Kuanzia mwaka 2030 Dkt. Nchimbi ataishi maisha ya kipweke angali kijana kama ilivyo kwa Obama, Sumaye na Vuai Nahodha

Ujinga mtupu umeandika
 
Hivi Kiranga wewe chuo kikuu ulisomea taaluma gani ? Japo unaonekana huwa unapenda kusoma vitabu hata vilivyo nje ya taaluma yako.

Ningependa kujua haya mambo ya logical fallacy au logical non sequitur yako katika taaluma gani !!!
Hiyo ni logic tu, ni interdisciplinary.

Haya ni mambo ambayo kila mtu inabidi afuatilie wala si jambo la kusoma chuoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…