Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

UKIWESA KUTOA HAYA MAPEPONNAKULETEA WATEJA UWAKIMBIE MWENYEWE

1
PEPO LA KUBET
PEPO LA UZINZI

PPEPO LA UMASIKINI
HILI SIJUI KAMA UTALIWEZA PEPO LA ULEVI. ..(HILI NA WATEJA WA KUFA MTU)
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Funguka mama funguka[emoji3][emoji3]
 
Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.

Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Imekuwaje tena?
 
Si nilikwambia uwe unacheka kidada kama hivi [emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526] sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaaa... nilisahau ticha. Nitaanza kucheka kidada sasa [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ewe mjinga kaa KIMASTA,utapigwa.
Usijekusema hukutahadharishwa.
 
Back
Top Bottom