Kuanzia round ya kwanza: tuwaombee njaa Orlando Pirates wako uwanjani muda huu

Kuanzia round ya kwanza: tuwaombee njaa Orlando Pirates wako uwanjani muda huu

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Yaani tungeingia nusu fainali , hizi habari za kuombeana njaa wala zisingekuwepo kwa kweli maana kama siyo namba 9 tungekuwa wa 10.

Anyway wakati dua mbaya tunaelekeza kwa Etoile du sahel ya Tunisia na Es Setif ya Algeria kumbe wale wapuuzi wa soweto Orlando pirates walikuwa na viporo vitatu na juzi wameshinda kimoja goals 4-1 vs maritzburg

Sasa vimebaki viwili na sasa hivi wako uwanjani wakikipiga na Royal ambao nao wako nafasi nzuri ya kufuzu kwa shirikisho, Orlando akishinda leo na na mechi ijayo basi atakuwa wa pili kwa points 49 sawa na cape town city ingawa GD ya wajingawajinga hao wa soweto itakuwa bora zaidi, so akifikisha 49 simba hatuna chetu tena kwani kwenye top 10 wa kuondoka itakuwa Berkane na Pyramids tu nafasi ambazo zitachukuliwa na Horoya na Petro Atletico.

Leo hawa jamaa watoke tu sare mwisho wa siku watafikisha points 47 tu ambazo zitawapeleka shirikisho...nafurahi leo wamepata mpinzani sahihi mwenye matumaini ya kufuzu maana kama ulidhani south africa hakuna match fixing basi umekosea sana.

Juzi ilipigwa mechi kati ya kaizer chiefs na moroka swallows , kazier akihitaji ashinde a tleast aende shirikisho na swallows akihitaji ushindi au sare aepuke kushuka daraja aende playoffs ,kule baroka anaombea ashinde na swallows apigwe GUESS WHAT?

Hata mitandaoni mashabiki wa kaizer chiefs walikuwa wanasema bora wasiende shirikisho ila baroka ishuke maana mwaka juzi goli la mzambia aitwaye kambala dakika ya 89 katika mechi dhidi ya baroka lilitosha kuwanyima ubingwa kaizer chiefs waliokuwa wakihitaji sare tu kuwa mabingwa, wachezaji wa kazier majuzi walifanya blunder za makusudi game ikaisha 2-2 na swallows majirani zao wa soweto iliyo chini ya kocha wa zamani wa simba Dylan kerry inaenda play offs

So sikushangaa sana juzi Maritzburg kupigwa 4-1 ila leo najua Royal AM, tuendelee kuombea njaa tu hizi teams 3 ....maana ni bora hivyo kuliko team fulani inayotakiwa kuombea njaa teams 69 zifeli ili yenyewe ichupe toka nafasi ya 78 hadi top 10 ya kuanzia round ya kwanza


pirates.PNG
 
Updates****hali tete jamaa wanaongoza 2-0....nahisi tunaenda kuanza round ya awali na wajingawajinga labda pirates apoteze gemu la mwisho au draw damn hapa bado sala za Tunisia..uuuwiiii
 
ligi yao ina timu ngapi?
kama yetu ..16 teams karibu zote zishamaliza ligi...hata kocha wa cape town city , Tinkler alilalamika sana viporo vya pirates na kwa sasa social media zinawaka moto raia wanadai kuna match fixing ndani ya dakika 7 Royal am kapigwa goals 2
 
Ina maana kuna timu zime maliza msimu na zingine bado ktk ligi moja???

timu 16 michezo 30...

hii mbona kwangu mpya...

pale uingereza man utd alicheza michezo mitatu mbele ya wenzie akisubria mchezo mmoja amalize ligi, lakini hakuucheza mpaka siku ya kucheza kwa pamoja ili kuepuka upangaji wa matokeo...
 
