Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

Shida JF Ina vijana wametoka shule wanafikiri wao wakipata 5m wanatajirika kumbe ukiwakabidhi ukarudi mnaanza kulaumiana.
Mfanya biashara yeyote yule Lazima aaze na mtaji kidogo ili kuangalia upepo unaendaje...

Ningekua mimi hapo:-
1. Na nunua machine ya kukamua alizeti, used ni 9m, alafu naaza kuchuja mafuta kwa wakulima kijijini...
Kila atakaye Kuja kuchuja mafuta sitachukua hela Bali nita:-
(a) kila ndo moja itakayo chujwa nitachukua Lita moja ya mafuta ya alizeti.
(b) Na mashudu nita baki nayo

2. Alafu pili ya Pharmacy
 
🦷Mkuu fungua duka la electronics hapo mjini.hakikisha unauza hizi ear pods,chargers,simu(pixel and iphones),laptops(wanachuo mazoba kabisa),speakers, 🦷Kwa kuanzia hapo
Hakikisha fremu yako Ina taa Kali sana na mwanga wakutosha
🦷Fremu kariakoo na makumbusho ni Bei sana nashauri tafuta sehemu nyingine.
🦷Nunua camera Kali inayoweza kutoka dlsr effect Kwa ajili ya kupiga picha za matangangazo
🦷Sasa wateja watakuja kwako Kwa kufanya marketing ya hatari
🦷Hakikisha unajinga na matangazo ya insta FB,na google
🦷Vitu vyako nunua refubrished...huku bongo wakununa brand new ni wachache(halafu huma hela ya kutosha)
🦷Vitu nunua Kwa Hawa jamaa wanaenda Dubai....ukikolea nenda mwenyewe
🦷Ukiuza kitu mwombe mteja mpigie picha ,post kwenye social media hii Ina boost uaminifu (sisi vijana hatuaminiki)
 
🦷Mkuu fungua duka la electronics hapo mjini.hakikisha unauza hizi ear pods,chargers,simu(pixel and iphones),laptops(wanachuo mazoba kabisa),speakers, 🦷Kwa kuanzia hapo
Hakikisha fremu yako Ina taa Kali sana na mwanga wakutosha
🦷Fremu kariakoo na makumbusho ni Bei sana nashauri tafuta sehemu nyingine.
🦷Nunua camera Kali inayoweza kutoka dlsr effect Kwa ajili ya kupiga picha za matangangazo
🦷Sasa wateja watakuja kwako Kwa kufanya marketing ya hatari
🦷Hakikisha unajinga na matangazo ya insta FB,na google
🦷Vitu vyako nunua refubrished...huku bongo wakununa brand new ni wachache(halafu huma hela ya kutosha)
🦷Vitu nunua Kwa Hawa jamaa wanaenda Dubai....ukikolea nenda mwenyewe
🦷Ukiuza kitu mwombe mteja mpigie picha ,post kwenye social media hii Ina boost uaminifu (sisi vijana hatuaminiki)
Hii ndio business idea yangu mkuu, Nina 5 million cash Ila nataka nifanyie singida sijui itafanya kazi, Lakini na target hiyo ya phone and accecories kuchanganya pasi za umeme na mavifaa vyote vya umeme.
 
[emoji3103]Mkuu fungua duka la electronics hapo mjini.hakikisha unauza hizi ear pods,chargers,simu(pixel and iphones),laptops(wanachuo mazoba kabisa),speakers, [emoji3103]Kwa kuanzia hapo
Hakikisha fremu yako Ina taa Kali sana na mwanga wakutosha
[emoji3103]Fremu kariakoo na makumbusho ni Bei sana nashauri tafuta sehemu nyingine.
[emoji3103]Nunua camera Kali inayoweza kutoka dlsr effect Kwa ajili ya kupiga picha za matangangazo
[emoji3103]Sasa wateja watakuja kwako Kwa kufanya marketing ya hatari
[emoji3103]Hakikisha unajinga na matangazo ya insta FB,na google
[emoji3103]Vitu vyako nunua refubrished...huku bongo wakununa brand new ni wachache(halafu huma hela ya kutosha)
[emoji3103]Vitu nunua Kwa Hawa jamaa wanaenda Dubai....ukikolea nenda mwenyewe
[emoji3103]Ukiuza kitu mwombe mteja mpigie picha ,post kwenye social media hii Ina boost uaminifu (sisi vijana hatuaminiki)
Asante mkuu
 
Hebu wekeza Mtfe trading.Uta double hiyo Hela kwa kipindi kifupi tu.Fanya hivi...wekeza hiyo pesa Kisha Kila faida unayopata kwa wiki itoe mpaka utimize huo mtaji wako.Sasa kwavile mtaji wako umesharudi Ile iliyo Baki kule ifanyie kitu inaitea compounding.Ndani ya mwaka tu umetoboa maisha.
 
