Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

There's a lot of things to do
Cha muhimu tafuta information most of peoples we have been went through hardship situation kwa kukosa Taarifa sahihi wapi tuwekeze penye uhitaji that way mtoa Mada now anaona ugumu lakini Mkuu tafuta mtu sahihi umpe hata 100k akupe chimbo jipya I know kuimiliki pesa ili iongezeke ipande kwa Mtu ambaye Hana Taarifa Sahihi ningumu tafta Taarifa huo mtaji ni mkubwa Sana endapo ukipata the right information.
 
Mkuu hiyo hela itaisha usipokuwa mwangalifu. Ili kujizuia kuitumia nenda ukaidumbukize kwenye fixed account kwa miezi hapo 6 wakati unajitafuta na kupata cha kufanya. Vinginevyo Kata hela kidogo uingie shamba upige Kilimo sehemu ambako kuna mashamba!
Aje majimoto ,katavi
Atakavokutana na malori kutoka kenya , Burundi na Rwanda yanasomba mpunga na mahindi ,Akili zitacheza
 
Mkuu shughuri zangu ilikuwa kunsultancy nikiwa na ajira sasa hivi sina ajira yoyote na nimepata hiyo hela.
Sasa usiaanzishe biashara kwa hela yote na angalia biashara ambayo haiozi mali zale na sio lazima iwe katikati ya mji kikubwa usome hitaji la watu huska. Soko. Kwa hela hiyo kufungua hardware ya kawaida 20M kama unaanza game lijue soko lako jwa biashara unayotaka kufanya. Na punguza reasoning kwenye biashara. Jilipue hakuna atakwambia napata faida kiasi fulani sawa mkuu. Ila usiweke mtaji wote utajuta ukifeli
 
Nikifikisha miaka 50's inshallah ntaandika kitabu Cha hustle zangu zote ntakiweka hapa Kwa ajili ya vijana......

Nae andika hapa muda huu Bado sio tajiri nipo uchumi wa kati wa juu [emoji4][emoji851] just a joke....

Sorry to say [emoji17][emoji17] Kuna wasomi wakinyanganywa vyeti vyao au kufukuzwa kazi waingie mtaani kupambana hawatoboi n'go.......

Tanzania Kuna fursa nyingi sana na kutoboa kuko nje nje sanaa na ndio maana wahindi wengi hata wachina wengi hukimbilia hapa bongo tena na begi la nguo pekee na baada ya miaka kadhaa wanakua matajiri wakubwa ie. Mifano ni Mingi sanaa.......

Huwa naangalia interview za watu mbali mbali ULIMWENGUNI ngoja ni rud hapa nyumbani mfano FRED VUNJABEI huwaga sio mchoyo wa hustler zake na maarifa na aki yule jamaa angekua na akili za wabongo wengi mpaka muda huu angekua serikalini asinge weza kuacha Ile kazi yake na ku take risk.....

Nacho mshukuru Mungu nime develop jicho la kuziona fursa na kuweza ku take over Tatizo LETU kubwa sisi wa Tanzania ni kutokua na exposure ya biashara Kwa tulio wengi....

Na pia walio fanikiwa wengi kwenye biashara hujitahid kuficha sana information zao Ili wengine wasiweze kutusua kama wao pengine hutoa hata taarifa za Uongo [emoji23][emoji1787]

Fursa zipo nyingi sana hapa nyumbani TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241] utajiri wa kuokota true ni sisi tu na akili zetu ila kutoboa ni nje nje ishu ni connection kuliona tobo la kutokea...........

Wasalaam
Mkuu hizo fursa ni zipi walau moja mbili tatu.
 
Huo mtaji mbona ni mkubwa sana mkuu,, nikushauri kitu,, nunua mashine ya kusaga na kukoboa nafaka tumia madalali kupata mahindi na mpunga kutoka mashambani baada ya kukoboa na kusaga pakia kwenye viroba vya kuanzia kilo 5,10, 25 na 50, kisha sambaza kwenye maduka na masoko au masoko mtaji wako unatosha sana,, huku nina uhakika huwezi kuzama kwa sababu chakula ni hitaji muhimu la kila siku,,
Vibali vyake vopoje hasa ukipaki TBS na TRA unawakwepaje?
 
