connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
kaka achana na vyuo vya ualimu maana kwanza ada yao ni ndogo mno maana huko vyuo vya serikali wanalipa 170,000/= kwa mwaka tena hapo ni boarding na nafasi kibao zinabaki kila mwaka maana wengi siku hiz wanakimbilia vyuo vikuu vilivyojaa kama uyoga kila kona. we anzisha kozi zinazovutia wajinga wajinga (BUSINESS MANAGEMENT, IT, TOURISM, HUMAN RESOURCE MGT, LAW (certificate), LOGISTICS, INTERNATIONAL TRADE, COUNSELLING, CUSTOMER SERVICE, MARKETING, TRAVEL & TOURS basi tu kuwavutia watu ili upate pesa. Mjini mipango kaka usipokuwa mjanja unalala njaaa