Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko poa, uzuri ni kwamba I already know what I'm supposed to do.Vipi unaendeleaje kwanza?
NONjoo tujaribu round ya mwisho
One more night!!!
Usinifanye nicheke bure.Shida ilianzia hapo ulipovua sweta lako baridi ikukung'ute halafu ukampa yeye asikie joto,ulimpa nafasi ya kukuona bwege....wanawake wanataka wanaume shababi
One more night?? Who do you think I am? a 20 year old?One more night!!!
Thank you, but I'm done.Pole sana ila amini kwenye MUDA
MUDA utakuponya
Akijaribu round hii hato andika uzi, ila tutapewe taarifa ya TANZIA member wa JF ajinyonga🤣🤣🙌🏻Njoo tujaribu round ya mwisho
Duuh ulijitoa sana mkuu upewe maua yako!Usinifanye nicheke bure.
Sawa nimemwacha sasa, akamtafute huyo shabibi wake ambae akiugulia njaa watatoleana tuu macho, akiumwa wataishia kuambiana pole tu, mimi si bwege, akatafute sasa hao wajanja watakaolipa hospital bills za mama ake.
Ndoa zipo na genuwine peoples wapo. Tatizo hao watu wako kidogo mno na wengi ni fake peoples, wengi hukutana na fakes, wana conclude kwamba hakuna real husband and wives, ila its not trueDuu 🙌 kama ni hivi basi kwa kizazi hiki hakuna maana ya ndoa, hata zinazofungwa ni unafiki tu, sasa sijui kama kuna baraka pale God anaziweka kwenye unafik.
Hamueleweki nyie unaweza pata shababi, fundi wa mafundi.Ila unaenda cheat na mzee mwenye kitambi,akipiga kimoja chali kisa tu ana hela,yaani sometimes hata sijui mnataka nini.Mkimpata mwenye hela mnakuja kucheat na vijana wasio na hela yaani siku hizi hamueleweki.Shida ilianzia hapo ulipovua sweta lako baridi ikukung'ute halafu ukampa yeye asikie joto,ulimpa nafasi ya kukuona bwege....wanawake wanataka wanaume shababi
Ushawahi kupenda mkuu?Hapo kwenye kumtunza na kumuheshimu ndo ulipobugi, huo muda huwa mnautoa wapi?
Ushawahi kupenda mkuu?
Please come backMaybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.
Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.
Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.
Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.
Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.
Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.
Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.
"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Kama ushawahi kupenda, bac utakuwa unajua huo muda niliutoa wapiYah huko nilishapita ninachoshukuru niliushtukia mchezo mapema.
Mkuu pole. Mpaka sasa hakuna aliyegundua hitaji haswa la mwanamke ni nini bila shaka hata shetani hajui hitaji ta mwanamke.Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.
Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.
Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.
Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.
Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.
Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.
Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.
"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
They want to flip to ur side.Usinifanye nicheke bure.
Sawa nimemwacha sasa, akamtafute huyo shabibi wake ambae akiugulia njaa watatoleana tuu macho, akiumwa wataishia kuambiana pole tu, mimi si bwege, akatafute sasa hao wajanja watakaolipa hospital bills za mama ake.