Kuanzisha Shule ya Msingi na Sekondari: Utaratibu wa Kiserikali, Ushauri, Changamoto na Faida

Kuanzisha Shule ya Msingi na Sekondari: Utaratibu wa Kiserikali, Ushauri, Changamoto na Faida

kaka achana na vyuo vya ualimu maana kwanza ada yao ni ndogo mno maana huko vyuo vya serikali wanalipa 170,000/= kwa mwaka tena hapo ni boarding na nafasi kibao zinabaki kila mwaka maana wengi siku hiz wanakimbilia vyuo vikuu vilivyojaa kama uyoga kila kona. we anzisha kozi zinazovutia wajinga wajinga (BUSINESS MANAGEMENT, IT, TOURISM, HUMAN RESOURCE MGT, LAW (certificate), LOGISTICS, INTERNATIONAL TRADE, COUNSELLING, CUSTOMER SERVICE, MARKETING, TRAVEL & TOURS basi tu kuwavutia watu ili upate pesa. Mjini mipango kaka usipokuwa mjanja unalala njaaa
 
Kama una eneo kubwa na una kiasi cha pesa cha kutosha mimi ndugu yako nakushauri jenga chuo kwa ajili ya course za afya, (Nesi, famasi, dokta)certificate au/na diploma. Fuata taratibu zote za NACTE na wizara ya afya, utapata vichwa kama utitiri. Vyuo vya afya vinalipa sana kwa sasa na hata kwa baadae, hutajutia pesa zako. Nakutakia kila la kheri!!
 
Samahani kutoka kwenye mada. Huu uzi umenifurahisha na kunipa moyo kuwa hapa JF kuna watu wenye hekima ambao wana uwezo wa kufikiria na kuchangia bila kuvuruga mada - kuanzia mtoa mada na wote wachangiaji nyuzi zote ni busara na kwanye nukta. sijaona mchafuzi wa mada. naomba mambo yaendelee kwa njia hi na mleta mada namuombea mafanikio.
 
Samahani kutoka kwenye mada. Huu uzi umenifurahisha na kunipa moyo kuwa hapa JF kuna watu wenye hekima ambao wana uwezo wa kufikiria na kuchangia bila kuvuruga mada - kuanzia mtoa mada na wote wachangiaji nyuzi zote ni busara na kwanye nukta. sijaona mchafuzi wa mada. naomba mambo yaendelee kwa njia hi na mleta mada namuombea mafanikio

Huyo alisema afungue kozi zinazovutia wajinga wajinga naye ana busara!!
 
Shule kama biashara kwa sasa utapotea ndugu yangu, UTAPOTEA! Hiyo biashara ilikuwa zamani, siyo sasa, inaowalipa kwa sasa ni wale waliokwisha jiestablish na wana majina makubwa sana, na wale wajanja wachache wenye "vyanzo" na wanaotumia nembo fulanifulani. Shule ya upili itatakiwa uanze kwa kasi ya ajabu, uajiri walimu wenye ujuzi na uwalipe vizuri, wakati wote huo wewe haujaanza kurudisha hata senti ya investment, wachilia mbali faida, itakunyonya mfukoni mwako kwa zaidi ya miaka kumi ndiyo LABDA uanze kupata faida kidogo sana, labda uiweke dhamana uchukue pesa ufanye biashara nyingine! Jenga chuo, chuo kwa kozi zozote ngazi zozote kiko likely zaiddi kukulipa kuliko shule ya upili. Weka chuo cha ualimu ngazi ya stashahada, mwaka wa kwanza tu kinajaa mpaka watu unawakataa, na wote wanaenda kuajiriwa, bado ukiwa na waendeshaji wajanja grants zitaingia chuo kitaweza kujipanua zaidi!
 
