Kuanzia mwaka 2030 Dkt. Nchimbi ataishi maisha ya kipweke angali kijana kama ilivyo kwa Obama, Sumaye na Vuai Nahodha

Kuanzia mwaka 2030 Dkt. Nchimbi ataishi maisha ya kipweke angali kijana kama ilivyo kwa Obama, Sumaye na Vuai Nahodha

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna vyeo vya kisiasa ukishavifikia huwezi tena kusonga mbele,inakuwa ndio climax ya mafanikio yako.
Tanzania haijawahi kuto Rais ambaye amewahi kuwa PM au VP,imeonekana kama ndio kautaratibu wakubwa wamejiwekea.

Pia soma - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Fredrick Sumaye alikuwa Waziri mkuu akiwa na miaka 45, alistaafu akiwa na miaka 55 mwaka 2005, kwa miaka 20 iliyopita anatapatapa tu anashika hiki kinakataa anashika hiki wapi, sababu alitoka madarakani akiwa kijana sana, na siasa ukizizoea kuacha ngumu, kwa rank aliyofikia ya kuwa PM huwezi kugombea Ubunge, ni kujishusha, japo Warioba aliwahi kujaribu hiyo akaishia kujidhalilisha. Sumaye ametapatapa sana, mara ajiunge upinzani, mara akasome degree Havard, degree yake imekuwa ni urembo tu haijasaidia taifa

Shamsi Vuai Nahodha alikuwa waziri kiongozi Zanzibar akiwa na miaka 38 mwaka 2000, aliachia mwaka 2010 akiwa na miaka 48, kijana kabisa, tangu muda huo hakuna cheo cha juu kinachomfaa, anaishi kiupweke sana.

Obama nae ni hivyo hivyo, alitoka madarakani akiwan na umri mdogo kabisa.

Raha ya hivi vyeo vya juu, uvipate ukiwa na miaka 55-60, ili ukiachia na nguvu zinakuwa zimeisha vinginevyo utapewa vyeo vya kuwa mkuu wa vyuo vikuu tu ili hali mwili na akili bado viko active

Dkt Nchimbi atatoka akiwa na 59, ni dhairi hawezi kuwa Rais wa Tanzania, siasa zilivyo tamu kurudi kijijini na miaka 59 ni mtihani
 
Je ni kweli nchimbi kazaliwa 1971 mbona namuona mzee kwa sura, mwili, vibe?

2030 si atakuwa Rais?
Watu wa Songea wakipata vyeo wanaumuka sana.Captain John Komba hevy weight kafa na miaka 60 sababu ya uzito.
Leonidas Gama nadhani alikuwa na kilo 140 kafa sababu ya uzito,hakufika ha miaka 60,Nchimbi ni mdogo ndio ni umri wake sahihi mwili tu
 
Watu wa Songea wakipata vyeo wanaumuka sana.Captain John Komba hevy weight kafa na miaka 60 sababu ya uzito.
Leonidas Gama nadhani alikuwa na kilo 140 kafa sababu ya uzito,hakufika ha miaka 60,Nchimbi ni mdogo ndio ni umri wake sahihi mwili tu
Nchimbi namuonaga mzee ninamuweka rika moja na Samia. Namuonaga nchimbi ni 60+ 🤣🤣 itakuwa alipunguza umri au alipata vyeo akiwa mdogo sana.
 
Kuna vyeo vya kisiasa ukishavifikia huwezi tena kusonga mbele,inakuwa ndio climax ya mafanikio yako.
Tanzania haijawahi kuto Rais ambaye amewahi kuwa PM au VP,imeonekana kama ndio kautaratibu wakubwa wamejiwekea.

Pia soma - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Fredrick Sumaye alikuwa Waziri mkuu akiwa na miaka 45, alistaafu akiwa na miaka 55 mwaka 2005, kwa miaka 20 iliyopita anatapatapa tu anashika hiki kinakataa anashika hiki wapi, sababu alitoka madarakani akiwa kijana sana, na siasa ukizizoea kuacha ngumu, kwa rank aliyofikia ya kuwa PM huwezi kugombea Ubunge, ni kujishusha, japo Warioba aliwahi kujaribu hiyo akaishia kujidhalilisha. Sumaye ametapatapa sana, mara ajiunge upinzani, mara akasome degree Havard, degree yake imekuwa ni urembo tu haijasaidia taifa

Shamsi Vuai Nahodha alikuwa waziri kiongozi Zanzibar akiwa na miaka 38 mwaka 2000, aliachia mwaka 2010 akiwa na miaka 48, kijana kabisa, tangu muda huo hakuna cheo cha juu kinachomfaa, anaishi kiupweke sana.

Obama nae ni hivyo hivyo, alitoka madarakani akiwan na umri mdogo kabisa.