Hebu wekeza Mtfe trading.Uta double hiyo Hela kwa kipindi kifupi tu.Fanya hivi...wekeza hiyo pesa Kisha Kila faida unayopata kwa wiki itoe mpaka utimize huo mtaji wako.Sasa kwavile mtaji wako umesharudi Ile iliyo Baki kule ifanyie kitu inaitea compounding.Ndani ya mwaka tu umetoboa maisha.
Mkuu hii Mtfe ni Nini naomba insight kidogo
 
Hebu wekeza Mtfe trading.Uta double hiyo Hela kwa kipindi kifupi tu.Fanya hivi...wekeza hiyo pesa Kisha Kila faida unayopata kwa wiki itoe mpaka utimize huo mtaji wako.Sasa kwavile mtaji wako umesharudi Ile iliyo Baki kule ifanyie kitu inaitea compounding.Ndani ya mwaka tu umetoboa maisha.
Mods naomba mdeal na hii comment. MTFE ni ponzi scheme itayoishia kama ponzi scheme nyingine za Kalynda na kadhalika.
 
Bizinesi izi noti fo everi wani.....😎
Ebu endelea kujitafuta mkuu....🙃

Kabisa biashara watu zipo damuni hata akipata msingi wa laki anatoboa ,mtu mwenye 40m hajui afanye biashara gani aiseee inasikitisha ,namshauri atulie tu biashara hawezi na ndiyo maana ndani ya muda mfupi tu kashatapakanya 7m nzima.

Ma opportunity kibao sema watu hawana mitaji ,yeye ana mtaji hajui cha kufanya.
 
Kabisa biashara watu zipo damuni hata akipata msingi wa laki anatoboa ,mtu mwenye 40m hajui afanye biashara gani aiseee inasikitisha ,namshauri atulie tu biashara hawezi na ndiyo maana ndani ya muda mfupi tu kashatapakanya 7m nzima.

Ma opportunity kibao sema watu hawana mitaji ,yeye ana mtaji hajui cha kufanya.
Mkuu hii ni kawaida Mimi wakati sina mtaji nilikuwa naona orodha ndefu sana ya opportunities, baada ya ku access mtaji huwezi amini mambo ni tofauti kabisa
 
Tatizo huwa mantaka kuingia kwenye biashara muwekeze Leo mpate jina Leo mpate faida kubwa Leo wakati biashara inahitaji mda ili uweze kuona matunda yake na ukiona unachangamoto kubwa sana ya kushindwa kupata wazo la biashara ya kufanya jua unachangamoto kubwa sana ya rasilimali watu wanaofanya biashara na ndio maana hujui ushike wapi kama unataka kufika mbali kibishara Jenga sana urafiki na wafanyabiashara watu huwa wanapenda kula asali na watu wao
 
Njooo nitembeee ofisini kwangu ujifunze, Mimi nimeanza biashara ya plumbing material and sanitary ware kwa mtaji mdogo sana kama 7m tu ,lakini mambo yanaenda , karibu hata uwekeze kwangu kimaandishi na kisheria

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hii biashara ya Plumbing materials imemtajirisha jamaa mmoja pale Mwanza, anaitwa Zongii.

Ni nzuri sana hasa wateja wakiwa na uhakika wa kupata kila kitu kinachohusu plumbing kwenye duka lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nenda pale kusini Mbinga msimu wa kahawa huu, mwezi wa 12 ingia Lindi kwenye korosha , mwakani kuanzia mwezi wanne tano ingia Mirui kwenye ufuta..
 
Hii biashara ya Plumbing materials imemtajirisha jamaa mmoja pale Mwanza, anaitwa Zongii.

Ni nzuri sana hasa wateja wakiwa na uhakika wa kupata kila kitu kinachohusu plumbing kwenye duka lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Zongii wakitambo mno kwenye game hilo

Huyu mtoa mada anataka aanze business leo wiki ijayo awe zaidi ya zongi
 
Back
Top Bottom