Ina maana kuna timu zime maliza msimu na zingine bado ktk ligi moja???

timu 16 michezo 30...

hii mbona kwangu mpya...

pale uingereza man utd alicheza michezo mitatu mbele ya wenzie akisubria mchezo mmoja amalize ligi, lakini hakuucheza mpaka siku ya kucheza kwa pamoja ili kuepuka upangaji wa matokeo...
kocha wa cape town city kalalamika sana angalia table hapo juu nimeweka, hat amashabiki wa orlando wanashangaa inakuwaje tangu last match wanashinda kirahisi maana kwenye ligi hii wana draws za kutosha , inahisiwa match fixing..leo akishinda na last game basi atakuwa wa pili anaenda klabu bingwa na ndoto ya simba kuanzia round ya kwanza imeishia hapo

Royal am anamaliza leo, halafu orlando pirates anaenda maliza na supersport utd ambayo haina ch a kupoteza...ni mwendo wa kuuza mechi tu
 
Yaani tungeingia nusu fainali , hizi habari za kuombeana njaa wala zisingekuwepo kwa kweli maana kama siyo namba 9 tungekuwa wa 10.

Anyway wakati dua mbaya tunaelekeza kwa Etoile du sahel ya Tunisia na Es Setif ya Algeria kumbe wale wapuuzi wa soweto Orlando pirates walikuwa na viporo vitatu na juzi wameshinda kimoja goals 4-1 vs maritzburg

Sasa vimebaki viwili na sasa hivi wako uwanjani wakikipiga na Royal ambao nao wako nafasi nzuri ya kufuzu kwa shirikisho, Orlando akishinda leo na na mechi ijayo basi atakuwa wa pili kwa points 49 sawa na cape town city ingawa GD ya wajingawajinga hao wa soweto itakuwa bora zaidi, so akifikisha 49 simba hatuna chetu tena kwani kwenye top 10 wa kuondoka itakuwa Berkane na Pyramids tu nafasi ambazo zitachukuliwa na Horoya na Petro Atletico.

Leo hawa jamaa watoke tu sare mwisho wa siku watafikisha points 47 tu ambazo zitawapeleka shirikisho...nafurahi leo wamepata mpinzani sahihi mwenye matumaini ya kufuzu maana kama ulidhani south africa hakuna match fixing basi umekosea sana.

Juzi ilipigwa mechi kati ya kaizer chiefs na moroka swallows , kazier akihitaji ashinde a tleast aende shirikisho na swallows akihitaji ushindi au sare aepuke kushuka daraja aende playoffs ,kule baroka anaombea ashinde na swallows apigwe GUESS WHAT?

Hata mitandaoni mashabiki wa kaizer chiefs walikuwa wanasema bora wasiende shirikisho ila baroka ishuke maana mwaka juzi goli la mzambia aitwaye kambala dakika ya 89 katika mechi dhidi ya baroka lilitosha kuwanyima ubingwa kaizer chiefs waliokuwa wakihitaji sare tu kuwa mabingwa, wachezaji wa kazier majuzi walifanya blunder za makusudi game ikaisha 2-2 na swallows majirani zao wa soweto iliyo chini ya kocha wa zamani wa simba Dylan kerry inaenda play offs

So sikushangaa sana juzi Maritzburg kupigwa 4-1 ila leo najua Royal AM, tuendelee kuombea njaa tu hizi teams 3 ....maana ni bora hivyo kuliko team fulani inayotakiwa kuombea njaa teams 69 zifeli ili yenyewe ichupe toka nafasi ya 78 hadi top 10 ya kuanzia round ya kwanza
Orlando akipata, atamshusha Kaizer Chiefs, nafasi itabaki palepale. Kumbuka zinaenda timu mbili tu klabu bingwa. Haziwezi kwenda Mamelodi, Orlando na Kaizer Chiefs zote Klabu bingwa
 
Orlando akipata, atamshusha Kaizer Chiefs, nafasi itabaki palepale. Kumbuka zinaenda timu mbili tu klabu bingwa. Haziwezi kwenda Mamelodi, Orlando na Kaizer Chiefs zote Klabu bingwa
hapana kaizer chiefs juzi kaachia makusudi draw ili kumsevu jirani yao swallows asishuke na hat anageshinda angeenda shirikisho, pirates akishinda leo na gemu ijayo anakuwa wa pili atalingana points na cape town city ila GD yake itakuwa nzuri, sidhani kama simba kuna matumaini tena ila it is so obvious hii ni match fixing,jamaa watu wamemaliza ligi kabaki na mechi 3 mkononi...mbili dhidi ya teams ambazo hazishuki wala haziendi CAF competitions
 