Raha ya hivi vyeo vya juu, uvipate ukiwa na miaka 55-60, ili ukiachia na nguvu zinakuwa zimeisha vinginevyo utapewa vyeo vya kuwa mkuu wa vyuo vikuu tu ili hali mwili na akili bado viko active

Dkt Nchimbi atatoka akiwa na 59, ni dhairi hawezi kuwa Rais wa Tanzania, siasa zilivyo tamu kurudi kijijini na miaka 59 ni mtihani
Hii ni problem of induction logical fallacy.

Unasema Tanzania haijawahi kutoa rais ambaye amewahi kuwa PM au VP wakati rais wa sasa aliwahi kuwa VP.

Na kwa nini unafikiri kuwa kama Tanzania haijawahi juwa na rais aliyekuwa PM, basi itakuwa hivyo siku zote?

Mbona Tanzania ilikuwa haijawahi kuwa na rais mwanamke na sasa hivi imekuwa na rais mwanamke?

Kila kitu kina mwanzo.

Umeweka induction logical fallacy kwamba kama kwenye nyumba yako glasi haijawahi kuvunjika, basi haiwezi kuvunjika. That is wrong logic.
 
Mwambie aweke cheti chake cha kuzaliwa kama anacho.
Kwani watu wote waliozaliwa 1971 wana vyeti vya kuzaliwa?

Wewe umetoa madai, wewe ndiye mwenye wajibu wa kutoa ushahidi wa kuthibitisha hayo madai.

Thibitisha hajazaliwa 1971.

Ulitakiwa kuja hapa kuonesha hiki hapa cheti cha kuzaliwa.

Ulitakiwa kuja hapa kutupa ushahidi kwamba hakuzaliwa 1971.

Hujafanya hilo. Unatuonesha kuwa wewe mwenyewe huna ushahidi, unamtaka Nchimbi atie ushahidi.

Weka ushahidi wa kutetea tuhuma yako.
 
Kuna vyeo vya kisiasa ukishavifikia huwezi tena kusonga mbele,inakuwa ndio climax ya mafanikio yako.
Tanzania haijawahi kuto Rais ambaye amewahi kuwa PM au VP,imeonekana kama ndio kautaratibu wakubwa wamejiwekea.

Pia soma - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Fredrick Sumaye alikuwa Waziri mkuu akiwa na miaka 45, alistaafu akiwa na miaka 55 mwaka 2005, kwa miaka 20 iliyopita anatapatapa tu anashika hiki kinakataa anashika hiki wapi, sababu alitoka madarakani akiwa kijana sana, na siasa ukizizoea kuacha ngumu, kwa rank aliyofikia ya kuwa PM huwezi kugombea Ubunge, ni kujishusha, japo Warioba aliwahi kujaribu hiyo akaishia kujidhalilisha. Sumaye ametapatapa sana, mara ajiunge upinzani, mara akasome degree Havard, degree yake imekuwa ni urembo tu haijasaidia taifa

Shamsi Vuai Nahodha alikuwa waziri kiongozi Zanzibar akiwa na miaka 38 mwaka 2000, aliachia mwaka 2010 akiwa na miaka 48, kijana kabisa, tangu muda huo hakuna cheo cha juu kinachomfaa, anaishi kiupweke sana.

Obama nae ni hivyo hivyo, alitoka madarakani akiwan na umri mdogo kabisa.

Raha ya hivi vyeo vya juu, uvipate ukiwa na miaka 55-60, ili ukiachia na nguvu zinakuwa zimeisha vinginevyo utapewa vyeo vya kuwa mkuu wa vyuo vikuu tu ili hali mwili na akili bado viko active

Dkt Nchimbi atatoka akiwa na 59, ni dhairi hawezi kuwa Rais wa Tanzania, siasa zilivyo tamu kurudi kijijini na miaka 59 ni mtihani
umepotosha gentleman,
miongoni mwa ma VP waliokua maraisi ni pamoja na Dr Alli Mohamed Shein, lakini pia Dr Samia Suluhu Hassan.

Ni muhimu kua makini unapotaka kupotosha wadau wa JF, japo maelezo mengine ni ya msingi na yana mantiki muhimu sana 🐒
 
Kwani watu wote waliozaliwa 1971 wana vyeti vya kuzaliwa?

Wewe umetoa madai, wewe ndiye mwenye wajibu wa kutoa ushahidi wa kuthibitisha hayo madai.

Thibitisha hajazaliwa 1971.

Ulitakiwa kuja hapa kuonesha hiki hapa cheti cha kuzaliwa.

Ulitakiwa kuja hapa kutupa ushahidi kwamba hakuzaliwa 1971.

Hujafanya hilo. Unatuonesha kuwa wewe mwenyewe huna ushahidi, unamtaka Nchimbi atie ushahidi.

Weka ushahidi wa kutetea tuhuma yako.
Nasisitiza hiyo 1971 ni umri aliotutajia yeye. Cheti cha kuzaliwa hajatuonyesha.
 
Back
Top Bottom