Sasa usiaanzishe biashara kwa hela yote na angalia biashara ambayo haiozi mali zale na sio lazima iwe katikati ya mji kikubwa usome hitaji la watu huska. Soko. Kwa hela hiyo kufungua hardware ya kawaida 20M kama unaanza game lijue soko lako jwa biashara unayotaka kufanya. Na punguza reasoning kwenye biashara. Jilipue hakuna atakwambia napata faida kiasi fulani sawa mkuu. Ila usiweke mtaji wote utajuta ukifeli
Asante mkuu Kwa ushauri wako
 
There's a lot of things to do
Cha muhimu tafuta information most of peoples we have been went through hardship situation kwa kukosa Taarifa sahihi wapi tuwekeze penye uhitaji that way mtoa Mada now anaona ugumu lakini Mkuu tafuta mtu sahihi umpe hata 100k akupe chimbo jipya I know kuimiliki pesa ili iongezeke ipande kwa Mtu ambaye Hana Taarifa Sahihi ningumu tafta Taarifa huo mtaji ni mkubwa Sana endapo ukipata the right information.
Mkuu nimeshatafuta watu wengine ni kutoka humu JF wakanipeleka kufanya biashara, nadhani week kadhaa nyuma nilileta MREJESHO namna nilivyofata mwana JF mkoani tukafanya biashara fulani ,niliweka 2.9 nilichoambulia ni 500K soma Uzi wangu wa MREJESHO nilioandika hivi karibuni.

Pili nikasema ngoja nisikilize na upande wa ndg zangu, nikamsililiza mmoja anaishi sumbawanga yeye anasemaga siku zote mtaji ndo shida lakini vijijini Kuna mahindi,uwele,ufuta na na mazao mengine, nikatumbukiza milioni kadhaa akazama vijijini kununua mazao, mwaka wa Jana na mwaka huu miaka yote nikijumulisha na kutoa naona bado hata faida haijaanza kutoka, mara msimu tumekosa huu si msimu mzuri, mara mazao yashuke bei,mara tutunze stoo muda mrefu yanahitaji dawa pale solo kuu la sumbawanga n.k nk

Kwa ufupi wanadhani sijajaribu kufanya vitu nawaonea huruma Mimi ni fighter vibaya mno, ninyi pateni hela zenu na mzitumbukize kwenye biashara mtaniambia.
 
Mkuu nimeshatafuta watu wengine ni kutoka humu JF wakanipeleka kufanya biashara, nadhani week kadhaa nyuma nilileta MREJESHO namna nilivyofata mwana JF mkoani tukafanya biashara fulani ,niliweka 2.9 nilichoambulia ni 500K soma Uzi wangu wa MREJESHO nilioandika hivi karibuni.

Pili nikasema ngoja nisikilize na upande wa ndg zangu, nikamsililiza mmoja anaishi sumbawanga yeye anasemaga siku zote mtaji ndo shida lakini vijijini Kuna mahindi,uwele,ufuta na na mazao mengine, nikatumbukiza milioni kadhaa akazama vijijini kununua mazao, mwaka wa Jana na mwaka huu miaka yote nikijumulisha na kutoa naona bado hata faida haijaanza kutoka, mara msimu tumekosa huu si msimu mzuri, mara mazao yashuke bei,mara tutunze stoo muda mrefu yanahitaji dawa pale solo kuu la sumbawanga n.k nk

Kwa ufupi wanadhani sijajaribu kufanya vitu nawaonea huruma Mimi ni fighter vibaya mno, ninyi pateni hela zenu na mzitumbukize kwenye biashara mtaniambia.
Mkuu
Ukiachana na vyote ulivovifanya na kushauriwa, jee wewe ulikuwa una mawazo yapi?
Tuanzie hapo
 
Biashara sio Bidhaa flani.. Biashara ni model ya uendeshaji wa Biashara husika.

Model ya Biashara inafanikisha uuzikaji wa kila Bidhaa.

