Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.

Pisi Kali
 
wee yuniq nimalaya ukiulizwa kuwa unabwana humu unasema ninae tukipanda bei unasema humu huna bwana tukueleweje? halafu k bwawa shepu yakichaga juu miziwa kilo 100 chini vikalio robo.halafu unakuja kusumbua humu.mjinga wee. toa hio avator unatuchanganya sisi..hufanani nayo hata robo.
 
Kama ni hivyo basi na mimi naomba tiba nahisi mashetani yanapanda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
MKUU PEPOOO LA KUBET UNAWEZA LITOA!????KAMA VIP NIKUPE MTONYO JUKWAA MOJA TUKAPGE HELA WATU WANALIWA HAWAKOM WANASEMA WANA MAJINI YA KUBET...NCHK FASTA
 
wee yuniq nimalaya ukiulizwa kuwa unabwana humu unasema ninae tukipanda bei unasema humu huna bwana tukueleweje? halafu k bwawa shepu yakichaga juu miziwa kilo 100 chini vikalio robo.halafu unakuja kusumbua humu.mjinga wee. toa hio avator unatuchanganya sisi..hufanani nayo hata robo.
😂😂😂😂😂😂
 
wadau anae mtaka huyu malaya amuwekee kidau Cha laki tano tuu hachomio.mana amepanga kodi inamsumbua.kazi yenyewe Hana anategemea kudanga.
 
wee yuniq nimalaya ukiulizwa kuwa unabwana humu unasema ninae tukipanda bei unasema humu huna bwana tukueleweje? halafu k bwawa shepu yakichaga juu miziwa kilo 100 chini vikalio robo.halafu unakuja kusumbua humu.mjinga wee. toa hio avator unatuchanganya sisi..hufanani nayo hata robo.
Kumbe [emoji38] [emoji23] [emoji38]
 
hahahahahaha mkuu😀😀😀😀
Malaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tiba🙄🙄😀😀😀😀🙄😀
 
Back
Top Bottom