jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,524
- 10,287
Wewe jamaa ni masikini wa kiroho. Huu ndio umasikini hatari kuliko wowote ule .Leo una million 30 unashindwa, ukiitafuna yote ikaisha utaweza kusimama kweli?
Anyway hizo pesa huja tolea jasho kuzipata hata shilingi 1, pengine za urithi, mkopo au bahati nasibu.
Kitendo cha kupukutisha hiyo pesa hadi kufika million 33 bila kufanya lolote wewe ni wakuhurumiwa. Yaani nikama maiti ambayo iko mochwari inasubiri sanda ikafukiwe.
Inaonekana hata elimu ya fedha huna. Pesa hailindwi kwa kuificha ndani bila kuizalisha itaisha. Utaitumia kidogo kidogo Yaani itapukutika hata usiamini tena ndio unafamilia . Kama huamini njoo hapa January tupige hesabu utakuwa umebaki na ngapi.
Ushauri wangu kabla mambo hayajawa mabaya tafuta kazi ya ofisini ufanye utakayo kuwa unaingiza pato kila mwisho wa mwezi .
Kuna mfanya biashara sasa hivi ana mtaji wa 5M kwa macho ya kawaida ni ndogo kuliko hiyi milion 33 yako. Ila kibiashara ana mtaji mkubwa kukuliko jaribu kutafakari uchukue hatua.
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Anyway hizo pesa huja tolea jasho kuzipata hata shilingi 1, pengine za urithi, mkopo au bahati nasibu.
Kitendo cha kupukutisha hiyo pesa hadi kufika million 33 bila kufanya lolote wewe ni wakuhurumiwa. Yaani nikama maiti ambayo iko mochwari inasubiri sanda ikafukiwe.
Inaonekana hata elimu ya fedha huna. Pesa hailindwi kwa kuificha ndani bila kuizalisha itaisha. Utaitumia kidogo kidogo Yaani itapukutika hata usiamini tena ndio unafamilia . Kama huamini njoo hapa January tupige hesabu utakuwa umebaki na ngapi.
Ushauri wangu kabla mambo hayajawa mabaya tafuta kazi ya ofisini ufanye utakayo kuwa unaingiza pato kila mwisho wa mwezi .
Kuna mfanya biashara sasa hivi ana mtaji wa 5M kwa macho ya kawaida ni ndogo kuliko hiyi milion 33 yako. Ila kibiashara ana mtaji mkubwa kukuliko jaribu kutafakari uchukue hatua.
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app