Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Tafuta Oder maduka ya jumla nenda hapo Nairobi viwanda ni vingi nunua mzigo pita border lipa ushuru mpelekee aliyekupa order ni rahisi kuona unachofanya kinalipa au kuna faida au hasara.

Kuliko kuwaza hizo changamoto kabla hujatia maguu ukiwazia hizo figisu hakuna biashara utafanya!
Na hakuna biashara rahisi tu isiyo na mazonge zonge jitoe kweli na uamue ni nini unataka kufanya kuna mambo kuyaelewa lazima hela ikitoke kama sio kukatika.

Wakati nimetoka machimboni hela nilikuwa nayo mawazo kama yote shika hili acha lile mara hapa umechukua chumba sio na ushaweka vitu kwa ujumla hela inazidi kukata tu.
Cha ajabu hela imebaki kidogo ndo sasa unagundua kipi cha kufanya na hela imebaki kidogo wakati mwanzo ulikuwa na uwezo au mtaji mzuri!
 
Sasa hivi kuna ng'ombe wa kisasa kwa siku anakuletea lita 30 za maziwa, tafuta eneo Tanga, iringa karibu na viwanda vya maziwa, au hao cow fugia bagamoyo huko, nunua hao ng'ombe fuga.

Cow anaye produce 30 litres.
Lita 1 ya maziwa sasa hivi ni shilingi ngapi???
 
Ni muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Mkuu unakosa wazo kwa sababu akili yako ipo kwenye sehemu mbili, Mosi. Inawaza faida kubwa, pili inawaza hofu ya kupoteza kwa yaliyokukuta. Wazo la biashara nzuri ni kile kitu unachokipenda zaidi hilo ndo la kuanza nalo.Ulikuwa haupendi kulima ndo maana ulipata ikapotea. Fungua biashara ya kitu unachokipenda zaidi.
 
KIchwa chako ndicho kigumu. Uwekezaji hauhutaji mashauriano mengi. Unapaswa uamue na utekeleze hauwezi kuanzisja biashara leo na kupata ubilionea leo. Ni mchakato. Finally nipe hata 5M kwa hzo afu mwakan muda kama huu nakulipa zote hela zako na faida ya 1M jumla iwe 6M
Usikute unaenda kubet maana mawazo ya vijana bhna mtaenda tafuta odd mbili 😁😁😁😅😅😅
 
Ni muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.

Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei

Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.

Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.

Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.

Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.

Hapa sielewi kabisa.
Nmesoma heading tu nikastaajab.
 
Nikifikisha miaka 50's inshallah ntaandika kitabu Cha hustle zangu zote ntakiweka hapa Kwa ajili ya vijana......

Nae andika hapa muda huu Bado sio tajiri nipo uchumi wa kati wa juu 😊🤓 just a joke....

Sorry to say 😔😔 Kuna wasomi wakinyanganywa vyeti vyao au kufukuzwa kazi waingie mtaani kupambana hawatoboi n'go.......

Tanzania Kuna fursa nyingi sana na kutoboa kuko nje nje sanaa na ndio maana wahindi wengi hata wachina wengi hukimbilia hapa bongo tena na begi la nguo pekee na baada ya miaka kadhaa wanakua matajiri wakubwa ie. Mifano ni Mingi sanaa.......

Huwa naangalia interview za watu mbali mbali ULIMWENGUNI ngoja ni rud hapa nyumbani mfano FRED VUNJABEI huwaga sio mchoyo wa hustler zake na maarifa na aki yule jamaa angekua na akili za wabongo wengi mpaka muda huu angekua serikalini asinge weza kuacha Ile kazi yake na ku take risk.....

Nacho mshukuru Mungu nime develop jicho la kuziona fursa na kuweza ku take over Tatizo LETU kubwa sisi wa Tanzania ni kutokua na exposure ya biashara Kwa tulio wengi....

Na pia walio fanikiwa wengi kwenye biashara hujitahid kuficha sana information zao Ili wengine wasiweze kutusua kama wao pengine hutoa hata taarifa za Uongo 😂🤣

Fursa zipo nyingi sana hapa nyumbani TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 utajiri wa kuokota true ni sisi tu na akili zetu ila kutoboa ni nje nje ishu ni connection kuliona tobo la kutokea...........

Wasalaam
Na ndiyo maana wachagga wenzangu wengi walitoka bila kitu huko kwao ila sasa ccm wanawaharass
 
Nikifikisha miaka 50's inshallah ntaandika kitabu Cha hustle zangu zote ntakiweka hapa Kwa ajili ya vijana......

Nae andika hapa muda huu Bado sio tajiri nipo uchumi wa kati wa juu 😊🤓 just a joke....

Sorry to say 😔😔 Kuna wasomi wakinyanganywa vyeti vyao au kufukuzwa kazi waingie mtaani kupambana hawatoboi n'go.......

Tanzania Kuna fursa nyingi sana na kutoboa kuko nje nje sanaa na ndio maana wahindi wengi hata wachina wengi hukimbilia hapa bongo tena na begi la nguo pekee na baada ya miaka kadhaa wanakua matajiri wakubwa ie. Mifano ni Mingi sanaa.......

Huwa naangalia interview za watu mbali mbali ULIMWENGUNI ngoja ni rud hapa nyumbani mfano FRED VUNJABEI huwaga sio mchoyo wa hustler zake na maarifa na aki yule jamaa angekua na akili za wabongo wengi mpaka muda huu angekua serikalini asinge weza kuacha Ile kazi yake na ku take risk.....

Nacho mshukuru Mungu nime develop jicho la kuziona fursa na kuweza ku take over Tatizo LETU kubwa sisi wa Tanzania ni kutokua na exposure ya biashara Kwa tulio wengi....

Na pia walio fanikiwa wengi kwenye biashara hujitahid kuficha sana information zao Ili wengine wasiweze kutusua kama wao pengine hutoa hata taarifa za Uongo 😂🤣

Fursa zipo nyingi sana hapa nyumbani TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 utajiri wa kuokota true ni sisi tu na akili zetu ila kutoboa ni nje nje ishu ni connection kuliona tobo la kutokea...........

Wasalaam
Na ndiyo maana wachagga wenzangu wengi walitoka bila kitu huko kwao ila sasa ccm wanawaharass
 
Kiongozi, nunua Kirikuu/Carry then tafuta eneo la kutosha na likiwa fenced itapendeza zaidi, ukipata mashine ya kuchakata plastic anza hiyo biashara ya maplastiki.

Unazunguka na Carry yako unachukua mzigo kwa wale wanaonunua plastic kutoka kwa mateja ili wapeleke wakauze kiwandani, nunua kwa hao unazichakata vizuri mzigo ukiwa wa kutosha unapeleka kwa mchina unauza bei ya juu coz tayari umeshazichakata.

Unaweza ukawa unatafuta na oil chafu pamoja na chuma chakavu unanunua mtaani unaenda kuuza viwandani, utakuja kuleta mrejesho hapa.

Kila la heri ndugu...!
 
Back
Top Bottom