kaka achana na vyuo vya ualimu maana kwanza ada yao ni ndogo mno maana huko vyuo vya serikali wanalipa 170,000/= kwa mwaka tena hapo ni boarding na nafasi kibao zinabaki kila mwaka maana wengi siku hiz wanakimbilia vyuo vikuu vilivyojaa kama uyoga kila kona. we anzisha kozi zinazovutia wajinga wajinga (BUSINESS MANAGEMENT, IT, TOURISM, HUMAN RESOURCE MGT, LAW (certificate), LOGISTICS, INTERNATIONAL TRADE, COUNSELLING, CUSTOMER SERVICE, MARKETING, TRAVEL & TOURS basi tu kuwavutia watu ili upate pesa. Mjini mipango kaka usipokuwa mjanja unalala njaaa

Unajua vyuo vya ualimu vya binafsi sasa wanatoza kiasi gani?...zaidi ya 10% rate ya vyuo vya serikali na watu nyomi! ni muhimu sana aangalie course ambazo ajira zake ziko readily availabla, ualimu, nursing, afisa ugani nk hapo atawakamata, hizo kozi unazozitaja hata vyuo vikuu watu hawazishobokei sana siku hizi, nchi hii ya wakulima,pesa ya mkulima ili uipate lazima ajue uwezekano wa ajira kwa mwanaye/nduguye!
 
hebu onana na huyu naweza kukupa mwangaza kwa hayo mambo steve Robert Masatu
 
Last edited by a moderator:
Fungua chuo cha afya tena anza na certificate, hapo utakamata mshiko haswa ila ufuate masharti usije umiza wadogo zetu, kuhusu chuo cha ualimu au sec usije ukajaribu utajuta
 
Ndg anzisha chuo basic cert (NTA LEVEL 4| mpaka diploma [NTA LEVEL 6| according to NACTE ukifikia hatua ya kuandaa mitaala na kusajili NACTE nitafute hiyo kaz nitakufanyia vizur sana mim ni mtaalam wa mambo hayo. nitafute 0764992264. Elewa chuo ni rahis kuanzisha na kukisajil kuliko shule za primary, sec, na chuo cha ualimu kwani ziko chin ya wizara.
 
Nilitaka kukushauri, kuwa nakubariana na watu waliokushaur kuhusu vyuo vya ualimu coz nipo huko naelewa.

Pili kuhusu vyuo vinginevyo ckushauri kwanza kwakuzingatia location eneo lako lilipo na washindan walipo na wingi wao.

Wateja n.k Shule ya sekondari ni wazo zuri, inakaa popote, tena umesema boarding madent wanaletwa huko. Wazazi hasa wanapenda mazingira tulivu. Kwa mf, mkuranga suala ni kujitangaza tu.

Wengi wanaofeli nakutafuta hivi vyuo wanavyoshauri hapa wengine by nature wanaish day huwa hawakai boarding, pili ndo wako kwenye age yakupenda kubanana mjini (minor but sensitive).

Hawezi acha kusoma posta city center akawa anapanda gari kuja mkuranga

Nna mengi ila isije collapse tena kabla cjapost
 
Wapendwa nimeamua kuendelea na wazo la kuanzisha sekondari ingawa ni nimenunua wazo la chuo bado nalifanyia kazi.

Kwa sasa ninaendelea na project ya kupima eneo langu ambalo pamoja na viwanja vya makazi na makazi/biashara pia nimeweka shule ya sekondari.

Mauzo ya hivi viwanja yatawezesha ujenzi wa shule na masuala mengineyo.

Eneo la awali nililopanga kulipima kujenga shule nimeliacha kwq matumizi mengineyo ya baadaye.

Nitakuwa nawapa mrejesho labda itasaidia kuhamsha hamasa Kwa wengine wenye wazo kama hili.

Asanteni
Naendelea kujifunza
 
Nimeamua kuomba ushauri ili niweze kuzitendea haki juhudi zangu. Awali ya yote mimi ni mhitimu wa Diploma ya ualimu masomo ya sayansi (Physics & Math.)

Nilihitimu Diploma hii mwaka 2009. Nilipohitimu kidato cha sita na matokeo kuwa sio ya kujiunga university nilispend miezi mingi kutafakari nini cha kufanya, huku maisha yakiwa yamebana nilijikuta nikitumbikia katika kufundisha shule moja ya sekonda mkoa wa pwani.

