Hawa ng'ombe bila shaka ni lazima uwe Kijijini , huku Dar utawalisha Nini?
Cheki post zangu nimeeleza sana.Mkuu running costs zake zikoje
Shusha gharama za kuwahudumia hao ng'ombe wa5 Kwa mwezi.
Kweli....Hakika mkuu! Mimi nishajenga passion ya ufugaji kwa muda sasa ni kitu nitafanya hata nikistaafu kazi ya Jamhuri! So far mwezi ujao Nitaanza ujenzi wa sehemu ya kufugia ng’ombe hao na soko lipo la uhakika eneo nilipopata kiwanja kwa hesabu zangu ng’ombe wa maziwa Wana faida ukiweka management vizuri ukipanda na malisho.
Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni mojaNi muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Pa1 mkuu.You've said it all.
Hiyo bidhaa inatokaa ama ndo unapewa inakufia dukanMkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
Naskia harufu ya global alliance na yale mabidhaa yasiyouzika[emoji4][emoji4][emoji4]Mkuu kama uko serious njoo nikupe conection kwa milioni moja
Yani mimi utanipa milioni moja kwa kukupa hilo wazo la biashara na siyo wazo ni kuwa wakala wa bidhaa fulani kwenye kampuni wao wana kiwango chao ambacho watataka uwape ambacho ni milioni 15 alafu eneo la kazi/ofisi watakupa wao kodi hulipi
hiyo 15 watakupa mzigo wa kuendana na hiyo hela
Ukiuza wewe unapeleka hela faida unabaki nayo wanakuletea tena mzigo kadiri utakavyowapa oda
Na uhakika baada ya mda miezi michache tu kuingiza laki mbili kwa siku na kuendelea kama faida itakuwa ni kitu cha kawaida
Utahitaji kuwa na wafanyakazi kama watatu hivi kama wewe mwenyewe hutataka kuwa sehemu ya wafanyakazi kwenye ofisi yako
Kiwanja kipo sehemu gani mkuu,size yake and the price if you don't mindNina kiwanja sehemu huko kigamboni nimetafuta wateja mwaka wa tano huu sipati yaani Ardhi inahitaji uwe na hela usiyoitegemea ili uzamishe uko isahau utauza siku pakichangamka. Lakini hizi za kwetu tunazotegemea tuzalishe ili tupanuke haraka maisha yaendelee si mchezo
Ndio kanuni ya biashara inavyotaka baadae ukipata pesa utakuwa na uchungu nayo,ila anayeanza na mahela mengi ni ngumu kutoboa kwa sababu hana presha atakuwa analala hadi saa nne asubuhi ndio akafungue biasharaBiashara ni KIPAJI mzee,sio kila mtu anacho!...nilianza na biashara sina mtaji yaan nachukua mzigo kwa “malikauli"
Hata ideas za biashara walizonazo ni za copy & paste.Kinachofurahisha kwa wabongo ni kwamba wao hawanaga mitaji ila wana idea za business tu[emoji23][emoji23]
Usipokuwa na mtaji lazima uwe na ideas nyingi lakini sasa ukipata mtaji mara nyingi kuna hofu inakuingia kufanyia kazi wazo/mawazo husikaMkuu wengine tunatafuta milioni mbili tu tuwekeze tunajua lazima mambo Yanyooke. Wewe 33 bado hujapata cha kufanya.. Duuh
dah mwamba una pesa mpka sasa umeshindwa kuizungushia dah aiseeNi muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Mkuu usumize kichwa sana. Hebu nunua treasury bonds halafu ukae usikilizie faida. Utakuja kunikumbuka.Ni muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Mkuu biashara yoyote inahitaji commitment, concentration and, most importantly, CONSISTENCE. Hapa ndipo wenzetu wakinga na wachaga wanapotuacha nyuma.Niliwai kufanya biashara ya vinywaji baridi jumla lakini Ile ni kupoteza muda, wanaoweza ni akina mangi wanaoweza kudunduliza, miaka nenda miaka Rudi unamkuta pale pale.
Mil 2 biashara gani mzeeMkuu wengine tunatafuta milioni mbili tu tuwekeze tunajua lazima mambo Yanyooke. Wewe 33 bado hujapata cha kufanya.. Duuh
Chukua mzigo wa mbao njoo nao Zanzibar maelezo zaidi njoo inboxNi muda wa miezi kadhaa, sasa niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa, Bank Wakala na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtaji unaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla nikawaza nani akae pale na faida yake huwa ni kidogo sana hii biashara, nikiangalia wanaofanya hawaendelei.
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi Sumbawanga lakini wapi siku hizi mahindi hamna kule, Serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Afrika hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani, juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.