Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
duu dada vp mbn nyuzi zako za kulalama tu wamekufanyia nini?
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
dada Unique Flower ni yale yale maruhani kweli au haya maruhani ya sisi kina baba. samahani lkn.
 
Yes , Kwa sababu fadhila siku zote hutolewa kwa fedheha unakuta mtu anauhitaji wakutokwa na tatizo halafu akishatokwa naamerudishwa kazini benki unasoma numbers anakuja humu kwa I'd ingine ananipondea
Endelea kutenda mema usitegemee binadamu kukurejesha fadhila ni hilo tu ...
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Acha ujinga wako
 
Majini sijui shetani ,pepo fix tupuuu.
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Hongera Kwa Tangazo bora la biashara,walipe jeifu kodi
 
Wasaidie wenye shukrani basi. Halaf Kwani unawasaidia au ni biashara unalipwa kwa kutoa huduma?
Unajua humu ndio maana sijajisumbua kuwa na mtu humu mmechanganyikiwa asilimia 55% na pia mnajiona na hakuna kitu mnastress kama zotena mnagongea Milo Kwa maza mpaka naleo
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Pole sana Unique
Naona huu uzi wa 2, umeandka umechafukwa na roho nahs kunasabab ndan yake.
Uzur wake ukiangalia ata mtiririko wa comment za baadh ya wa2, inaonysha waz baadh yao wnyw wanajshtukia na kujshuku uchawi.😎
 
Pole sana Unique
Naona huu uzi wa 2, umeandka umechafukwa na roho nahs kunasabab ndan yake.
Uzur wake ukiangalia ata mtiririko wa comment za baadh ya wa2, inaonysha waz baadh yao wnyw wanajshtukia na kujshuku uchawi.😎
Aliyenitukana humu ni demu naninamjua na akizani nipo na mtu wake
 
Back
Top Bottom