Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Sawa,Wewe umefanikiwa katika lipi?
Kwa namna gani?
Kwa kipindi gani?
Tupo mifano japo mitano ya fursa nyingi ambazo zipo Tanzania vijana wanashindwa kuziona
Namna ya kuzifanyia kazi wakatoboa
Ukijibu hapa itakuwa umetoa darasa zuri
Asante Kwa maoni yako Kwa kuanzia tu
Mimi nipo busy Sina muda wa kukufungua fikra
Kwa kuanzia Kuna Eric shigongo ana kipindi CHAKE YouTube kinaitwa street university
Kuna somebody Nnauka unaweza Anza nae pia kuweza kuamsha fikra na ku brash ubongo wako...
Pia hata Hayati Ruge mutahaba alikua na tamasha la fursa...
Kwa ujuaji na ubishi wabongo hatujambo...
Badala ya kudownlod xxx videos na nyimbo za kamatia chini tujaribu walau kujielimisha Kuna online courses na hata VETA kufungua bongo zetu kupitia internet so zipo nyingi tu za kuweza kutufungua ubongo zetu..
Is up to you..