hapana kaizer chiefs juzi kaachia makusudi draw ili kumsevu jirani yao swallows asishuke na hat anageshinda angeenda shirikisho, pirates akishinda leo na gemu ijayo anakuwa wa pili atalingana points na cape town city ila GD yake itakuwa nzuri, sidhani kama simba kuna matumaini tena ila it is so obvious hii ni match fixing,jamaa watu wamemaliza ligi kabaki na mechi 3 mkononi...mbili dhidi ya teams ambazo hazishuki wala haziendi CAF competitions
Soma vizuri post yangu, achana na ligi ya South, jikite kimataifa. Zinatakiwa timu ngapi za South Africa kucheza ligi ya CAF CL?
 
Soma vizuri post yangu, achana na ligi ya South, jikite kimataifa. Zinatakiwa timu ngapi za South Africa kucheza ligi ya CAF CL?
mkuu acha ubishi orlando akishinda leo anafikisha points 46 na akishinda kiporo cha mwisho na supersport anafikisha points 49 anakuwa mshindi wa pili, south africa wanaingiza teams 4 so orlando ataenda klabu bingwa na kwenye ranks za CAf yuko namba 10 so simba itakuwa kwenda kuanzia round ya awali na kina utopolo hata du sahel akifeli kule kwao
pirates.PNG
 
Soma vizuri post yangu, achana na ligi ya South, jikite kimataifa. Zinatakiwa timu ngapi za South Africa kucheza ligi ya CAF CL?
Mkuu ni hivi zinatakiwa timu mbili tu klabu bingwa kwa upande wa South Africa. Hivyo kama Orlando pirates akishika nafasi ya pili kwenye ligi yao ni dhahiri kwamba ataanzia raundi ya pili kwenye klabu bingwa kwasababu wanapoint nyingi kuliko simba wanapoint 32 na wanashika nafasi ya 10. Kutoka kwenye nafasi hadi kuja kuikuta simba kuna Horoya na Petro de Luanda.
 
Orlando akipata, atamshusha Kaizer Chiefs, nafasi itabaki palepale. Kumbuka zinaenda timu mbili tu klabu bingwa. Haziwezi kwenda Mamelodi, Orlando na Kaizer Chiefs zote Klabu bingwa
Kaizer chief hana athari yoyote kwasababu hayupo top ten na pia yupo chini ya Simba. Ingekuwa na athari endapo Kaizer Chief wangekuwa wapo juu ya Simba
 
Kaizer chief hana athari yoyote kwasababu hayupo top ten na pia yupo chini ya Simba. Ingekuwa na athari endapo Kaizer Chief wangekuwa wapo juu ya Simba
nasoma maoni huko social media hadi mashabiki wa pirates hawaamini, yaani hizi ni match fixing hawa royal atleast ndiyo wanalo la kupigania hiyo mechi ya mwisho labda itokee miujiza nawaonea huruma sana cape town city walistahili kwenda champions league
 
nasoma maoni huko social media hadi mashabiki wa pirates hawaamini, yaani hizi ni match fixing hawa royal atleast ndiyo wanalo la kupigania hiyo mechi ya mwisho labda itokee miujiza nawaonea huruma sana cape town city walistahili kwenda champions league
Hatima ya Simba itakuwa jumatatu. Ndio itajulikana ataanzia hatua ya pili au ya awali. Kama Orlando pirates atashika nafasi ya pili maanake hakuna haja ya kumuombea mabaya Etoil du Sahel mabaya.
 
Nendeni mkawashe moto uwanjani kwao kama mlivyofanya mlipokutana nao
 
Hatima ya Simba itakuwa jumatatu. Ndio itajulikana ataanzia hatua ya pili au ya awali. Kama Orlando pirates atashika nafasi ya pili maanake hakuna haja ya kumuombea mabaya Etoil du Sahel mabaya.
game ya wao kusimamishwa hata kwa sare ni hii , nakuambia supersport utd watauza hiyo mechi labda cape town city wapande dau ili jamaa wakaziwe sare
 
Back
Top Bottom