ikitokea umependa Tena which is more likely kama hujaenda kuhasiwa
1.stop being "MR NICE GUY"
2.Stop showing that you need her ( Stop being needy)....you might want her but "need" stop that...hapa ndo madharau yanaanziaga hapa mtu anpohisi unamuhitaji zaidi ya anavyokuhitaji
3.lower your expectations...... expectations zako ndo zimeleta hili yowe lote hapa .....kama unamsaidia mtu kwa kumpenda msaidie siyo unamsaidia huku kichwani unawaza ipo siku atakulipa fadhila....mtu unayempenda na umempa vitu kwa kumpenda huwezi kuumia kama mkiachana maana umetoka kwa upendo hujatoka ili ulipwe kwa namba yoyote ile