Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

Hamueleweki nyie unaweza pata shababi, fundi wa mafundi.Ila unaenda cheat na mzee mwenye kitambi,akipiga kimoja chali kisa tu ana hela,yaani sometimes hata sijui mnataka nini.Mkimpata mwenye hela mnakuja kucheat na vijana wasio na hela yaani siku hizi hamueleweki.
Sio siku hizi tangu enzi za bustani ya edeni🙃
 
Usinifanye nicheke bure.

Sawa nimemwacha sasa, akamtafute huyo shabibi wake ambae akiugulia njaa watatoleana tuu macho, akiumwa wataishia kuambiana pole tu, mimi si bwege, akatafute sasa hao wajanja watakaolipa hospital bills za mama ake.
Kuna verse ya Marioo anaimba hivi,"ulisema sipati mtoto mkaliiiiii,huyu vipi?

Sikia,acha kutoa laana,hakuwa wako huyo,atapata tu mwingine anayeona anamfaa na wewe utapata tu atakaekufaa sema tu tu bahati mbaya umeshakata tamaa mapemaa...
 
Ndoa zipo na genuwine peoples wapo. Tatizo hao watu wako kidogo mno na wengi ni fake peoples, wengi hukutana na fakes, wana conclude kwamba hakuna real husband and wives, ila its not true

Kwenye hayo mambo tembea sana na Mungu, omba Mungu akuonyeshe Mwanga mtu ulie nae kama ndie or not. Na utashangaa vile Mungu hujibu
Tnanks mkuu
 
Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.

Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.

Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.

Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.

Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.

Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.

Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.

"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Ulikuwa unamdinya vizuri akaridhika?
 
Dah sijui kwa nini nimefungua huu uzi. Maumivu juu ya maumivu hata hayo maandiko sijui yalitaka tuishi nao kwa akili ipi??? Ukiwa mwema tabu ukiwa sio mwema tabu aaaarghh halafu unapozama siku zote huwa pagumu nimeamini kila mtu lazima apitie maumivu haya kabla hajafa.
 
Siyo kila mahali inafanya kazi. Kuna mahali unaweza kumbato vizuri sana tuu na bado ukadharauliwa.

Kifupi, hayanaga formula, a.k.a bar
Siyo kila mahali inafanya kazi. Kuna mahali unaweza kumbato vizuri sana tuu na bado ukadharauliwa.

Kifupi, hayanaga formula, a.k.a mwongozo
Unambato mpaka mtu anashindwa kutembea na bado dharau zipo pale pale. Mpe pesa mpe kimbato cha nguvu bafo akikuchoka atakudharau
Siyo kila mahali inafanya kazi. Kuna mahali unaweza kumbato vizuri sana tuu na bado ukadharauliwa.

Kifupi, hayanaga formula, a.k.a mwongozo
 
Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.

Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.

Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.

Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.

Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.

Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.

Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.

"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
You are so weak men
 
Shida ilianzia pale ambapo uliziona red flags mwanzoni kabisaa ila ukajipa moyo na pili ulitanguliza vitu (material things) ili kumshawishi awe na wewe. You never loved, ila ni vile tu ulikuwa na msaada kwake.
Sio wewe tu, hata sisi tunapitia huko.
 
Back
Top Bottom