa asilimia 55% na pia mnajiona na hakuna kitu mnastress kama zotena mnagongea Milo Kwa maza mpaka naleoWasaidie wenye shukrani basi. Halaf Kwani unawasaidia au ni biashara unalipwa kwa kutoa huduma?
Pole sana UniqueUnakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Aliyenitukana humu ni demu naninamjua na akizani nipo na mtu wakePole sana Unique
Naona huu uzi wa 2, umeandka umechafukwa na roho nahs kunasabab ndan yake.
Uzur wake ukiangalia ata mtiririko wa comment za baadh ya wa2, inaonysha waz baadh yao wnyw wanajshtukia na kujshuku uchawi.😎