Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Malaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tibaUnakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa .
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa mwaposwa .
Utajua ukishakumbwa na mashetaniMalaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tiba
Yes , Kwa sababu fadhila siku zote hutolewa kwa fedheha unakuta mtu anauhitaji wakutokwa na tatizo halafu akishatokwa naamerudishwa kazini benki unasoma numbers anakuja humu kwa I'd ingine ananipondeaMbona unahangaika sana?
Wewe ni mpuuzi hunijui vyema naunakichaa ila ipo siku utanijua utajuta kungua huo mdomo mchafuNdio majibu ya ile thread ya jamaa? Wewe endelea kuwasaidia wahitaji ila wasitegemee kujenga kibanda kwako maana mmekutana kimjinimjini muachane kimjinimjini. Kuna jamaa anaitwa edwayne msaidie pia maana ana sexual hyperactivity syndrome
Acha kujipa ujiko. Wanakufuata wewe tabibu? Au unataka kutapeli watu? Hii ni njia ya kutaka kutapeli watu.Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Kumbe unatoa msaada na hutuambiaa...Unakuta mtu anakuja anashida ya kipepo na majini wachafu au kafungwa kiushirikina anakuja kama malaika pm anaomba msaada anapatiwa akishakuwa sawa.
Sasa anaanza kunirudia nakunidhihaki Kwa sana mie Malaya sijui Hili au lile walahi naapa pm yangu sintojibu mtu akiwa na magonjwa yake ayapeleke Kwa Mwaposwa.
Nahisi kama sielewi..yani umsaidie mtu halafu aje kukutukana bila sababu ya msingi?mhYes , Kwa sababu fadhila siku zote hutolewa kwa fedheha unakuta mtu anauhitaji wakutokwa na tatizo halafu akishatokwa naamerudishwa kazini benki unasoma numbers anakuja humu kwa I'd ingine ananipondea
Ana tatizo kisaikolojia.Kwa wiki unaanzisha thread ngapi mama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Malaya tena........kwani tiba zako unatoa kwa njia gani hadi wakuite malaya..............nahis kama na mie nahitaji tiba
Yes,,Nahisi kama sielewi..yani umsaidie mtu halafu aje kukutukana bila sababu ya msingi?mh
Ninahisi hivyo..aiseAna tatizo kisaikolojia.
Umeona eeeeh ... Ana tatizo la kiakili huyu dada....siyo mzima. Sometime tuna date na wendawazimu sema tunakuwa hatujui tu.Mbona unahangaika sana?
AiseYes,,
Wewe siunamdomo na unakichaa kikiisha utakuja jua sio kila mtu ni mpuuzi kama weweAcha kujipa ujiko. Wanakufuata wewe tabibu? Au unataka kutapeli watu? Hii ni njia ya kutaka kutapeli watu.