1. Chukua Nusu ya Pesa yako.. Nenda CRDB bank ulizia kuhusu UTT-AMIS (( Kama unaishi ndani ya Majiji Matano ya Tz.. fika moja kwa moja Ofisi za UTT-AMIS )).. Fungua account weka nusu ya pesa yako. Faida utapata.. kwa maelezo zaidi fika kwenye Ofisi zao.

Pesa iliyobaki sasa

2. Kaa mwenyewe.. kwa kuzingatia uwezo wako binafsi.. kiakili.., kifikra.., ujasiri.. nk
Buni au Chagua Business model (( means of running your business ))
mfano:-
• Kuwa Manufacturer wa bidhaa fulani then ukawauzie wauza kwa Jumla.
• Kuwa Assembly wa bidhaa fulani.
• Kuwa Supplier wa bidhaa fulani.. hapa huhitaji Kuwa na duka.. mchawi ujue Chimbo la Bidhaa.. China, Tz hapa hapa, Ugand keny nk
Jifunze kuendesha Biashara kwa mtaji mdogo kwanza.

NB:- Usianzishe Biashara yoyote ndani ya flemu (( kwamba unakodi flemu then unaingiza mzigoo, Bro utazeEka na hiyo 40M itakuyeyuka mikononi bila kujua)) .., Ila hiyo ya flemu iwe hatua ya Mwisho baada ya kuwa umepata ufahamu na Uelewa wa Lugha za biashara.. PIA Jitahidi kwenda kinyume na kila kitu unacho kijua hapa Ndio #Code ya mafanikio ilipo.. usifuatishe kila kitu.. FANYA BILA KUVUNJA SHERIA WALA KUSABABUSHA MADHARA KWA WATU.. Inawezekana.

Na Mwenye Enzi Mungu akubaliki.


#MKUU ANZA BIASHARA.. ANZA BIASHARA.. kuanza ndio kazi Ila usianze na flemu. Dandia mabega ya waiopo.

Huu ndio Ushauri wangu

[emoji2398] Chuman.com
 
Nikifikisha miaka 50's inshallah ntaandika kitabu Cha hustle zangu zote ntakiweka hapa Kwa ajili ya vijana......

Nae andika hapa muda huu Bado sio tajiri nipo uchumi wa kati wa juu [emoji4][emoji851] just a joke....

Sorry to say [emoji17][emoji17] Kuna wasomi wakinyanganywa vyeti vyao au kufukuzwa kazi waingie mtaani kupambana hawatoboi n'go.......

Tanzania Kuna fursa nyingi sana na kutoboa kuko nje nje sanaa na ndio maana wahindi wengi hata wachina wengi hukimbilia hapa bongo tena na begi la nguo pekee na baada ya miaka kadhaa wanakua matajiri wakubwa ie. Mifano ni Mingi sanaa.......

Huwa naangalia interview za watu mbali mbali ULIMWENGUNI ngoja ni rud hapa nyumbani mfano FRED VUNJABEI huwaga sio mchoyo wa hustler zake na maarifa na aki yule jamaa angekua na akili za wabongo wengi mpaka muda huu angekua serikalini asinge weza kuacha Ile kazi yake na ku take risk.....

Nacho mshukuru Mungu nime develop jicho la kuziona fursa na kuweza ku take over Tatizo LETU kubwa sisi wa Tanzania ni kutokua na exposure ya biashara Kwa tulio wengi....

Na pia walio fanikiwa wengi kwenye biashara hujitahid kuficha sana information zao Ili wengine wasiweze kutusua kama wao pengine hutoa hata taarifa za Uongo [emoji23][emoji1787]

Fursa zipo nyingi sana hapa nyumbani TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241] utajiri wa kuokota true ni sisi tu na akili zetu ila kutoboa ni nje nje ishu ni connection kuliona tobo la kutokea...........

Wasalaam
Wewe umefanikiwa katika lipi?
Kwa namna gani?
Kwa kipindi gani?
Tupo mifano japo mitano ya fursa nyingi ambazo zipo Tanzania vijana wanashindwa kuziona
Namna ya kuzifanyia kazi wakatoboa

Ukijibu hapa itakuwa umetoa darasa zuri
 
Back
Top Bottom