Baada ya muda nilijikuta nikiipenda sana kazi hii na kwa kuwa shule niliyokuwa nafundisha ilikuwa ya mtu binafsi nami nilianza kupata shauku ya kuanzisha shule yangu japo sikuwa hata na chochote (pesa) cha kuanza nacho mbali na kuwa mjuzi wa hali ya juu katika kufundisha masomo ya sayansi (physics, Basic Mathematics, Chemistry na Biology).

Niliamua kwenda kusomea ualimu nikiwa na malengo ya kufungua shule pindi nimalizapo masomo hayo. Nilipomaliza niliajiriwa serikalini hapahapa Dar. Sio siri kutokana na ufundishaji wangu nilijikuta nina shule 3 nafundisha kama mwajiriwa na huku serikalini kazi naendelea kama kawaida. Nilipangilia muda vizuri na kuweza kutekeleza majukumu yangu bila shuruti.

Nimeshafikia hatua ya kununua uwanja heka 1.5 mkoani pwani shida iliyopo ni kwamba mtajo ninao mdogo na vibali vinasumbua japo tayari nina ramani ya madara manne. Natamani nianze mchakato wa kujenga na hatimaye nianzie na hata wale wanafunzi wa kujitegemea. Nina 8 mil za mkopo wa benki, natamani nianze na darasa moja je hii 8 milioni itatosha kusimamisha Hili darasa moja?

Naomba ushauri wenu wanaJF.
 
Tazama masharti na viegezo vya usajili kwenye tovuti ya wizara ya elimu. mtaji huo hautoshi.
 
Nilisha download na nikaanza kushughulikia kibali kutoka wilayani, lakini katika masharti hayo yote haijaeleza kama kuna malipo ya kila mwaka kulipa serikalini, pia sina uzoefu na hawa jamaa wa ukaguzi ambao watatakiwa kuja kukagua na katika suala nzima la uongozi kwani ni lazima kuajiri walimu wawili watatu hivi kuanza nao hivyo nikaona niombe msaada wa ushauri kwa wana JamiiForums kwa huu ni msitu mnene wenye kila aina ya watu wenye kufanya bishara mbalimbali. Mimi sijawahi kuwa kiongozi zaidi ya kuwahi darasani kufundisha.
 
Nilisha download na nikaanza kushughulikia kibali kutoka wilayani, lakini katika masharti hayo yote haijaeleza kama kuna malipo ya kila mwaka kulipa serikalini,pia sina uzoefu na hawa jamaa wa ukaguzi ambao watatakiwa kuja kukagua na katika suala nzima la uongozi kwani ni lazima kuajiri walimu wawili watatu hivi kuanza nao hivyo nikaona niombe msaada wa ushauri kwa wana Jamii Forum kwa huu ni msitu mnene wenye kila aina ya watu wenye kufanya bishara mbalimbali.mimi sijawahi kuwa kiongozi zaidi ya kuwahi darasani kufundisha.

Mkuu nilikuwa natafuta mtu kama wewe.Kwa kifupi mchakato wa kuanzisha shule ni mpana sana ila kama hutojali.Unaweza kuni~PM ili tupeane miadi tuonane na kuongea face to face.Nina uzoefu wa kutosha nafikiri tunaweza' kushare' uzoefu.
 
Mkuu, miaka haichelewi, mkopo huo utaisha mda si mrefu na utakua na sifa ya kukopa zaidi, we anza kujenga darasa hilo moja nazani itatosha piga ripu ndani tu mje paache likiwa na vyumba viwili itapendeza kwani utapokea f3 na f4, sikufichi nimesoma twitange sec sc sisi mdo tumeifungua ilianza na jengo moja la 2rooms f3 na f4 na leo iko kamili hadi advernce na sisi tumeajiriwa, wazo zuri usiliache, tafuta mafundi wenye njaa waonyeshe ramani hiyo wakadirie gharama utapata picha, pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom