Kuanzia mwaka 2030 Dkt. Nchimbi ataishi maisha ya kipweke angali kijana kama ilivyo kwa Obama, Sumaye na Vuai Nahodha

From General to specific
 
Dr Ali Mohamed Shein alikua Rais wa wapi? Yani kiongozi wa Mkoa anaitwa Rais ? Anyway tukubaliane Alikua Rais mbona tukisena Zanzibar ni nchi mnataka kutufunga?
gentleman,
si kweli kwamba hakuna makamu wa Rais ambae hajawahi kua raisi kamamili.

viongozi hao wapo bara na visiwani,
kinyume na hapo ni upotoshaji wa wazi
 
Mtoe Obama katiko hilo kundi. Obama yuko busy sana na Obama Foundation, kuandika vitabu(ana deal la $65Million la vitabu), anafanya Public speaking ambazo analipwa hadi $400,000 kwa talk moja.
 
Nchimbi atakuwa Rais.Nchimbi akiumua jambo huwa hashindwi labda afe.Si unaona 2015 kambi yao ilikatwa ila si unaona alivyorudi.This time hatofanya makosa.
Wanamchukulia poa sana Nchimbi. Huyo alijipanga kupokea baada ya Lowasa, lkini pamoja na Lowasa na kambi yake akiwemo Nchimbi kusambaratishwa akapelekwa hadi huko Brasil akajifunze samba na kucheza mpira ili aje afungue academy lakini sasa hivi huyo hapo.
 
Nchimbi atakuwa Rais.Nchimbi akiumua jambo huwa hashindwi labda afe.Si unaona 2015 kambi yao ilikatwa ila si unaona alivyorudi.This time hatofanya makosa.
Uongozi wa dada Samia 2025-2030 ndio utamfanya Machimbo wamuone dhahabu au kiazi
 
Watu wa Songea wakipata vyeo wanaumuka sana.Captain John Komba hevy weight kafa na miaka 60 sababu ya uzito.
Leonidas Gama nadhani alikuwa na kilo 140 kafa sababu ya uzito,hakufika ha miaka 60,Nchimbi ni mdogo ndio ni umri wake sahihi mwili tu
Ndumbaro ana miaka mingapi?
 
Tanzania ni nchi ambayo ujana hauna mwisho.....

Uvccm oyeeee
 
Tunaongelea uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Shein alikuwa Rais Zanzibar.
Kama Nagufuli asingekufa Samia asingekuwa Rais katu
hukufafanua urais wa wapi gentleman,
asingekufa ni kiungo cha ubishi ama huzifahamu sababu za kua na makamu wa rais kikatiba
 
Sema mimi miaka yote nilikuaga najua jamaa ni wa zamani labda 1956 hadi pale nilipo soma wasifu wake nilishangaa, kwamba ana miaka 53 tu?
Hajazaliwa 1971, bali ndio umri aliotutajia.
 
Tunaongelea uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Shein alikuwa Rais Zanzibar.
Kama Nagufuli asingekufa Samia asingekuwa Rais katu

..Makamu wa Raisi aliyekuwa na nguvu wa mwisho alikuwa John Malecela, lakini alipogombea Uraisi alikutana na kisiki cha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

..baada ya hapo tumekuwa na Makamu wa Raisi toka Zanzibar ambao kwao ni vigumu kuwa na ushawishi ktk kugombea Uraisi wa muungano kwa nafasi hiyo inaonekana sawa na Uraisi wa TANGANYIKA.

..Dr.Nchimbi anakuwa Makamu wa Raisi wa kwanza toka Tanganyika ambaye atakuwepo ofisini wakati Raisi wa muungano aking'atuka. Ushawishi wake katika kumrithi bosi wake nadhani utakuwa mkubwa kuliko angekuwa anatokea Zanzibar.
 
Watu wa Songea wakipata vyeo wanaumuka sana.Captain John Komba hevy weight kafa na miaka 60 sababu ya uzito.
Leonidas Gama nadhani alikuwa na kilo 140 kafa sababu ya uzito,hakufika ha miaka 60,Nchimbi ni mdogo ndio ni umri wake sahihi mwili tu
Dogo uzi wako na post zako zimekaa kiumbea umbea. Ukija zeeka sijuhi itakuwaje!

Leta hoja nzito mezani wacha hizi personal attack ambazo hazina maana yoyote katika jukwaa.
 
Yan Huyu father nawaza yuko rika moja na hawa mabrotheršŸ˜…jafo(73), makamba(74), sugu(1972),prof Jay (75)🤣mbona haimake sense kabsa
 

Attachments

  • Screenshot_20250120_163757.jpg
    96.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…