Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Wewe jamaa ni masikini wa kiroho. Huu ndio umasikini hatari kuliko wowote ule .Leo una million 30 unashindwa, ukiitafuna yote ikaisha utaweza kusimama kweli?

Anyway hizo pesa huja tolea jasho kuzipata hata shilingi 1, pengine za urithi, mkopo au bahati nasibu.

Kitendo cha kupukutisha hiyo pesa hadi kufika million 33 bila kufanya lolote wewe ni wakuhurumiwa. Yaani nikama maiti ambayo iko mochwari inasubiri sanda ikafukiwe.

Inaonekana hata elimu ya fedha huna. Pesa hailindwi kwa kuificha ndani bila kuizalisha itaisha. Utaitumia kidogo kidogo Yaani itapukutika hata usiamini tena ndio unafamilia . Kama huamini njoo hapa January tupige hesabu utakuwa umebaki na ngapi.

Ushauri wangu kabla mambo hayajawa mabaya tafuta kazi ya ofisini ufanye utakayo kuwa unaingiza pato kila mwisho wa mwezi .

Kuna mfanya biashara sasa hivi ana mtaji wa 5M kwa macho ya kawaida ni ndogo kuliko hiyi milion 33 yako. Ila kibiashara ana mtaji mkubwa kukuliko jaribu kutafakari uchukue hatua.

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe kwanza ni limbukeni wa magari and it's more than clear kwamba hujawahi own magari kwenye maisha yako. Gari yeyote ile, either ya biashara au binafsi unanunua after having a running business inayo generate enough income kutosheleza mahitaji yako au una stable source of income. Gari kama gari haiwezi kukutengenezea faida na ikajipa huduma stahiki iendelee kukaa barabarani. Wenzako hizo Alphard wananunua ziwaongezee tu kakitu kadogo from their main hustles, they call it pocket money. Alafu comprehensive unadhani watu wanakata kata tu..? You still have a lot to learn on business kabla hujaanza kushauri watu.
Gari kama gari aiwezi kukuongezea FAIDA...? All the best [emoji106]
 
Kabisa nakuelewa mkuu. Kabla hujapata pesa confidence inakuwa juu na mipango kibao. Lakini ukija kuipata sasa, Woga unaingia na yale uliyokuwa ukiwaza awali unaona hayana maana . Unaanza kuwaza upya lakini taratibu ile hela unazidi kuimega kwa mambo ambayo hata hukuyatarajia
Jamaa ameingia baridi ila kimsingi unatakiwa uwe na mtu mzoefu kwenye game uambatane nae. Binafsi kwa hio hela mi ningeanza rasmi kulenga gari za faida kama IST,Premio au piki piki za faida kama TVs na Boxer za bei nafuu kisha nauza juu. Unawapata mbona. 🤣 Nina hakikisha 10M iko mchagoni tu haiguswi hizo 23 nacheza nazo. Ukiweza kuuza gari moja kila week maisha yanaenda.
 
Frame mambo mengi mzee wangu, mpaka biashara isimame ushafanya mambo kibao ya kukumalizia hela kabla hujaingiza hela, we unadhani frame zinalipiwa tu na kuanza biashara tu kiboya boya..? Utapiga mihayo hadi usiamini macho yako
Tatizo sio frame. Tatizo ni mahali fremu ilipo mtu anapata mtaji leo kesho anaenda kukodi fremu, yaani anachukua fremu kwa sababu anahela ya kulipia, kupata fremu nzuri hasa hasa dar es salaam ni tatizo kubwa.

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe kwanza ni limbukeni wa magari and it's more than clear kwamba hujawahi own magari kwenye maisha yako. Gari yeyote ile, either ya biashara au binafsi unanunua after having a running business inayo generate enough income kutosheleza mahitaji yako au una stable source of income. Gari kama gari haiwezi kukutengenezea faida na ikajipa huduma stahiki iendelee kukaa barabarani. Wenzako hizo Alphard wananunua ziwaongezee tu kakitu kadogo from their main hustles, they call it pocket money. Alafu comprehensive unadhani watu wanakata kata tu..? You still have a lot to learn on business kabla hujaanza kushauri watu.
Huo ni ushauri tu maamuzi ya kufuata ni yake, ila kiongozi umetisha ushauri ushamuona mtu limbukeni na hajawahi kumiliki magari.
 
Huo ni ushauri tu maamuzi ya kufuata ni yake, ila kiongozi umetisha ushauri ushamuona mtu limbukeni na hajawahi kumiliki magari.
Mkuu, malimbukeni mtaani wapo kibao, pesa kidogo wanakimbilia kununua gari, miezi 6 mingi, gari ziko juu ya mawe. Ukiona mtu ana gari zake ziko barabarani zinaingiza hela hadi unakuwa inspired, muheshimu sana. Magari ni more of liabilities than an asset. Sasa for someone who wants to achieve financial freedom from proper investment lazima aambiwe ukweli ili asije akajikwaa akashindwa kuja kupunguza level ya umaskini kwenye jamii.
 
Pikipiki unaenda kuzilenga kwenye kampuni za wakopeshaji kama watu. Zile ambazo watu wamefeli marejesho zinauzwaga bei rafiki sana na huwa ziko bomba.
Hawa watu nimewaonda tandika sokoni wanapikipiki kibao alafu unakuta nyomi ya vijana wengi wanaranda randa maeneo ya ofisini hapo...
 
Tatizo sio frame. Tatizo ni mahali fremu ilipo mtu anapata mtaji leo kesho anaenda kukodi fremu, yaani anachukua fremu kwa sababu anahela ya kulipia, kupata fremu nzuri hasa hasa dar es salaam ni tatizo kubwa.

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Na ndo maana nakwambia kwa mtu anayeanza sio busara kabisa kuanza biashara ya ku involve frame na TRA, amount nyingi ya capital yake itaishia kwenye mambo yasiyo na maendeleo kwa biashara yake. We have been there, we know this.
 
Sasa kwa wamiliki waliokwama utawajuaje yupi anagari amekwama na vip hao waliokwama kama wamekwama sababu gari zao zinashida ndo maana wanataka kuziuza hapo napo vip
Gari lazma uifatilie kwa umakini kabla hujainunua. Hata zipo kampuni za mikopo pia wanakuwa na magari wanayauzaga bei chee tu
 
Shida ni kuwabana hao wabongo ili wakulipe hela zako. Hii biashara ni nzuri kwa watu waaminifu. Ila wabongo sio miongoni mwa hao waaminifu.
Mbongo anakuwa treated namna hii ili mwende sawa.

1. aache dhamana yenye thamani mara 3 ya mkopo (hela kidogo, dhamana kubwa)

2. aandikishwe mkataba mgumu mbele ya serikali ya mtaa, Mali iwe ba uthibitisho wa umiliki

3. Zingatia Deadline, renew mkataba As soon as possible usikae sana na dhamana za watu, wabongo hawachelewi kuvunja na kukuibia au kukuletea POLISI
Screenshot_20230803-042158.png
 
Back
Top Bottom