byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
HahaaaaHasira za nini mkuu? Punguza jazba yanazungumzika haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaHasira za nini mkuu? Punguza jazba yanazungumzika haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Funguka mama funguka[emoji3][emoji3]Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tiba
Imekuwaje tena?Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahIla shost una heka heka sana.. nini mbaya?
Em fanya tupande Marangu Fall kwanza ukarefresh mind.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni hivyo basi na mimi naomba tiba nahisi mashetani yanapanda[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie khaaaah.Dada ifike mahali utafute mpenzi sasa.....
DuhUnajua humu ndio maana sijajisumbua kuwa na mtu humu mmechanganyikiwa asilimia 55% na pia mnajiona na hakuna kitu mnastress kama zotena mnagongea Milo Kwa maza mpaka naleo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] humu ndani[emoji28][emoji28][emoji28]Nauza govi na pu''''mbu zilizolegea unazotuongee bei??
Si nilikwambia uwe unacheka kidada kama hivi 😊😊☺️☺️ sio 😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaaa... nilisahau ticha. Nitaanza kucheka kidada sasa [emoji2][emoji2][emoji2]Si nilikwambia uwe unacheka kidada kama hivi [emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526] sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UsiniangusheHahahahaaaa... nilisahau ticha. Nitaanza kucheka kidada sasa [emoji2][emoji2][emoji2]
Naahidi sitakuangusha[emoji23][emoji23]Usiniangushe
Hapo sawaNaahidi sitakuangusha[emoji23][emoji23]