pyongyang
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 737
- 1,590
yah south afrika,morroco,tunisia ,egypt na algeria ligi zao ni tight sana...ila orando pirates bado ananafasi kama akimpiga superspot utd nyingi anaweza kwenda shirikishoHii ligi ya sauzi ngumu sana! Fikiria eti Orlando Pirates na Kaizer Chiefs hawatakuwepo Champions leage wala shirikisho msimu ujao🤔