Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.

Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.

Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.

Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.

Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.

Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.

Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.

"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Mimi niko single kama wewe ila sijui nikipata hela nitakuwa kama wewe au itakuwaje, au nitaacha kusema niko single nainjoiii!
 
nikupe fomu?

2025 hii hapa tuna sera mpya
1731776732873.png
 
Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.

Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.

Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.

Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.

Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.

Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.

Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.

"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Ulikuwa umekusudia kufikisha nin???i Kwa Wana jf sijaelewa lengo lako!!!!
 
Sasa hao c ni lamba lamba kumbuka huyu mtoa mada anahitaji true love, na yeye atajitoa as mwanaume kuhudumia, what if anakuja mtu kumbe yuko kima slahi?.
Mapenzi ya kweli hamna na ukiendelea kuyatafuta utakufa mapema Mimi yalishanitokea hayo nikayapuuza nikaendelea kutafuta pesa na kwa sasa nachukuwa mwanamke yoyote nayemtaka na Niko kingono sana hata nikikutana na mwanamke Sina Ile kumngangania tunamalizana na kila mtu anaangalia mda wake mapenzi yalikuwa zamani
 
Maandiko mengi ya JF yamenifunza kutokumwamini sana mwanamke. Ukimsadia fanya kiasi kisichouma yaani kama unamsaidia mtu baki tu, au ilingane na tako ulizopiga. Halafu ukiwa naye weka akiba kwamba kuna siku atakuacha.
Hayo yote utaongeza kiasi ukimuoa. Nako bado usiweke 100%.

Niliwahi kumpa demu laki 2 alipe kodi. Siku moja nikataka kulala 2 days geto nililolipia kodi, akagoma. Nakamwambia kwa nyakati nilizokukaza laki 2 sioni hasara. Byeeee. Alijua natania, leo anapiga simu kama friends tu. Sitaki ujinga

Mnaumia sana mnaowaamini 100%
 
Mapenzi ya kweli hamna na ukiendelea kuyatafuta utakufa mapema Mimi yalishanitokea hayo nikayapuuza nikaendelea kutafuta pesa na kwa sasa nachukuwa mwanamke yoyote nayemtaka na Niko kingono sana hata nikikutana na mwanamke Sina Ile kumngangania tunamalizana na kila mtu anaangalia mda wake mapenzi yalikuwa zamani
Duu 🙌 kama ni hivi basi kwa kizazi hiki hakuna maana ya ndoa, hata zinazofungwa ni unafiki tu, sasa sijui kama kuna baraka pale God anaziweka kwenye unafik.
 
Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.

Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.

Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.

Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.

Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.

Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.

Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.

"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Poem
 
Maandiko mengi ya JF yamenifunza kutokumwamini sana mwanamke. Ukimsadia fanya kiasi kisichouma yaani kama unamsaidia mtu baki tu, yaani ilingane na tako ulizopiga. Halafu ukiwa naye weka akiba kwamba kuna siku atakuacha.
Hayo yote utaongeza kiasi ukimuoa. Nako bado usiweke 100%.

Mnaumia sana mnaowaamini 100%
Usiathiriwe na stori za humu, nyingi ni za kutunga na ziko exergrated.

Huku kwa ground mambo ni mazuri sana
 
Back
Top Bottom